This guy is a notorious local and international criminal,he needs to face justice one day.Let him pretend that he is more intelligent than all Tanzanians, and of course he is even not more intelligent but simple a clever creature.But I know for sure siku zake zinahesabika na ipo siku Watanzania watamuonyesha cha cha mtemakuni.Na nyie watu wa igunga acheni kumchagua criminal kwenye uongozi wa ubunge.Kuna wanyamwezi kibao tu wanafaa kuiongoza Igunga, so kwa nini mnakubali kununuliwa na huyo foreigners?
Taifa zima limefahamu mpaka leo nani hataki Taifa la Tanzania liende mbele. Kuna mtu mmoja jina lake ni Rostam Aziz. Kila kona ya Taifa la Tanzania tunaona mikono ya Rostam kutengeneza mikataba hewa na kuingiza biashara na makampuni toka nje huku yakijulikana kama ni "investors-wawekezaji" kumbe ni miradi ya Rostam na mafisadi wengine Tanzania. Leo hii tunampa na kumzawadia zawadi ya "Public Enemy Number One in Tanzania"
Miradi mingine ya Rostam ni kulobby na kuwakilisha makampuni ya nje Tanzania kuleta biashara wakati yeye ni mbunge na mfanyakazi wa CCM. Kitu gani au Mtanzania gani anaweza kuwa na kofia nyingi hivi kitaifa? Watanzania lini tutachunguza biashara zote za Rostam/documents zote serikalini/ndani ya CCM na tutamchukulia hatua lini? Kwanini Wanachama wa CCM hasa wa Igunda siku zote wako kimya? Siku zinakuja zake....ataripoti jela tu. Mungu Siku Zote Yupo Upande Wetu.
JM tupatieni list ya Public Enemy wa Tanzania tuwafahamu....
Kuzaliwa TZ kunamfanya mtu awe mTZ moja kwa moja hata endapo wazazi wake wote si waTZ?
Ebu tupe uraia wa wazazi wake na namna walivyokuja nchini.
Hili la kuhamisha mali, mwache ahamishe lakini zitarudi tu - kama zilirudi zile pesa za aliyekuwa rais wa Nigeria, itakuwa yeye? Zilirudi za Mobutu sembuse Rostam!
Hili la kwamba sasa haongei na JK, halina ukweli, kama hawaongei ni mkakati wao wa kutu-fool. Haya yote anayoyafanya RA, kama tunakubaliana kuwa anashirikiana na EL, the JK lazima awe anaunga mkono maana EL alishasema yeye na JK urafiki wao si wa kawaida na hauwezi kuvunjika maana hawakukutana barabarani!
maneno gani hayo tena mkuu!
Rostam ni mwizi wa rasilimali zetu kupitia Caspian Mining na pia ameiba sana hata Richmond na Dowans ni ishu yake. Hatudanganyiki kama wewe!
sio jambambazi wa uchumi bali ni jangili la uchumi na fedha za umma!!! Sijui alipenyaje mpaka akaingia ndani kabisa jikoni mwa chama chetu kitukufu!!! Lazima tujue shetani kumuingiza ndani kazi rahisi, lakini kumtoa, mbinde!
Nakubali Rostam ni public enemy,nafikiri kumuua yeye au na watu ishirini wanaohujumu nchi hii si suluhisho la kudumu....
Tuiangalie sana mianya iliyowawezesha wao kufanya hayo waliyofanya na tuzibe au tupunguze mazingira yanayuruhusu watu wachache kuhujumu nchi kiasi hicho.
On the other hand,wizi uko kila mahali,kuna mtu aliwahi sema ''It is always a mistake to overestimate the effects,for good or ill,of the world-shaking events.When the volcano ceases erupting,people go back to live near the crater.Habit is hard to break.I can think of quite a number of habits that even a world war,lasting for years,would not break.And habits make governments.Most of our habits are bad habits,so we have bad government''.
