Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,301
- 2,076
Huu ni waraka ambao unazunguka zanzibar..wenye lengo la kuibua chuki dhidi ya wakristo wachache ili watendeewe kama wanavyotendewa wakristo wachache wa IRAQ.........ni wazi haukuandikwa na mkristo...bali ni aya za kufikirika za wachochezi.
Kuna chama ambacho wafuasi wake walipania kuwa wakishika dola watatekeleza yaliyomo humo ikiwamo kuchoma makanisa ,baa na kuwafukuza watanganyika.....sasa kwa kuwa hakikushika dola wafuasi wake wamekuja na mbinu hii ya kuibua hasira miongoni mwa wananchi ili waamke wenyewe kuyatekeleza hayo maudhui........
kwa kuwa sherehe za harusi ya kishoga zinaendeelea TISS hawawezi kuamka kuyashughulikia haya zaidi ya mkuu wa nchi kulalama tu majukwaani!!!
Ukiunganisha na suala la OIC nafikiri kikwete analijua vizuri kuliko sie na ndio maaana amekaa kimya