Public enemy number one of Tanzania title goes to "Rostam Aziz"

This guy is a notorious local and international criminal,he needs to face justice one day.Let him pretend that he is more intelligent than all Tanzanians, and of course he is even not more intelligent but simple a clever creature.But I know for sure siku zake zinahesabika na ipo siku Watanzania watamuonyesha cha cha mtemakuni.Na nyie watu wa igunga acheni kumchagua criminal kwenye uongozi wa ubunge.Kuna wanyamwezi kibao tu wanafaa kuiongoza Igunga, so kwa nini mnakubali kununuliwa na huyo foreigners?

Who is to blame or start with?

Who is the king of Intelligence Services in Tanzania? Is it a president or patriotic under-covers? Some figures need to fade way now for public interests. Unfortunately, the under-covers always work very well destructively? had they directed their efforts in serving the national interests they would now topped someone who covers them all.

I bet today's chaos are the results of failures of the very heart of the country. My lovely Tanzania, we are wasting time to discuss trivial issues leaving strategic direction of the country on hands of international operatives. They are taking us there unknowingly while we remain serve interests of creative figures at expense of our nationals.

I thought the very heart would take them down and concentrate on how to control the regional economy. No sooner than later, Tanzania will become no man's land. It is a pity!

If we act positively not we are gone. I bet we cant!!
 
RA tusimlaumu sana hapa plz..! lets discuss the source of all this problem....! Me i strongly beleave that the source of all these UFISADI AND UCHAKACHUAJI staffs ni CCM! wao ndo walomwingiza RA kwenye politics, kumlea na kumpa hizo fursa za kuchakachua...!!! Kibaya zaidi amekuja kuwacontrol and wamekua watumwa wake so kila anachokifanya wanashindwa hata kumwambia apunguze na wala sio aache...!
 
Taifa zima limefahamu mpaka leo nani hataki Taifa la Tanzania liende mbele. Kuna mtu mmoja jina lake ni Rostam Aziz. Kila kona ya Taifa la Tanzania tunaona mikono ya Rostam kutengeneza mikataba hewa na kuingiza biashara na makampuni toka nje huku yakijulikana kama ni "investors-wawekezaji" kumbe ni miradi ya Rostam na mafisadi wengine Tanzania. Leo hii tunampa na kumzawadia zawadi ya "Public Enemy Number One in Tanzania"
2891552.jpg


Miradi mingine ya Rostam ni kulobby na kuwakilisha makampuni ya nje Tanzania kuleta biashara wakati yeye ni mbunge na mfanyakazi wa CCM. Kitu gani au Mtanzania gani anaweza kuwa na kofia nyingi hivi kitaifa? Watanzania lini tutachunguza biashara zote za Rostam/documents zote serikalini/ndani ya CCM na tutamchukulia hatua lini? Kwanini Wanachama wa CCM hasa wa Igunda siku zote wako kimya? Siku zinakuja zake....ataripoti jela tu. Mungu Siku Zote Yupo Upande Wetu.
JM tupatieni list ya Public Enemy wa Tanzania tuwafahamu....

Eti leo Rostam anasimama na kumjibu Slaa kuwa ni mpotoshaji na Chadema wanamuunga mkono Rostam Aziz? Hii ni aibu ya mwaka!
Kweli Chadema inaelekea kuzimu!
 
Kuzaliwa TZ kunamfanya mtu awe mTZ moja kwa moja hata endapo wazazi wake wote si waTZ?
Ebu tupe uraia wa wazazi wake na namna walivyokuja nchini.
Hili la kuhamisha mali, mwache ahamishe lakini zitarudi tu - kama zilirudi zile pesa za aliyekuwa rais wa Nigeria, itakuwa yeye? Zilirudi za Mobutu sembuse Rostam!
Hili la kwamba sasa haongei na JK, halina ukweli, kama hawaongei ni mkakati wao wa kutu-fool. Haya yote anayoyafanya RA, kama tunakubaliana kuwa anashirikiana na EL, the JK lazima awe anaunga mkono maana EL alishasema yeye na JK urafiki wao si wa kawaida na hauwezi kuvunjika maana hawakukutana barabarani!

