Pulp And Paper Manufacturing In Tanzania- Msaada

Mfamaji

JF-Expert Member
Nov 6, 2007
6,631
1,926
Wakuu nisaidieni kwa hili.

Ninatarjia kufanya research kwenye hii industry siku sio nyingi. Kwa kuanzia naomba wenye kufahamu wanijuze list ya kampuni zinazozalisha karatasi na products za aina hiyo kama vile papers, paper rolls, madaftari napkins etc. Iwe DSM , mikoani haijalishi. Naomba producers sio dealers please.


I will appreciate your kind help on this .

regards

Mfamaji
 
Kuna kampuni kadhaa ambazo wanazalisha bidhaa tajwa hapo juu.
Kuna kiwanda cha serikali knaitwa Tembo Chip Board, hiki kipo katika kijiji cha Mkumbara, wilayani Korogwe mkoa wa Tanga, pembeni mwa barabara ya Tanga - Arusha. Kinatengeneza ceiling boards, chip boards na bidhaa nyingine za namna hiyo.
Kwa Iringa kuna Mufindi Paper Mills (MPM), wao wanazalisha karatasi za kuchaia pamoja na matumizi mengine. Hawa wanapatikana Mgololo, wilayani Mufindi katika mkoa wa Iringa. Watafute kwa +255 783 83125.
 
Kuna kampuni kadhaa ambazo wanazalisha bidhaa tajwa hapo juu.
Kuna kiwanda cha serikali knaitwa Tembo Chip Board, hiki kipo katika kijiji cha Mkumbara, wilayani Korogwe mkoa wa Tanga, pembeni mwa barabara ya Tanga - Arusha. Kinatengeneza ceiling boards, chip boards na bidhaa nyingine za namna hiyo.
Kwa Iringa kuna Mufindi Paper Mills (MPM), wao wanazalisha karatasi za kuchaia pamoja na matumizi mengine. Hawa wanapatikana Mgololo, wilayani Mufindi katika mkoa wa Iringa. Watafute kwa +255 783 83125.

Thanks broda
 
Back
Top Bottom