ndugu yangu ulitumia kimemo au unategeme nguvu za bwana???? manake zile nafasi kama huna kimemo tena kizito usijidanganye never nchi imeuzwa hiii unafiki na uzandiki mtupu hamna maana hapa tusome tufute ujinga tuu tunakoelekea sasa ni kama nigeria tuu
Mh Mungu wangu ndo atanitetea tu