Ni kweli hakuna problem lakin ulimsikia Mbunge wa Mpanda Mjini akisema bungeni wakati anachangia hoja ya Ofisi ya Wazir Mkuu kwamba hataki kuwa sehemu ya ufisadi huu kwa kuwapa wazungu ardhi kwa malipo ya Tshs 200 kwa eka kama kodi ya ardhi na Tshs 500 kwa eka kama ada kwa halmashauri ya wilaya hivi hakuna watanzania wenye uhitaji wa ardhi na ww unasema no problem tena aliendelea kusema wanamilikishwa kwa miaka 99 kazi kwako NO PROBLEMkama hakuna sheria iliyovunjwa sioni kama kuna problem