Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
Sometimes kufikiria kunasaidia sana
Huhitaji kwenda shule kuelewa hiyo hoja ya elimu bure!! Elimu bure inawezekana, fanya homework yako vizuri tutakuelewa kama utatuletea facts siyo kuturudisha nyuma wakati tuko karne ya 21.
vipi lini madeni wa wazee wa africa mashariki yatalipwa?Maneno mengi yanini. Wewe toa makadirio yako ya kodi na unipigie hesabu ya matumizi katika sekta zote mkoani na utoe balance. Usikosoe tu jaribu kuja na majibu mliyonayo kwa data unazozielewa wewe.
Mwalimu NYerere alitoa elimu bure, matokeo yake baada ya miaka 20 nchi ilitembelea magoti. CHADEMA (Mh Slaa) japo ya kujua hilo bado ilisisitiza kutoa Elimu bure kwa watanzania wote ili ishinde uchaguzi 2010, lakini ikaanguka. Hii ni kutokana na ueleo mkubwa wa watanzania na kuelewa kuwa hizo ni PROPAGANDA ZA UONGO.
Wiki iliyopita nilipoandika Thread "CHADEMA NI CHAMA CHA PROPAGANDA" wengi walidai nilete ushahidi au vyanzo vya taarifa hizo. Sikufanya hivyo kwa kuogopa Mod kuifuta habari hiyo. Leo nimeamua kuandika ushahidi wa Propaganda hizo za uongo tukianzia kwenye kipengele cha ELIMU BURE KWA WATANZANIA WOTE.
Ili twende hatua kwa hatua naona vyema tuanzie na mkoa wa Kilimanjaro ambako ndio Ngome ya CHADEMA ilikojikita. Naomba waziri kivuli wa fedha wa CHADEMA aeleze kinaga ubaga ni vipi kwa kutumia kodi ya mkoa wa Kilimanjaro itamudu kutoa elimu bure kwa wananchi wa mkoa huo kabla hatujazungumzia Tanzania nzima.
Mkoa wa Kilimanjaro unaongoza Tanzania nzima kwa kuwa na shule za Sekondari nyingi kuliko mikoa yote ya Tanzania. Una sekondari 288 wakati hata Dar es salaam ina sekondari 252 tu (Chanzo: www.moe.go.tz/NectaResuls). Wakazi wa kilimanjaro ni 1441000 ukilinganisha na Dar es salaam ambao ni takriban 2,809,000 (Chanzo: Tanzania: Regions, Major Cities & Urban Localities - Statistics & Maps on City Population). Pato la kodi la mkoa wa Kilimanjaro (Rombo, Hai, Mwanga, Same, Mosho mjini na Moshi vijijini) ni 14,236.4 Milioni (Tzsh) wakati lile la Dar es salaam ni 441,000.5 Milioni (Tzsh) (Chanzo: Tanzania Revenue Authority - Kigoma).
Kabla sijaandika zaidi naomba huyu waziri kivuli wa fedha wa CHADEMA akisaidiana na wapambe wake hapa JF wanieleze ni vipi watazigawanya hizo 14,236.4 milioni Tzsh katika huduma za matibabu (hospitali, zahanati na elimu ya afya), Polisi, utawala mkoa na wilayani, pembejeo, na Elimu (mishahara ya walimu, ukarabati na stationaries).
Mkishindwa kufanya hivyo maana yake ELIMU BURE KWA WATANZANIA WOTE NI PROPAGANDA YA UONGO. Vinginevyo mlitaka kutumia pesa ya walipa kodi wa mikoa mingine kuendeleza mkoa wenu maana kiuchumi haiwezekani Kilimanjaro yenye wakazi 1441000 iwe na shule kupita Dar es salaam yenye wakazi 2,809,000.
Nasubiri majibu yenu kabla sijaendelea na sekta nyingine.
mwanzoni nilimchukia Obama ila kwa sasa nampenda kuliko Bush just because hardened islamists wanaipatapata sana kwa sasa
Ulianza vizuri lakini umemaliza vibaya. Ninachowaomba mimi ni bajeti yenu kivuli inayoambatana na ukusanyaji kodi (kwa muona wa CHADEMA) na matumizi ikiwa ni pamoja na utoaji wa elimu bure.magawanyo wa rasilimali za nchi hii hutegemei pale zinapotoka, mapato ya Dar es salaam au kwenye migodi yanawafaidisha hata wamakonde wa Newala na wamakua wa Masasi. Sasa jiulize, mapato ya serikali yanakwenda wapi? si ndani ya mifuko ya mafisidi waliorundikana serikalini na kwenye chama cha Magamba?