Hiyo inaitwa CITIZENSHIP BY BIRTH.. nchi utakayozaliwa ndio utachukua uraia
 
sijui niwachape viboko? tuache upumbavu wa kuthamini wageni wakati watu wetu wana maela wanaogopa ushamba wetu wa kuogopa fweza wapeni fursa wawekeze kwenye madini gesi kikubwa mikataba iwe wazi. tanzania tukiendelea na ushamba wa kuwachukia watu wetu hatufiki mbali Dangote kakatiwa hekari 2500 hivi Rostam angekatiwa heka 600 si mngejinyonga nyie wanafiki. Mwiny alikua na akili sana akawajenga kina azam ,kina mengi,kina admjee.kina dewji na hao kina rostam nani asiyejua manufaa ya bakhresa na mrngi hata dewji? ushamba unawaondoa watu wetu katika fursa
 
Rostam na kina Rugemalila .lowassa ,jk ni marafiki na wanazidiana utajiri na hapo ndipo wivu ulipolalia. Utamchukiaje rostam tajiri na mweka hazina wa CCM kwa miaka kibao acheni unafiki Rostam hoyeeeeeee
 
Rostam ni mwizi wa rasilimali zetu kupitia Caspian Mining na pia ameiba sana hata Richmond na Dowans ni ishu yake. Hatudanganyiki kama wewe!

Sifa kubwa na CV kubwa ya Rostam ni kuwa mweka hazina wa CCM na mfanikishaji wa kampeni mbalimbali za chama kwa kuwezesha masuala ya faranga . sasa kama kakuibia si uende mahakamani? Kama Dangote mnigeria akipewa heka 2500 tunacheza kiduku kwanini tusicheze taarab Rostam akimiliki Caspian na kujipati fedha. Jadili kama caspian hailipi kodi stahiki na kama hailipi nani anawalinda leo na nani aliwalind a jana hapo ndipo CCM inapojitia ulimi puani na kushindwa kupumua
 
vijana wakumbuke mitambo ya Dowans ndio inayowafanya wachaji simu zao na kuangalia TV ikizima ile nchi itaparalise. Tumshukuru Lowassa kwa umoja wetu kwa maamuzi magumu. Ule mtambo umesifiwa na Obama na JK anaukubali. wanasema ni mtambo bora kabisa hapa Afrika nami nakubali kwani tunapata umeme wa uhakika na nafuu kuliko IPTL. tUSIMLAUMU lOWASSA ,TULISHAURIWA tuununue tukajishaua sasa tunalipa bei mbaya . Rostam hoyeeeeeeee-Dowans Hoyeeeeee-Obama na JK hoyeeeeeee .
 
sio jambambazi wa uchumi bali ni jangili la uchumi na fedha za umma!!! Sijui alipenyaje mpaka akaingia ndani kabisa jikoni mwa chama chetu kitukufu!!! Lazima tujue shetani kumuingiza ndani kazi rahisi, lakini kumtoa, mbinde!
 
sio jambambazi wa uchumi bali ni jangili la uchumi na fedha za umma!!! Sijui alipenyaje mpaka akaingia ndani kabisa jikoni mwa chama chetu kitukufu!!! Lazima tujue shetani kumuingiza ndani kazi rahisi, lakini kumtoa, mbinde!

Aliingizwa CCM na Lowassa na atamfuata huko UKAWA soon
 
Nakubali Rostam ni public enemy,nafikiri kumuua yeye au na watu ishirini wanaohujumu nchi hii si suluhisho la kudumu....

Tuiangalie sana mianya iliyowawezesha wao kufanya hayo waliyofanya na tuzibe au tupunguze mazingira yanayuruhusu watu wachache kuhujumu nchi kiasi hicho.

On the other hand,wizi uko kila mahali,kuna mtu aliwahi sema ''It is always a mistake to overestimate the effects,for good or ill,of the world-shaking events.When the volcano ceases erupting,people go back to live near the crater.Habit is hard to break.I can think of quite a number of habits that even a world war,lasting for years,would not break.And habits make governments.Most of our habits are bad habits,so we have bad government''.

