Good, mana hata mm kule kwenye joke yangu nimembiwa nimecopy wkt hata kuiona hio post sijaiona otherwise I couldnt post ithii tabia ya watu kusema hii post imerudiwa inakera kweli kweli, hivi kuna member wangapi wanajiunga humu jf kila siku, kwa hiyo mnahisi mmeshawasomea kila kitu kilichomo humu, we kama unaona imerudiwa kaa pembeni wenzio ambao hawajaiona waisome kwa sababu kila siku watu wanajiunga na jf na kwao inaonekana ni post mpya, mimi binafsi nakutana mara nyingi na post zilizorudiwa lakini kwa faida ya wasiozisoma huwa si-comment kitu chochote na kufungua ambazo sijazisoma. KAMA WEWE UMESHAISOMA POST KAA PEMBENI WASIOISOMA WAISOME
Hii nayo Marudio.
Hata kama mkikasirika marudio ni marudio tu. mkitaka kuona post zilizowekwa hapa zote zipo, search page zilizopita sio ku-post posted post.
hii tabia ya watu kusema hii post imerudiwa inakera kweli kweli, hivi kuna member wangapi wanajiunga humu jf kila siku, kwa hiyo mnahisi mmeshawasomea kila kitu kilichomo humu, we kama unaona imerudiwa kaa pembeni wenzio ambao hawajaiona waisome kwa sababu kila siku watu wanajiunga na jf na kwao inaonekana ni post mpya, mimi binafsi nakutana mara nyingi na post zilizorudiwa lakini kwa faida ya wasiozisoma huwa si-comment kitu chochote na kufungua ambazo sijazisoma. KAMA WEWE UMESHAISOMA POST KAA PEMBENI WASIOISOMA WAISOME
Hii nayo Marudio.
Hata kama mkikasirika marudio ni marudio tu. mkitaka kuona post zilizowekwa hapa zote zipo, search page zilizopita sio ku-post posted post.