Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Binadamu


Binadamu hatengenezwi ila anazaliwa ila wewe uligundua mungu alitengenezwa na binadamu? Noma kweli kweli
Mungu anatengenezwa na Binadamu ni kutokana na kila jamii inavyoishi au ilivyoishi ilitengeneza Mungu wao issue ikawa pale wanapokutana na kushindanisha Nguvu za miungu yao na Mungu wa Jamii ipi anayestahili kuwa juu ya wote kuwa juu ya mwenzio ndio ilikuwa yaonekana ndio yenye uwezo so waliokuwepo chini wakaonekana wapo down tu walijisemea Mungu wao jupo Juu wakaonekana kama ndio kweli... even yule Mungu Mwezi na Mungu Jua so almost kila kitu ni kutungwa tu na hakuna uthibitisho wa ukweli wao hadi leo hii
 
Huu Uzi Ulinishawishi Kuanza Kufundisha Self Awareness Ijapo Tunakatazwa Kufundisha Public But You Never Know Who You Teach Even Humans Are Light & Dark Spirits, Spiritual Practices Is A Hidden Knowledge It Only For Famous People BUT Lets Keep Teach It In Order To Make A World Better Place Together...

Rakims
 
Huu Uzi Ulinishawishi Kuanza Kufundisha Self Awareness Ijapo Tunakatazwa Kufundisha Public But You Never Know Who You Teach Even Humans Are Light & Dark Spirits, Spiritual Practices Is A Hidden Knowledge It Only For Famous People BUT Lets Keep Teach It In Order To Make A World Better Place Together...

Rakims
Samahani Mkuu kwa kuingilia,hivi nitajuaje kama Third eye imevibrate? Pls Help
 
Wanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, mfano, "Miujiza ya Ukweli!".

Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni nguvu inayoitwa "Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo bila kujijua kuwa wanazo nguvu hizo!.

Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.

Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza!.

Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".

Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".

Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.

"I know I can, be what I wanna be!"

Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga, "wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea!.

Nguvu hizi zimegawanyika matika makundi mengi tofauti, hivyo nimekuwekea baadhi ya makundi hapa chini, just take your time kuyatambua, ujiangalie na wewe unazo nguvu zipi, ili sasa uzitumie nguvu hizo, to "make things happen!".

This is a list of psychic abilities that have been attributed to real-world people. These are also sometimes known as extrasensory perception or a sixth sense. Inclusion in this list does not imply scientific recognition of the existence of an ability. Superhuman abilities from fiction are not included.


Psychic Powers- Ni Nguvu za Kufanya Miujiza-Wengi Wanazo Bila Kujitambua!-Jee Wewe Unazo?!,
Take time kujitambua kuwa you have the powers,
Nitakusaidia website za kukuelekeza ufanye nini kuhusu hizo powers ulizo nazo zikuletee mafanikio!.
Watu wote wenye mafanikio, wameisha jitambua, ila wengi wanafanya siri!.

Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili maisha yako!.

Karibu tujadiliane!.

Pasco.

Kwa wanaopenda kujisomea kuongeza maarifa, nimeongeza list ya all the topics kwenye net resources kuhusu kila kitu chini ya jua.

World Religions
Traditions
Mysteries
What's New?
About
Abuse
Books
Bibliography
Contact
Credits
Copyrights
Donate
Downloads
FAQ
Links
Map
Press
Privacy
Search
Top Level
Terms of Service
Translate
Standards
Unicode
Volunteer
Wishlist
Catalog
African
Age of Reason
Alchemy
Americana
Ancient Near East
Astrology
Asia
Atlantis
Australia
Basque
Baha'i
Bible
Book of Shadows
Buddhism
Celtic
Christianity
Classics
Comparative
Confucianism
DNA
Earth Mysteries
Egyptian
England
Esoteric/Occult
Evil
Fortean
Freemasonry
Gothic
Gnosticism
Grimoires
Hinduism
I Ching
Islam
Icelandic
Jainism
Journals
Judaism
Legends/Sagas
Legendary Creatures
LGBT
Miscellaneous
Mormonism
Mysticism
Native American
Necronomicon
New Thought
Neopaganism/Wicca
Nostradamus
Oahspe
Pacific
Paleolithic
Parapsychology
Philosophy
Piri Re'is Map
Prophecy
Roma
Sacred Books of the East
Sacred Sexuality
Shakespeare
Shamanism
Shinto
Symbolism
Sikhism
Sub Rosa
Swedenborg
Tantra
Taoism
Tarot
Thelema
Theosophy
Time
Tolkien
UFOs
Utopia
Women
Wisdom of the East
Zoroastrianism
Rafiki Pasco wewe umefanya miujiza ipi baada kutambua unazo nguvu hizo
Weka hapa shuhuda zako kwa kuthibitisha unachofundisha kiko hai na siyo hadithi za kuzimu
 
