Propaganda za kidini zaanza Zanzibar

Huu ni waraka ambao unazunguka zanzibar..wenye lengo la kuibua chuki dhidi ya wakristo wachache ili watendeewe kama wanavyotendewa wakristo wachache wa IRAQ.........ni wazi haukuandikwa na mkristo...bali ni aya za kufikirika za wachochezi.

Kuna chama ambacho wafuasi wake walipania kuwa wakishika dola watatekeleza yaliyomo humo ikiwamo kuchoma makanisa ,baa na kuwafukuza watanganyika.....sasa kwa kuwa hakikushika dola wafuasi wake wamekuja na mbinu hii ya kuibua hasira miongoni mwa wananchi ili waamke wenyewe kuyatekeleza hayo maudhui........

kwa kuwa sherehe za harusi ya kishoga zinaendeelea TISS hawawezi kuamka kuyashughulikia haya zaidi ya mkuu wa nchi kulalama tu majukwaani!!!

Ukiunganisha na suala la OIC nafikiri kikwete analijua vizuri kuliko sie na ndio maaana amekaa kimya
 
Ha! Kama forgery ya 'gospel of barnabas' hivi!
Only a Lunatic can write that so that lunatics can buy to it!
Plain stupid!
 
yeah inawezekana kuwa ni kweli...lakini jee hayo makanisa yamezuiliwa kujengwa? kwani kuanzia hapo 2000 ongezeko la makanisa ni kubwa na na kwa rate ya kasi sana lakini umesikia vurugu zozote?mimi nilichoandika hapo ni kusisitiza tu huo waraka si wa leo..na inawezekana huyo mtu alikuwa nao zamani sana na ameamuwa kuuleta hivi sasa kwa lengo lake maalum...lakini tujue tuna tatizo kubwa sana tu.. hivi juzi tu kama siku mbili nyuma kuna mtu amechoma Qur-an mbele za watu ZNZ lakini bahati mbaya hakikutokea kitu kibaya na kesi yake iko mahakami sasa.. hebu fikiri kama watu wa wange m lynch kingetokea kitu gani?Je hili umelisikia katika vyombo vya habari?je ulikuwa huoni ni uamuzi wa busara kwa vyombo vya habari kutolitangazia na kwa nini walifanya hivyo? akili kichwani mwako lakini waswahili wanasema mti na macho
 
Hakuna padri wala kasisi anayeweza kuwa na akili fupi namna hii bali kuna mpuuzi kachoka na maisha kaamua aandike ili akiweza awapate wenye akili fupi kama yeye aweze kupandikiza chuki ndani ya jamii. Yote haya mapepo yataisha kwa jina la Yesu
 
Kuna kazi kubwa sana kuweza kumpropagate tai. Na mkristo halisi amefananishwa na tai. Hili bandiko linaloitwa waraka lina mkono wa wahadhiri wa kiislamu wale wanaoendesha mihadhara ya kukashifu ukristo. Propaganda hizi wanazotumia hapa ni za zamani sana japo wengine wataziona mpya. Poleni mujahidini wa kiislamu huko zenj.

janja ya panya paka kwisa tambua unapo taka kughilibu watu wende hatua moja zaidi uujue ukweli nakataa kweupe huu sio waraka wa wakristo bali ni waraka wa wale waliochakachuliwa akili zao na MAFISADI Ukristo hauna adui kimwili ila tunalazimishwa kumpenda yeyote ili tufanane na muumba wetu wetu awapendaye wema na wabaya hii ni amri si hiari ila adui yetu mkuu ni shetani ambaye husababisha ujinga umaskini na maradhi ndio tunaopambana na huyo shetwaan sio uislamu its ok tutashinda kwa JINA LA YESU ALIYE HAI MAANA JINA HILO NI NGUMI NYUNDO SHETANI AKILISIKIA ANALIA NA KUSAMBARATIKA Kila mwenye mwili aseme amina!
 
