Public enemy number one of Tanzania title goes to "Rostam Aziz"

Hivi hiyo "Self made" ina maana Forbes wameshindwa kubaini chanzo cha utajiri wake siyo?
Rostam ana mali mpaka Kenya na Uswiss. Ila leo media zote za Tanzania kimya. Rostam ndiye mfadhili mkuu wa Lowassa tokea zamani na pia ni business partner wake. Leo Chadema kimyaaa!
Ngoja tuendelee kukumbushana!
 

Attachments

  • 1443578975672.jpg
    1443578975672.jpg
    39.2 KB · Views: 378
Mkuu unamtenga vipi Rostam na ccm??, ameweza kufanya hayo akiwa ccm na hatoguswa kabisa kimaslahi kama ccm itaendelea kuwa madarakani.

CCM ya JK na Lowassa - uko sahihi lakini sasa kahama yuko na Lowassa huko kwenu na anawatengenezea himaya wenzake. Tatizo siyo CCM in the abstract ila watu kama Rostam, Lowassa na JK.
Narudia Lowassa is more of the same not change! Vinginevyo usingemwona Rostam na Dewji wanahangaika kumchangia Lowassa na Chadema leo hii!
 
Taifa zima limefahamu mpaka leo nani hataki Taifa la Tanzania liende mbele. Kuna mtu mmoja jina lake ni Rostam Aziz. Kila kona ya Taifa la Tanzania tunaona mikono ya Rostam kutengeneza mikataba hewa na kuingiza biashara na makampuni toka nje huku yakijulikana kama ni "investors-wawekezaji" kumbe ni miradi ya Rostam na mafisadi wengine Tanzania. Leo hii tunampa na kumzawadia zawadi ya [COLOR =Red]"Public Enemy Number One in Tanzania"[\COLOR]
2891552.jpg


Miradi mingine ya Rostam ni kulobby na kuwakilisha makampuni ya nje Tanzania kuleta biashara wakati yeye ni mbunge na mfanyakazi wa CCM. Kitu gani au Mtanzania gani anaweza kuwa na kofia nyingi hivi kitaifa? Watanzania lini tutachunguza biashara zote za Rostam/documents zote serikalini/ndani ya CCM na tutamchukulia hatua lini? Kwanini Wanachama wa CCM hasa wa Igunda siku zote wako kimya? Siku zinakuja zake....ataripoti jela tu. Mungu Siku Zote Yupo Upande Wetu.
JM tupatieni list ya Public Enemy wa Tanzania tuwafahamu....

Public enemy one is constitution which entails a weak legal framework.
 
CCM ya JK na Lowassa - uko sahihi lakini sasa kahama yuko na Lowassa huko kwenu na anawatengenezea himaya wenzake. Tatizo siyo CCM in the abstract ila watu kama Rostam, Lowassa na JK.
Narudia Lowassa is more of the same not change! Vinginevyo usingemwona Rostam na Dewji wanahangaika kumchangia Lowassa na Chadema leo hii!

Mkuu tatizo ni ccm! narudia tena tatizo ni ccmmmmmmmmmmmmmmmm, wote hao walizalishwa na kukuzwa ndani ya ccm na ccm haikuona tatizo, tukapiga kelele mkapinga. leo hii mnatuonesha ufisadi! sisi tuna ufahamu, lakini pia ccm imeamua kuchagua ufisadi wa kuongelea na si ufisadi kwa ujumla wake jambo ambalo lina ashiria kuwa haina nia ya dhati ya kupambana nao. mwisho niweke wazi kwako na hili BMK iliondoa kaimani kaliko kuwa kamebaki kwa ccm, niliweza kufahamu kuwa ccm wakiwa wamoja taifa haiwezi kwena mbele!!!! (nabainisha pia LOWASA SIYO MSAFI!! LAKI HAIMAHANISHI KUWA KURA YANGU ITAENDA CCM NEVER!)
 
Mkuu tatizo ni ccm! narudia tena tatizo ni ccmmmmmmmmmmmmmmmm, wote hao walizalishwa na kukuzwa ndani ya ccm na ccm haikuona tatizo, tukapiga kelele mkapinga. leo hii mnatuonesha ufisadi! sisi tuna ufahamu, lakini pia ccm imeamua kuchagua ufisadi wa kuongelea na si ufisadi kwa ujumla wake jambo ambalo lina ashiria kuwa haina nia ya dhati ya kupambana nao. mwisho niweke wazi kwako na hili BMK iliondoa kaimani kaliko kuwa kamebaki kwa ccm, niliweza kufahamu kuwa ccm wakiwa wamoja taifa haiwezi kwena mbele!!!! (nabainisha pia LOWASA SIYO MSAFI!! LAKI HAIMAHANISHI KUWA KURA YANGU ITAENDA CCM NEVER!)

Mkuu, unaongea kwa jazba lakini turudi. CCM ilikuwa ya mafisadi tokea imeanza au imeteguka na kuacha misingi? Je akina nani wamehusika kupoteza huu mwelekeo? Mmoja wao ambaye ni kinara ni Rostam .. huyu huwezi kumficha ndani ya general accusations ya CCM. Tafakari!
 