Mkuu Rakims baada ya muda wa kama wiki wa kuufatilia huu uzi nikaona sina budi na mimi kufanya meditation nilijitahidi japo mwanzo ilikuwa ngumu maana nilikuwa nashindwa kutuliza mawazo nyangu sasa jana nikapania nilikasema leo lazima kieleweke na kweli nilienda vizuri ila kilichonishanga na kuniogopesha nkuna stage nilifika nikawa nahisi kama mvua si mvua upepo si upepo kama unanidondokea utosini hapo niliogopa sana nikajitoa haraka sana.Sasa wataalam wa haya mambo nataka nijue ile ni nini maana nisije nikaingiza majini ndani ya mwili wangu.Nawasilisha Wadau
 
Umenifurahisha sana ngadau01 kama unaswallow majini.na mimi ngoja nitafute eneo nikameditate
Mkuu Rakims baada ya muda wa kama wiki wa kuufatilia huu uzi nikaona sina budi na mimi kufanya meditation nilijitahidi japo mwanzo ilikuwa ngumu maana nilikuwa nashindwa kutuliza mawazo nyangu sasa jana nikapania nilikasema leo lazima kieleweke na kweli nilienda vizuri ila kilichonishanga na kuniogopesha nkuna stage nilifika nikawa nahisi kama mvua si mvua upepo si upepo kama unanidondokea utosini hapo niliogopa sana nikajitoa haraka sana.Sasa wataalam wa haya mambo nataka nijue ile ni nini maana nisije nikaingiza majini ndani ya mwili wangu.Nawasilisha Wadau
 
Mkuu Bufa, nimekueleza kuwa powers ziko ndani yetu!. Kwa wenye imani ya Kikristu, tunaamini tuliumbwa na Mungu kwa mfano wake, hivyo nguvu za Mungu hukaa ndani yetu na sisi ndani yake!.

Hizi dini tumeletewa na wazungu na waarabu juzi juzi tuu, kabla ya hapo tulikuwa na dini zetu za asili kwa miaka mingi kuliko tuliokuwa na dini hizi za kuja!. Kwa vile since time immemorial, powers ziko ndani yetu, mababu zetu na imani zao, pia walikuwa na powers!, walioamini mizimu, ilifanya mambo!, waliosalia chini ya mti walifanya mambo!, waliosalia ndani ya pango, walifanya mambo!, waliosalia milimani, kwenye jiwe, kisimani, kichuguu etc, vyote vilifanya mambo!, hadi wanaoamini tunguli, zilifanya mambo!.

Budhist na Hindu walianza kuabudu miaka 300,000 kabla ya Kristu!. Kwa vile powers ziko ndani yetu, imani ni ufunguo tuu wa hizo powers!. Hivyo Waislamu they are right kwa wanachoamini, Wakristu pia wako right kwa wanachoamini, Wahindi, mababu na wengine wote kwa sababu the "powers from within are the same" regardless ni Mungu yupi unayemuamini!.

Wachagga ndio kabila la kwanza kuachana kabisa na mila na kuufuata Ukristo!. Laiti ungejua siri ya mafaniko yao, unaweza usiamini!.

Pasco
Mkuu napenda saana kujua wachaga wanamwamini mungu yupi maana wameshika saana dini ila bado wanarudi kwao kutambika.
 
Back
Top Bottom