jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Mwana wa Mungu unaonyesha "utumwa wa akili" kudai kwamba waje watuendeleze kuna tofauti gani na euro centric point of view kuwa walikuja Arfica kutu civilize?
Ama na weye sasa ni civilised?tuache haya mambo,no wonder mmeletewa dini badala ya kuwaendeleza imewapumbaza na kuwafanya watumwa wa wazungu,very sad!
Kwanini tusijikite kwenye licensing ambapo tuna import techologies and hows to?Thats what we should fight for na si eti waje kuichukua ardhi yetu waiendeleze kwa niaba yetu,unaota wewe ndot za mchana kweupe!sana sana utakuwa second class kwenye nchi yako kama unataka waje kuichukua ardhi yako ili "waiendeleze" na watu kama nyie mtaridhika maana mwana wa Mungu si unageuza upande wa pili wa shavu ukilambwa mbata upande mmoja?
Kaazi!
Ama na weye sasa ni civilised?tuache haya mambo,no wonder mmeletewa dini badala ya kuwaendeleza imewapumbaza na kuwafanya watumwa wa wazungu,very sad!
Kwanini tusijikite kwenye licensing ambapo tuna import techologies and hows to?Thats what we should fight for na si eti waje kuichukua ardhi yetu waiendeleze kwa niaba yetu,unaota wewe ndot za mchana kweupe!sana sana utakuwa second class kwenye nchi yako kama unataka waje kuichukua ardhi yako ili "waiendeleze" na watu kama nyie mtaridhika maana mwana wa Mungu si unageuza upande wa pili wa shavu ukilambwa mbata upande mmoja?
Kaazi!