Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,369
- 9,746
Mungu anatengenezwa na Binadamu ni kutokana na kila jamii inavyoishi au ilivyoishi ilitengeneza Mungu wao issue ikawa pale wanapokutana na kushindanisha Nguvu za miungu yao na Mungu wa Jamii ipi anayestahili kuwa juu ya wote kuwa juu ya mwenzio ndio ilikuwa yaonekana ndio yenye uwezo so waliokuwepo chini wakaonekana wapo down tu walijisemea Mungu wao jupo Juu wakaonekana kama ndio kweli... even yule Mungu Mwezi na Mungu Jua so almost kila kitu ni kutungwa tu na hakuna uthibitisho wa ukweli wao hadi leo hiiBinadamu
Binadamu hatengenezwi ila anazaliwa ila wewe uligundua mungu alitengenezwa na binadamu? Noma kweli kweli