Huu ndiyo ujinga mtupu wala aliyeandika hizi habari si Mkristo kwasababu aliyoandika si ya kweli. Tatizo la elimu ndogo ya zanzibar huwezi kusingizia udini wakati 99% ya wananchi wa zanzibar ni waislam. Vivilevile je ni kiongozi gani wa zanzibar mkristo anayejulikana?? hivyo hizo habari za viongozi si za kweli. Zanzibar hata kazi hakuna uchumi unategemea mgao wa 10% kutoka bara na Wanzanzibar wengi wanaoishi nchi za ulaya na marekani kutuma pesa. Kama mnatakaka kukuza elimu basi punguzeni ukubwa wa serikali na tumieni kiasi kikubwa cha 10% mnayopata kuendeleza elimu. Visingizio vya kidini havitafanya kazi na hii hoja inaonyesha ni jinsi gani wenzetu wanavyofikiria kama usikopata elimu nzuri.

Alipata kuwa Mwakanjuki sidhani kama anajulikana lakini maana nimeona thanks nyingi sana na mkuu wa polisi mkoa wa mjini magharib george kiziguto.
 
PM...
Hiyo barua/walaka upo siku nyingi sana! Umezunguka kwenye emails, forums n.k kwa miaka sasa!
 
this is stupid! It reflects the level of understanding of the composer of ths episode.not a single christian can do ths.ukristo sio dini ya chuki na wakristo ni wastaarabu.pamoja na wingi wa madhehebu ya kikristo,yet hakuna hata mojawapo laweza kuandika upuuzi huu.hii ni roho ya uchochezi inayotoka kwa shetwani.mnakera sana.ningekuwa na uwezo watu wa namna hii ningewahamishia kwenye sayari ya mars dunia yetu iendelee kubaki na amani.nawalaani watu wa jinsi hii1

kama ukristo hauenezi chuki na NI dini ya kistaarabu, mbona kanisa limeshutumiwa vikali na hata baadhi ya viongozi wake wamepatikana na hatia kwa kuchochea mauaji ya halaiki rwanda mwaka 1994 na hata kuruhusu mauaji ndani ya kanisa kwa watusi waliokimbilia kanisani kujinusuru?

ama kuhusu huu waraka siwezi kusema umetoka kanisani au laa, bali unazidi kuniweka ktk hali ya tahadhari kutokana na tabia ya kanisa ya utata kuhusu historia yake!!!!
 
Huyo mwandishi amesoma shule ya kata. Hiyo style ya uandishi haina INSPIRATION ya roho mtakatifu. Aliyeandika ni mtu wa dini nyingine mwenye kiu ya kunywa damu ya binadamu wengine. Bahati nzuri Mungu ni mwaminifu hawezi kubariki ujinga kama ule.
 
Huu ndiyo ujinga mtupu wala aliyeandika hizi habari si Mkristo kwasababu aliyoandika si ya kweli. Tatizo la elimu ndogo ya zanzibar huwezi kusingizia udini wakati 99% ya wananchi wa zanzibar ni waislam. Vivilevile je ni kiongozi gani wa zanzibar mkristo anayejulikana?? hivyo hizo habari za viongozi si za kweli. Zanzibar hata kazi hakuna uchumi unategemea mgao wa 10% kutoka bara na Wanzanzibar wengi wanaoishi nchi za ulaya na marekani kutuma pesa. Kama mnatakaka kukuza elimu basi punguzeni ukubwa wa serikali na tumieni kiasi kikubwa cha 10% mnayopata kuendeleza elimu. Visingizio vya kidini havitafanya kazi na hii hoja inaonyesha ni jinsi gani wenzetu wanavyofikiria kama usikopata elimu nzuri.

Ama kweli njia ya mwongo ni fupi! Yaani, ninavyowafahamu Wakristu ni watu wa data sana, waraka huu hauna hata data! Aidha, Wakristu niwajuavyo, huwa hawatumii neno ADUI, wanasisitizwa kuwapenda hata maadui. Ndiyo maana hata KRISTO Yesu aliwasamehe waliomsulibisha na kuwaambia 'Baba, uwasamehe, maana hawajui walitendalo'.

