Ushauri wa bure: Wanafuni wengi wanatumia provisional results visivyo. Kwanza wengi wakichukua original copy wanazifanyia lamination halafu wanapeleka photocopy. Tabia hii hukosesha wengi kazi. Inabidi muelewe hizo results ni copy ya results zako ambazo chuo ni gatekeeper. Utapelekaje copy ya copy? Mnapaswa kupeleka copy original ya provisional results. Vivyo hivyo kwa transcripts. Imezuka tabia za vijana wengi kufanya lamination hata academic certificates. Mnaviharibu jamani. Hamtakiwi kuzifanyia lamination. Kwa kufanya lamination mnapoteza authenticity markers za vyeti vyenu. Lamination ni sawa na kuwekea gundi juu ya karatasi.
Kitu kingine, vijana mnapeleka results nusu nusu. GPa hamna, hata baadhi ya matokeo hayapo. Kama mwajiri, ni heri nichukue mtu mwenye GPA ya chini aliyekamilisha vitu kuliko mtu mwenye grades nzuri ambaye hajakamilisha vitu.
Sasa bimkubwa usipofanya lamination hvy vyeti c vitakuwa havitamaniki kwa mazingira yetu, af hapo khs kutuma copy of copy sijakuelewa vizuri ina maana hy provision ikitumwa ka ilivyo na sehemu nyingn utaombea nin?Ushauri wa bure: Wanafuni wengi wanatumia provisional results visivyo. Kwanza wengi wakichukua original copy wanazifanyia lamination halafu wanapeleka photocopy. Tabia hii hukosesha wengi kazi. Inabidi muelewe hizo results ni copy ya results zako ambazo chuo ni gatekeeper. Utapelekaje copy ya copy? Mnapaswa kupeleka copy original ya provisional results. Vivyo hivyo kwa transcripts. Imezuka tabia za vijana wengi kufanya lamination hata academic certificates. Mnaviharibu jamani. Hamtakiwi kuzifanyia lamination. Kwa kufanya lamination mnapoteza authenticity markers za vyeti vyenu. Lamination ni sawa na kuwekea gundi juu ya karatasi.
Kitu kingine, vijana mnapeleka results nusu nusu. GPa hamna, hata baadhi ya matokeo hayapo. Kama mwajiri, ni heri nichukue mtu mwenye GPA ya chini aliyekamilisha vitu kuliko mtu mwenye grades nzuri ambaye hajakamilisha vitu.
Kuna namna nyingi ya kutunza vyeti vyako viwe ktk hali ya usalama. Kwa miaka mingi nimetunza vyeti vyangu ndani ya bahasha ambalo ninahakikisha halikunjwi na ninaweka kwenye sanaduku chini kabisa. Kama sanduku huna hata kabatini unaweza ukaweka. Nilipopata kazi nikanunua briefcase. Tena nakumbuka muuza duka alinishangaa mwanamke kunua briefcase. Nikaweka kwenye briefcase. Kwa sasa ninazitunza kwenye safety deposit box kwenye benki.Sasa bimkubwa usipofanya lamination hvy vyeti c vitakuwa havitamaniki kwa mazingira yetu, af hapo khs kutuma copy of copy sijakuelewa vizuri ina maana hy provision ikitumwa ka ilivyo na sehemu nyingn utaombea nin?
Provisional iko pouwa sema inabidi uwe na consolidated marklist...ambazo ziko certified na sealed from ur college, zinaonyesha detailed GPA for each semester, na hiyo Provisional inakuwa na CGPA(cummulative)...hapo hukosi kazi.