Mkuu, unaongea kwa jazba lakini turudi. CCM ilikuwa ya mafisadi tokea imeanza au imeteguka na kuacha misingi? Je akina nani wamehusika kupoteza huu mwelekeo? Mmoja wao ambaye ni kinara ni Rostam .. huyu huwezi kumficha ndani ya general accusations ya CCM. Tafakari!

rostam amehama/fukuzwa lini ccm?
 
Tena akafikia kuwa MWAKA HAZINA MKUU WA CCM leo unapata wapi ujasiri wa kumkana Rostam Aziz.

Tabu hapo si mtu bali mfumo ccm, naomba Mungu asikie kilio cha waTz

Lowassa alikuwa waziri mkuu na mbunge wa CCM kwa miaka mingapi vile? Sumaye je?
Hata hao ngumu kuwatenga na CCM.
You can't pick and choose at your convenience
You are entitled to your opinion but not your own facts! Ukitaka kum-exonorate Lowassa na Sumaye basi hata swahiba wao Rostam inabidi ku-apply same principles.
 
Alishahama muda yupo kama Lowassa na Sumaye .. kaweka kadi ya CCM kama ukumbusho ..

mkuu sasa naona utamkana na chenge mbeba maono wa ccm!! hivi anagombea ubunge kupitia chama gani vile???......... tafadhali unikumbushe.
 
Rostam nae kajiunga na 'Mabadiliko' kuhakikisha wanatokomeza vitendo vya Rushwa na Ufisadi, Chadema wako bize wanasafisha kinyesi kiwe kisafi
 
Rostam yuko smart sana kwenye kazi....anapiga sana kazi....nipo pale caspian napiga kazi masenior wote ni maexpert kasoro mmoja tu na mainjinia wake wote ni ma expert. ....wale watu wanapga kazi wengine hawana hata cha wikend...na jamaa anaomba tender kihalal kabisa na anawanyooosha kwenye tender sababu kaz zake zote mpya anavyoingia mkataba anakuja na vifaa vyote vipya na mashine zote mpya ....mtu anathubutu kununua dumper 7 mpya na kila moja ni usd500k acheni jamaa awe tajir yupo smart sana kwenye kazi zakee
 
Rostam Aziz ni mtanzania kwa kuzaliwa,amezaliwa mwisi wilayani Igunga wazazi wake walikuwa wanaishi mwisi na kwakweli walikuwa ndio wakombozi wa hicho kijiji gari lao ndilo lililokuwa linawabeba wanakiji wanapoumwa kuwapeleka hospitali ya Nkinga,hao wazazi wake walikuwa na roho nzuri sana na walipendwa sana hapo,walifanikiwa kuwasomesha watoto wao wote nje ya nchi na hivi sasa wanafanya kazi mbalimbali nje ya nchi.Rostam alianza siasa miaka mingi iliyopita,yeye ndiye aliyekuwa anawaweka wabunge wa igunga,alimweka marehemu Charles Kabeho na hatimayake ameingia bungeni mwenyewe,toka ameingia bungeni hajawahi kuchukua posho miaka yote posho yake alikuwa anachukua Prof Kapuya,mke wa Kapuya anatoka mwisi na walisoma na Rostam primary.Rostam ndiye aliyemgharimia Sitta ubunge na ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya kumwingiza Sitta uspika wakati huo wakiwa marafiki na pia ndiye mfadhili mkuu wa Lucas Lumambo Seleli aliyekuwa mbunge wa Nzega sasa sijui waligombana nini lakini walikuwa marafiki wakubwa na wamefanya vikao vingi sana nzega nyumbani kwa mkwe wa Rostam Rasul Bakshi.Rostam anapenda hela sana yaani kila penye pesa anapanusa haraka sana,matajiri wote weupe ambao wanataka dili na serikali lazima wapitie kwake vinginevyo anawawekea nongwa.Yeye ni pesa tu na mara nyingi sana huwafadhili kisirisiri hata wagombea wa upinzani mradi tu alinde maslahi ya fedha zake,Mkapa ndiye aliyempa nafasi kubwa za CCM ndiye rafiki yake mkubwa sana huyu Mkwere kamkuta tu na EL ndiye iliyemuitrodyusi kwake,kwa sasa yeye na EL hawaongei kabisa na mkwere walichogombania sijui,Rostam ni tajiri sana na kwa sasa anahamisha mali zake zote,naambiwa na jamaa zake anahama TZ na mwaka 2015 hatakuwepo kabisa, ni kweli kabisa yeye na EL wana mkakati ili EL awe raisi 2015 matayarisho yao ni makubwa sana,mengi ntawaleteeni next time,mie namjua sana tunatoka kijiji kimoja na tumecheza pamoja

Aiseeee kumbe! Makakati wa EL n RA:what::what:
 
Tukimpiga chini lowasa tutakuwa tume mzibiti Rostam.

Rostam asipozibitiwa tutakuwa tumeiharibu nchi yetu
 
Marafiki wa lowasa wako kama lowasa. Mafisad kama Rostam na chemge. Hao wawili hawawez kuwa Marafiki wa magufuli

Watanzania wasivyokuwa na busara wana mchagua mtu wa aina ya lowasa eti awe rais wao. Ajabu iliyoje
 
Back
Top Bottom