Bila shaka, walioandika waraka huu (ngoja niuite waraka, kwani hauna hata sifa za kuitwa waraka), ni weupe huko upsatairs; kama wameenda darasani, sanasana ni elimu ya ngumbalu.

Kwa vile maandishi hayo watayagawa si kwa Wakristu, bali kwa walengwa, watakao yaamini, ni mbumbumbu pia! Mwisho, napenda kumwombea aliyeandika upupu huu kwa JINA HAI LA KRISTO YESU ili mapepo yake yamtoke mara moja....Amen.
 
PURE COOKED DATA, uongo wa hali ya juu . Aliyetoa mada tutamtafuta na atupatie original source ya hili.
Wakristo au waislaam wa KWELI hawana muda wa kujadili dini za watu wengine. Ni watu wastaarabu na wavumulivu pale wanapodhalilishwa.

Huyu aliyeandika na hakika si MKRISTU maana maadili ya kikristo hayalengi kuchonganisha.

Tunamwombea huyu apate utakaso wa roho yake na asirudie kuandika uongo kama huu unaoweza kuchonganisha jamii.

natumaini wapenda amani wote na wenye imani ya kweli watapuuza yote yaliyoandikwa hapo juu - Amen
 
kama ukristo hauenezi chuki na NI dini ya kistaarabu, mbona kanisa limeshutumiwa vikali na hata baadhi ya viongozi wake wamepatikana na hatia kwa kuchochea mauaji ya halaiki rwanda mwaka 1994 na hata kuruhusu mauaji ndani ya kanisa kwa watusi waliokimbilia kanisani kujinusuru?

ama kuhusu huu waraka siwezi kusema umetoka kanisani au laa, bali unazidi kuniweka ktk hali ya tahadhari kutokana na tabia ya kanisa ya utata kuhusu historia yake!!!!

jee muislamu akifanya uovu uisjamu ndivyo unavyo fundisha? huo ni uasi binafsi ambao hatuwezi kuuhusisha na mafundisho ya uislam labda iwe kinyume vyivyo mkristo muovu anatenda kivyake si mafundisho ya ukrsito ambayo yako wazi hayana kificho mwana mpaka MTUME AMEWAASA WAUMINI KWAMBA ........ALIYE KARIBU KWA URAFIKI NA WAISLAM NI WALE WASEMAO SISI NI WAKRISTO....
 
Mambo huanza hivihivi kama utani, "WAO NI WATANGANYIKA, SISI NI WAZANZIBARI,KWANZA SISI NI WAARABU NA WAO NI MANYANI. MHH itakula kwao wenyewe, watu wenyewe wamelegea kama nini, eti wanategemea mwarabu awasaidie, wamwulize Gadafi tulichomfanya uganda
 
TISS at work huu ni upuuzi na aliyeandika ni mpuuzi kapoteza muda wake bure, huwezi kukuza ukristo kwa kuanzisha mabaa mengi na pombe nyingi au kuoa wanawake wa kiislamu. Huu ni mwendelezo wa Kikwete type emails na messages zenye kupandikiza sumu ya udini ili kuonyesha aliyoyazungumza juzi yana support, Kikwete aelewe kama aliruhusu mambo haya yafanyike kumsaidia wakati wa kampeni yataendelea kumla mwenyewe taratibu, mimi naelewa hakuna kitu kama hiki kinaweza kufanywa na mkristo kamili.
Tena huyo mwandishi ni muislamu mwenye chuki binafsi, hana elimu na anapoteza muda kuandika upupu ambao hata waislamu wenyewe hawatasoma. Ukisoma unaona alivyo na ufinyu wa akili, tena anaponda huduma za mashule na hospitali anasahau kuwa watoto wa kiislamu wanawaandaa kuendelea kuburuzwa kwa kuwanyima muda wa kupata elimu na wanaishia kwenye dini. Kama haelewi awaulize akina makamba wametumia mbinu gaoi kuwaandaa watoto wao ambao leo mnataka wawaongoze. Huo ubinafri hautowafikisha popote. akawaulize wakina Makamba
 
hii ndio kazi ya jembe na nyundo..... kubomoa na kufukia uchumi wetu kwa kutumia propaganda zenye kugawa watanzania
 