Nyerere alisema inchi corrupt haikusanyi kodi, Tanzania ni nchi corrupt, kodi haikusanywi hata kile kidogo kinaishia kugharamia kuiba kura kwenye hata vichaguzi vidogo, sahau Kagoda, Meremeta, EPA n.k Nchi ina viongozi wa ajabu sana (CCM) wawekezaji wanapewa tax relief ya miaka mitano ikiiisha anauza anaingia mwingine naye anapewa miaka mitano mpaka miaka 50 mingine ya uhuru(itakuwa 100) kodi haikusanywi.
Madini hayatusaidii chochote,tumeshindwa hata kujifunza kwa wenzetu wa Botwsana, Zambia nk. hebu jiulize wewe Ngonda, TZ sasa inaweza jifananisha na Rwanda waliochinjana miaka 15 tu iliyopita? posho za vikao na nguo za bure za kijani zisikufanye upoteze utu wako.
Tanzania haikutembea magoti kwa sababu Nyerere alitoa elimu bure. Tanzania tulianza kutembea magoti baada ya vita vya Idi Amin. Be factual.
Mimi nashangaa sana watu wanavyoona CDM jinsi ilivyokuwa waongo wakasahau ahadi za JK zilivyokuwa za uongo na zisizotekelezeka. Mimi naamini kabisa kama JK amekasirika kupita kiasi ukimpa mikanda ya kipindi cha kampeni yake ni LAZIMA atacheka sana na hasira kwisha kabisa kwa jinsi atavyojishangaa ujasiri wa uongo kiasi kile aliukoupatai! Hata leo zikifanyika kampeni natumani hawezi kudanganya kama awamu iliyopita.
atakuja moto zaidi yake for sure nilimpenda sana JOHN McCAIN kuliko obama kwa wakati ule.Ala? thinking he is gone win? isn't? then you are deceived
Everything thing in this earth will eventually die and decay and so is obama
Justice fighters will be at paradise, injustice fighters will be at hell
the choice is yours, those who got to paradise are the winners
atakuja moto zaidi yake for sure nilimpenda sana JOHN McCAIN kuliko obama kwa wakati ule.
i lv israel
palestina gona be screwed at UNO.huwezi ipa uhuru mikusanyiko ya magaidi kuwa nchi
Topical mbona unanishangaza? How old are you? Hujui IDD AMIN alichofanya Kagera. Yaani wewe ningekutukana vibaya hujui ndugu zangu na babu zangu waliokufa huko Minziro walikuwa wangapi yaani wewe zuzu. Akili zako kama za JK ambaye haijui Dowans, Hajui kwa nini Tanzania ni Maskini. Na wewe upo upo.
Usipoteze mda kujibizana na mpumbavu, maana waelewa tunaona wewe ndo mpumbavu sasa, na hata mimi hapa nimekwisha onekana mpumbavu kuingilia thread ya mpumbavuTanzania haikutembea magoti kwa sababu Nyerere alitoa elimu bure. Tanzania tulianza kutembea magoti baada ya vita vya Idi Amin. Be factual.
inaelekea wewe hata speech za baba wa taifa huwa husikilizi; sababu za nchi nguingia vitani mwalimu alizieleza kinaga ubaga nenda kanunue mkanda usikilize;Really? kwanini alienda vitani?
mtu mzima unapojifanya zezeta inaboa sana
Ulianza vizuri lakini umemaliza vibaya. Ninachowaomba mimi ni bajeti yenu kivuli inayoambatana na ukusanyaji kodi (kwa muona wa CHADEMA) na matumizi ikiwa ni pamoja na utoaji wa elimu bure.
Pengine niwe wazi hapa- Kuwa cha BURE KABISA HAKIPO, SWALI ni nani atalipa. Nilivyowaelewa katika kampeni yenu 2010 ni kuwa mtatumia fedha za kodi ya wananchi kutoa elimu bure. Ninachowaomba ni kuiona bajeti hiyo hapa JF ili nielewa kama inawezekana au ni Propaganda za uongo za kuingilia IKULU.