Siku moja PUNDA alikutana na Simba faragha kutoa malalamiko yake kuhusiana na wanyama wengine juu yake, mazungumzo yalikuwa hivi:
Punda: Wenzangu wanadai eti mimi sio MWEREVU ndio maana wananiita PUNDA!
Simba: Sasa wewe hutaki jina hilo na unataka nini?
Punda: Nataka uwakataze wasiniite tena jina hilo kwani mimi ni MWEREVU sana!
Simba: Sawa mimi nitawakataza ila kabla nataka nikupe kamtihani kadogo ili nihakikishe kweli wewe ni MWEREVU au la, uko tayari?
Punda: Ndiyo!
Simba: Sasa nenda nyumbani kwangu ukaniangalie kama nipo halafu urudi kunipa jibu
Basi PUNDA akatimua mbio kuelekea nyumbani kwa mfalume wa pori kumangalia kama yupo nyumbani kwake na punde akarudi
Simba: Umenikuta nipo nyumbani kwangu?
Punda: Aisee bwana sijakukuta, haupo!
Simba: Wewe ni punda na utaendelea kuitwa PUNDA daima, potea hapa!
Basi PUNDA akaondoka kwa unyonge
Punda: Wenzangu wanadai eti mimi sio MWEREVU ndio maana wananiita PUNDA!
Simba: Sasa wewe hutaki jina hilo na unataka nini?
Punda: Nataka uwakataze wasiniite tena jina hilo kwani mimi ni MWEREVU sana!
Simba: Sawa mimi nitawakataza ila kabla nataka nikupe kamtihani kadogo ili nihakikishe kweli wewe ni MWEREVU au la, uko tayari?
Punda: Ndiyo!
Simba: Sasa nenda nyumbani kwangu ukaniangalie kama nipo halafu urudi kunipa jibu
Basi PUNDA akatimua mbio kuelekea nyumbani kwa mfalume wa pori kumangalia kama yupo nyumbani kwake na punde akarudi
Simba: Umenikuta nipo nyumbani kwangu?
Punda: Aisee bwana sijakukuta, haupo!
Simba: Wewe ni punda na utaendelea kuitwa PUNDA daima, potea hapa!
Basi PUNDA akaondoka kwa unyonge