Katakata nakataa huo sio waraka wa kuandikwa na mtu wa dini iliyoainishwa hapo juu, kama sio mwongozwa na mapepo basi majini, hizo ni propaganda za kutaka kuuchafua ukristo na kupandikiza chuki kwa waislamu na wazanzibar kwa ujumla, naomba upuuzwe na usipate nafasi ya kuumiza vichwa vyetu, kama anadhani yuko sahihi huyu ndugu atupe source ya huo waraka! Mungu baba tunaomba umsamehe kwa sababu hajui atendalo.
 
kama ukristo hauenezi chuki na NI dini ya kistaarabu, mbona kanisa limeshutumiwa vikali na hata baadhi ya viongozi wake wamepatikana na hatia kwa kuchochea mauaji ya halaiki rwanda mwaka 1994 na hata kuruhusu mauaji ndani ya kanisa kwa watusi waliokimbilia kanisani kujinusuru?

[COLOR=#ff0000[COLOR=red]]ama kuhusu huu waraka siwezi kusema umetoka kanisani au laa, bali unazidi kuniweka ktk hali ya tahadhari kutokana na tabia ya kanisa ya utata kuhusu historia yak[/COLOR]e!!!![/COLOR]

nazani unashindwa kutofautisha UDINI na UKABILA-swala Rwanda lilikuwa la ukabila-na si la udini-so kama kuna viongozi wa dini waliohusika-walijikuta wanahusika kama watetez wa kabila lao na si watetez wa kanisa
 