Ni rahisi sana kutumia emotions na kumuangalia Rostam lakini nchi hii kila kona kuna rushwa ambazo hata kama ni ndogo ndogo zinaigharimu nchi na hasa sisi maskini,ni jukumu letu kuanza kujirekebisha na kurekebishana kuanzia kwenye ngazi za chini.Hao wanaoshirikiana na Rostam ni watanzania,na wengine ni wa kipato cha kawaida,wangekuwa na mapenzi mema,tusingekuwa na mishangao tuliyonayo leo kuhusu wizi na hujuma kubwa,lakini kwa sababu wao ni wezi wa chini hatuwaoni wala hatu-deal nao tunamuangalia Rostam,i say kill him but in less than two years another Rostam will be available and working......
Tuzibe mianya ambayo ma-opportunist kama Rostam wanaitumia, natumaini katiba mpya yaweza kuwa suluhisho la muda mrefu la kupunguza ama kuondoa wahujumu uchumi.
Wewe huna lolote ni mbaguzi na mtu mwenye wivu tembea uone ulimwengu wa sasa uone watu hawatizami rangi ya mtu au kazaliwa wapi mambo hayo yamepitwa na wakati, ikiwa mtu ni raia wa nchi anayoishi ana haki sawa kama mwananchi mwengine. Kwanini anyongwe unafikiri hapa tupo Somalia au Syria hii nchi inatawaliwa kwa Sheria hata kama ina kasoro zake, hata nchi zilizoendelea zina kasoro wewe kwa chuki uliyokuwa nayo unaweza mchoma mtu kisu usiku kwasababu hafanani kwa rangi kama yako. Unatakiwa uwe na wivu wa kimaendeleo, na siyo rangi au mandeleo ya mtu,kwanini usijiulize kwanini mimi siku moja nisiwe kama Rostam kimaendeleo.Ufisadi, ujambazi, wizi na nakadhalika hauambatani na kabila au rangi ya mtu ila mtu mwenyewe binafsi ambae anaweza kuwa wa kabila lolote.Rostam Aziz siyo mtanzania, yeye ni muajemi ndiyo maana hana mapenzi na nchi hii.Anastahili adhabu ya kunyongwa hadi afe au atumbukizwe kwenye pipa la sulphuric acid 98%.
Sio lazima uwe umeingia na mali au uwe na wazazi wamezaliwa hapa ndiyo uwe raia, usifikiri watanzania wanaoishi na wenye uraia wa uingereza au nchi yeyote ile nyengine wameingia hizo nchi hizo na mali, au wazazi wao wamezaliwa hapo,kuna njia nyingi za kuupata uraia na ukapewa haki sawa kama raia yeyote mwengine.Tanzania tuache kushughulika na kutizama watu kwanini amekua hivi au vile, hayo ndiyo yaliyoiangusha Uganda kiuchumi mpaka sasa, kutokana na Iddi Amin kuwaona wafanyabiashara maadui na kuwafukuza nchini, tuweke akili zetu jinsi ya kuiendeleza nchi yetu ili na wananchi tunufaike.Kuzaliwa TZ kunamfanya mtu awe mTZ moja kwa moja hata endapo wazazi wake wote si waTZ?
Ebu tupe uraia wa wazazi wake na namna walivyokuja nchini.
Hili la kuhamisha mali, mwache ahamishe lakini zitarudi tu - kama zilirudi zile pesa za aliyekuwa rais wa Nigeria, itakuwa yeye? Zilirudi za Mobutu sembuse Rostam!
Hili la kwamba sasa haongei na JK, halina ukweli, kama hawaongei ni mkakati wao wa kutu-fool. Haya yote anayoyafanya RA, kama tunakubaliana kuwa anashirikiana na EL, the JK lazima awe anaunga mkono maana EL alishasema yeye na JK urafiki wao si wa kawaida na hauwezi kuvunjika maana hawakukutana barabarani!