Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,885
Wakuu naomba mtu mwenye ujuzi nazo anisaidie. Nataka kujua pump yenye uwezo wa kuvuta maji kina cha mita 10 na kumwagilia ekari mbili inaweza kugharimu kiasi gani? Pia nilitaka kujua kama kilimo kwanza wanauza na hizi pump. Natanguliza shukrani.