Waraka maalum kwa Wakristo Zanzibar
Wapendwa katika Bwana,
NDUGU Wakristo umefika wakati tumeonelea kuwa ipo haja ya kuwaelezeni
machache ili kuona maendeleo yetu na mafanikio tuliokwisha yapata hapa
Zanzibar, yanaendelezwa na hayarudi nyuma kwa namna yoyote. Hapana
shaka kuwa munaelewa kuwa idadi yetu hadi sasa ni ndogo sana na wengi
wetu tungali katika kiwango na hadhi ya wahamiaji na sio Wazanzibar
kama wanavyosema wenyewe.
MAFANIKIO YETU
KABLA kugusia yale ambayo tunahisi ndio lengo la waraka huu hapana
budi kuwatajieni mambo machache ambayo tumefanikiwa kuyapata hadi
sasa. Pamoja na jitihada zetu za muda mrefu bado tunapaswa tumsifu
Bwana kwa msaada wake mkubwa kwetu dhidi ya maadui zetu. Tunaamini
kuwa kupitia nguvu ya Roho Mtakatifu, Bwana atatupa ushindi na
mafanikio makuu zaidi ya haya na atawafumba macho maadui zetu wazidi
kulala ili mipango yetu yote ya kuibadilisha Zanzibar kidemografia
ifanikiwe katika kipindi kifupi kijacho. Mafanikio yetu yameenea
katika kila upande – katika uchumi, siasa, huduma za jamii, umiliki wa
ardhi, ujenzi, elimu na kadhalika ili kupata picha kamili ni vyema
tuorodheshe kwa ufupi mafanikio hayo:
Nafasi yetu kwa upande wa elimu imekuwa ya kuridhisha kupitia nafasi
za serikali. Hivi sasa ni rahisi na limekua jambo la kawaida katika
kila matangazo ya wito wa masomo kusikia majina ya Wakristo. Kati ya
vijana 7 hadi 10 ni lazima upate vijana wawili hadi watatu kutoka
katika makanisa yetu.
Sambamba na matangazo ya elimu, vijana wetu wamekuwa wanapata nafasi
nyingi za ajira katika serikali ya Zanzibar.
Hali ya kutoelewana kisiasa baina ya Wazanzibari imetoa mwanya kwetu kuingiza vijana wa
Kikristo wenye asili ya bara kwa wingi kwani wamekuwa wanaaminika
zaidi kuliko vijana wa Zanzibar.
Hali tulioieleza juu imetuwezesha kuwa na Wakristo wengi katika nafasi
za juu serikalini na katika chama tawala. Hali hii ni lazima
iendelezwe katika ngazi zote kwani ndiko kunako mambo mengi ya kila
siku.
Tumepata fursa ya kutumia Taasisi za serikali kwa uendeshaji wa ibada
zetu. Hali hii imefanya tuzidi kukubaliwa na Waislamu na kuvumiliwa na
inaweza kutupa nafsi ya kuwavuta katika NENO LA BWANA.
Kwa upande wa mashamba (vijijini) tumepata wasaa mzuri wa kununua
ardhi toka kwa Waislamu ambao hadi sasa bado hawajashtuka. Ardhi hizi
zimetuwezesha kujenga makanisa kadhaa ambayo hapo awali hayakuwepo.
Idadi ya skuli na vituo vyetu (ambavyo licha ya picha ya juu kuwa
haviendeshwi kwa misingi ya Kikristo lakini kiukweli ni vituo vya
kimisionari) vimeongezeka kwa hali ya kuridhisha. Skuli hizi ni
kuanzia kwa watoto wadogo hadi vituo kama hichi kilichopo mji mkongwe
(Stone Town Youth Centre) na zinafanya kazi vizuri katika kupandikiza
mila za Kikristo.
Sera zilizopo hivi sasa kwa upande wa uingiaji na utokaji Zanzibar
imetusaidia sana katika uingizaji wetu (Wakristo) kutoka Bara na hivyo
kusaidia kufuta ile imani ya kuwa Zanzibar ni kisiwa cha Waislamu eti
Wazanzibari kwa zaidi ya asilimia 99 ni Waislamu.
Ujaji wa Wakristo kwa wingi kutoka Bara umewezesha kuongezeka kwa
idadi ya mabaa na kilabu za pombe. Hivi sasa ni jambo la kawaida kuona
magari ya aina mbalimbali yanayomilikiwa na eti Waislamu yamebeba
kreti za bia na pombe kali.
Kujiingiza kwetu katika taasisi za dola katika ngazi za mitaa
kumetuwezesha kupata nafasi ya kutangaza Ukristo kwa njia ya mihadhara
na wakati huo huo kudhibiti mihadhara ya wazi ya Waislamu kwa kutumia