Ni rahisi sana kutumia emotions na kumuangalia Rostam lakini nchi hii kila kona kuna rushwa ambazo hata kama ni ndogo ndogo zinaigharimu nchi na hasa sisi maskini,ni jukumu letu kuanza kujirekebisha na kurekebishana kuanzia kwenye ngazi za chini.Hao wanaoshirikiana na Rostam ni watanzania,na wengine ni wa kipato cha kawaida,wangekuwa na mapenzi mema,tusingekuwa na mishangao tuliyonayo leo kuhusu wizi na hujuma kubwa,lakini kwa sababu wao ni wezi wa chini hatuwaoni wala hatu-deal nao tunamuangalia Rostam,i say kill him but in less than two years another Rostam will be available and working......

Tuzibe mianya ambayo ma-opportunist kama Rostam wanaitumia, natumaini katiba mpya yaweza kuwa suluhisho la muda mrefu la kupunguza ama kuondoa wahujumu uchumi.

well said mkuu
 
Rostam Aziz siyo mtanzania, yeye ni muajemi ndiyo maana hana mapenzi na nchi hii.Anastahili adhabu ya kunyongwa hadi afe au atumbukizwe kwenye pipa la sulphuric acid 98%.
Wewe huna lolote ni mbaguzi na mtu mwenye wivu tembea uone ulimwengu wa sasa uone watu hawatizami rangi ya mtu au kazaliwa wapi mambo hayo yamepitwa na wakati, ikiwa mtu ni raia wa nchi anayoishi ana haki sawa kama mwananchi mwengine. Kwanini anyongwe unafikiri hapa tupo Somalia au Syria hii nchi inatawaliwa kwa Sheria hata kama ina kasoro zake, hata nchi zilizoendelea zina kasoro wewe kwa chuki uliyokuwa nayo unaweza mchoma mtu kisu usiku kwasababu hafanani kwa rangi kama yako. Unatakiwa uwe na wivu wa kimaendeleo, na siyo rangi au mandeleo ya mtu,kwanini usijiulize kwanini mimi siku moja nisiwe kama Rostam kimaendeleo.Ufisadi, ujambazi, wizi na nakadhalika hauambatani na kabila au rangi ya mtu ila mtu mwenyewe binafsi ambae anaweza kuwa wa kabila lolote.
 
Kuzaliwa TZ kunamfanya mtu awe mTZ moja kwa moja hata endapo wazazi wake wote si waTZ?
Ebu tupe uraia wa wazazi wake na namna walivyokuja nchini.
Hili la kuhamisha mali, mwache ahamishe lakini zitarudi tu - kama zilirudi zile pesa za aliyekuwa rais wa Nigeria, itakuwa yeye? Zilirudi za Mobutu sembuse Rostam!
Hili la kwamba sasa haongei na JK, halina ukweli, kama hawaongei ni mkakati wao wa kutu-fool. Haya yote anayoyafanya RA, kama tunakubaliana kuwa anashirikiana na EL, the JK lazima awe anaunga mkono maana EL alishasema yeye na JK urafiki wao si wa kawaida na hauwezi kuvunjika maana hawakukutana barabarani!
Sio lazima uwe umeingia na mali au uwe na wazazi wamezaliwa hapa ndiyo uwe raia, usifikiri watanzania wanaoishi na wenye uraia wa uingereza au nchi yeyote ile nyengine wameingia hizo nchi hizo na mali, au wazazi wao wamezaliwa hapo,kuna njia nyingi za kuupata uraia na ukapewa haki sawa kama raia yeyote mwengine.Tanzania tuache kushughulika na kutizama watu kwanini amekua hivi au vile, hayo ndiyo yaliyoiangusha Uganda kiuchumi mpaka sasa, kutokana na Iddi Amin kuwaona wafanyabiashara maadui na kuwafukuza nchini, tuweke akili zetu jinsi ya kuiendeleza nchi yetu ili na wananchi tunufaike.
 
Back
Top Bottom