Pull up your trouser, inawaponza watoto wa kiume

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
2,696
740
Matokeo ya kidato cha nne yanaonyesha wazi kuwa kwa sasa wavulana (wanaume) sasa ni midebwedo kwa watoto wa kike. Katika shule 10 bora, za kike ni saba, kama sijakosea. Aidha katika wanafunzi 10 bora, saba ni wa kike.

Redio moja imefanya 'kautafiti' na kugundua kuwa suruali za milegezo ni dalili ya kuchoka kwa watoto wa kiume. Wakati mwalimu zamani aliwahimiza watoto waongeze jitihada kwa kusema " pull up your socks", sasa hivi walimu wanasema "pull up your trouser".

Tunakoelekea kina mama wataanza kulipa mahari ili watumiliki, kama sio kutuoa.

Nawasilisha.
 
Haya yote yanatokana na kuingiza siasa kwenye elimu. Hawa ndo wale waliondolewa mtihani wa form two sijui baada ya kuondoa huo wa std 7 hali itakuwaje.
 
Lakini msiwe na kinyongo sana.... miaka yote tumeitesa hii jinsia wakawa kimya sasa acha na wenyewe watese.... Ila sio mpaka kufikia hatua ya kulipa mahali :twitch:!!!
 
Lakini msiwe na kinyongo sana.... miaka yote tumeitesa hii jinsia wakawa kimya sasa acha na wenyewe watese.... Ila sio mpaka kufikia hatua ya kulipa mahali :twitch:!!!

Hata mahari watalipa tunakoelekea. It is time now wenye pesa kuwekeza kwenye shule za wavulana kama Feza na Msolwa. Pengo wakati anafungua St. Joseph Millenium school alisema "Hatuwezi kuondoa ubaguzi wa kijinsia kwa kuwabagua watoto wa kiume; hivyo wavulana nao wana haki ya kupata elimu nzuri".
 
Kwa kweli nakuunga mikono na miguu maana hawa vijana sijui wanaona raha gani kuvaa suruali mlegezo wanaudhi kweli.
Wanawake wataendelea kuwashinda tu
 
Enzi zetu kulikua hakuna Ushalobalo.....tulkua tunapiga buku mpaka wakawa wanatuita majohn kisomo..siku izi mashalobalo wengi akili kichwani hakuna..!!
 
Na bado.......waendelee kuuza sura,kuangalia tamthilia na kutongoza ovyo waone......:laugh::laugh:

bravo my lil sister's who did wonders.........:coffee:
 
Back
Top Bottom