madai ya kashfa na kutatanisha maelewano mazuri baina ya watu wa dini
tofauti.
Tumefanikiwa kupata viwanja vingi katika maeneo ya mjini ambayo
yangali mapya. Maeneo haya ni kama Tomondo, Mombasa, Mwanakwerekwe na
kadhalika ambayo tayari tumeshajenga makanisa yetu ingawaje kwa sasa
hayajawa na waumini wengi wa kuyatumia na bado yanaonekana ni matupu.
Ndugu wapendwa katika Bwana,
Mafanikio hayo yasitufanye tukalewa na kusahau jukumu la kanisa la
kuona kuwa utawala wa Bwana unashuka Zanzibar haraka iwezekanavyo.
Kosa lolote utakalofanya hivi sasa litaweza kuturudisha hatua kadhaa
na huenda nafasi hii tuliyonayo hivi sasa tusiipate kwa karne mpya
ijayo.
Mambo ya kufanya yanayotukabili ili kuimarisha nafasi yetu ni kuona
yale tuliyokwisha yapata hayatutoki na kuyafanya dira kwa karne ijayo
ni haya yafuatayo:
Tusahau tofauti zetu dhidi ya adui
Ingawaje tupo madhehebu nyingi lakini tunawajibika kuelewa kuwa
Waislamu na Uislamu wao ni adui yetu namba moja ambaye hatutofaulu
kupambana nae mmoja mmoja. Uislamu hapa Zanzibar ni dini iliofungamana
na mila na utamaduni hivyo kila itakavyowezekana tusahau tofauti zetu
ndogo ndogo na hata kubwa kukabiliana nao, vingienvyo tutarudi kama
wakati wa Karume.
Tuhakikishe tunapata ardhi
Hii ni mbinu kongwe katika usambazaji wa Ukristo. Wazee wetu
walipoleta Ukristo Zanzibar na katika Afrika, jitihada waliyofanya ni
kupata ardhi kuwa kwa ajili ya ujenzi wa maeneo yetu, majengo ya
hospitali, shule, zahanati na vituo vya chekechea, makanisa na
kadhalika. Tunahitaji ardhi kubwa ili kuziweka huduma hizo mahala
pamoja kwa ajili ya kueneza injili ya Bwana na Muokozi wetu.
Tununue nyumba na viwanja kwa ujenzi wa Makanisa
Inaonekana Waislamu wenye siasa kali na baadhi ya watendaji kwenye
serikali wameanza kushtuka na ongezeko kubwa la makanisa katika kisiwa
cha Unguja. Kuna dalili kuwa tunaweza kupata ugumu katika kupata
viwanja kwa ajili ya makanisa. Njia tunayoweza kuitumia kwa muda huu
ni kununuwa viwanja vitupu au nyumba za Waislamu kwa bei kubwa
itakayowashawishi kuziuza na baadaye tukaweza kuvijenga au kugeuza
nyumba hizo kuwa makanisa.
Tujenge shule na hospitali kwa wingi
Hizi ni taasisi ambazo tunaweza kueneza neno la Bwana kwa Waislamu
walio wengi hapa Zanzibar. Kwa kutumia umaskini unaowakabili wengi ya
Wazanzibari na uchache wa huduma hizo tunaweza kujitangaza vizuri,
tujitahidi kutoa huduma nzuri kuweka vifaa vya kisasa kuweka bei
ndogo, kuweka upendo ili vituo vya Waislamu au hata vile vya serikali
visiweze kuvikaribia vyetu. Shule ni sehemu muhimu ya kupandikiza
mafundisho yetu zaidi kwa watoto wadogo (Nursery).
Tunadai muda zaidi katika vyombo vya habari (TV na Radio)
Kwa muda mrefu sasa Uislamu na Waislamu wamehodhi vyombo hivi vya
habari mbali na kuwa siku ya Ijumaa ambayo yote humilikiwa na vipindi
vya Kiislamu vyombo hivyo hutenga siku nyingine kadhaa kwa vipindi vya
Kiislamu na hata kuthubutu kutia adhana kila wakati wa sala hali hii
inaudhi na inatoa picha ya wazi ya serikali kupendelea Uislamu
ingawaje inadai kuwa haina dini. Wakati wa kusherehekea miaka 25 ya
TVZ tulizungumzia suala hili lakini halikupata mtu wa kulifanyia kazi.
Sasa tuhakikishe kuwa Ukristo unapata muda zaidi katika vyombo hivyo
au Uislamu nao upunguziwe nafasi.
Tuongeze mhadhara wa wazi
Wakati Waislamu wamezuiliwa kufanya mihadhara ya wazi, sisi tujitahidi
