tija gani inapatika kwa kwa wana siasa kuwatumia watoto wenye umri wa kwenda skuli na wasio kuwa na umri wa kwenda skuli katika mazingira kama hay ?
walipoenda kununua watu wakakuta wote wapo kwenye mkutano wa cdm so wakaanza kubeba watoto! ni kawaida ljkn, kwani kwa siku kama hizxo na masomo hustopishwa, (umesahau kipindi cha kupangwa barabarani?) ndo wanachofanya ccm
Walikwenda Kushangaa the Comedy na Muimba Kwaya Mkuu Ndugu John Komba Pamoja na aliyeshikwa Ugoni!! Hujui watoto wanapenda Viburudisho na Buudani?
Yap! huyo kijana mwenye black na skaf hapo mbele kabisa,nafsi inamsuta anataka kuonyesha hisia zake za kikweli kwa vidole viwili,ila anaogopa anageuka kuangalia huku na kule kama kuna anayemwonakuna mmoja anajaribu kuonesha ishara ya cdm