kuhakikisha kuwa mihadhara yetu inaongezeka kwa kiwango kikubwa. Kwa
kuwa Waislamu hawahudhurii mihadhara hiyo, lazima tuone Wakristo wa
mjini na mashamba wanahamasishwa na kupatiwa nyenzo ili kuhudhuria.
Vipaza sauti vitumike kuhakikisha kuwa neno la Bwana linafika kila
pahala. Mihadhara ifanyike karibu na nyumba, Misikiti na kwenye
viwanja vya wazi.
Tuendelee kutumia shule na sehemu za umma
Ili kuwafanya Waislamu watuzoee na kuondosha chuki yao kwetu ni lazima
kuendelea kutumia mashule na sehemu za umma zilizo wazi kwa mambo yetu
ya ibada kwa kipindi kirefu hali hii inaweza kuwafanya washindwe kuona
tofauti yetu na wao.
Tufanye suala la uhamiaji Zanzibar kuwa jepesi
Uzoefu unaonesha kuwa ni jambo gumu kuwabatiza Wazanzibari Waislamu.
Hali hii inafanya ongezeko la Wakristo kuwa dogo au halipo kabisa
ukitoa wale wanaozaliwa katika familia za Kikristo.
Njia pekee ya kuhakikisha ongezeko la makanisa na taasisi zetu ni
kuongezeka kwa Wakristo. Jambo hili litawezekana kwa kuingiza Wakristo
wengi kutoka Tanzania Bara au wapagani ambao tutaweza kuwabatiza kwa
kutumia udugu wetu wa kikabila au asili ya Bara. Kwa kuwatumia ndugu
zetu waliomo serikalini (SMZ au SMT) tuhakikishe kuwa suala la
uhamiaji linabakia wazi na rahisi na linaendelea kwa kila hali.
Tuzuie jaribio lolote la kadi za uraia au vitambulisho
Wakrsito tunapaswa kuelewa kuwa iwapo serikali ya Zanzibar itaamua
kufanya chochote ili, kuwa na vitambulisho au kadi za uraia kwa
Wazanzibari basi jambo hilo litaathiri sana mipango yetu ya muda mrefu
kwa Zanzibar. Jitihada zozote za kuiimarisha Zanzibar kama Zanzibar na
nje ya Utanzania ni lazima tuelewe kuwa Uislamu utapata nguvu na kuwa
tishio kwa hapa Zanzibar na hata Bara. Iwapo tutawajibika kuunga mkono
ni kadi za Uraia na vitambulisho vya Watanzania kwa ujumla na sio
Zanzibar peke yake.
Tujipenyeze na kushika nafasi muhimu
Lazima tuelewe kuwa chama chochote cha siasa kinalenga kukamata
serikali ili kiweze kutekeleza yale yanayoaminika kuwa mazuri kwa
chama hicho. Tunapozungumzia vyama vya siasa kwa Zanzibar tunahusisha
zaidi kwenye CCM na CUF. Watu wetu wamefaulu kuingia kwa wingi katika
chama tawala na katika jumuiya zake.
Tuunge mkono sera za utalii
Hadi sasa wengi wa watalii wanaoingia Zanaibar hutokea nchi za
Kikristo. Desturi za watalii hupingana na zile za Kizanzibari na hata
za Kiislamu. Watalii wanasaidia kuongezeka kwa mabaa na vivazi ambavyo
Waislamu wanataka visivaliwe hasa na wanawake.
Tujenge mabaa na kuongeza pombe
Waislamu wengi huchukia pombe na huweza kuhama iwapo duka la pombe au
baa ipo karibu nao. Waislamu hatari ni wale wanaosoma na kupata muda
wa kujishughulisha na dini yao.
Pombe ni kitu ambacho humtoa Muislamu katika Uislamu wa vitendo na
kumkaribisha na Ukristo.
Uwafuate Wakristo waliosilimu ili warudie Ukristo
Watu wa aina hii wanakuwa bado hawajatulia na mara nyingi huwemo
katika matatizo. Pana haja ya kuwalenga watu hawa ili kuwarudisha
kabla hawajatulia au kupata elimu nzuri. Matatizo yao ndipo mahala pa
kuanzia ili Bwana atawateremshie roho ya utulivu. Uzima wa Ukristo ni
kuwa na wafuasi wengi kadiri iwezekanavyo.
Tuwafuate wanawake kwa misaada
Jumuiya zisizo za kiserikali zinaungwa mkono duniani kote na hasa zile
za wanawake na watoto tujiweke pamoja ili tuweze kuwavutia kwa jina la
kuwasaidia.
Tuongeze vituo vya mafunzo ya Kikristo
Kituo cha vijana cha mji mkongwe (Stone Town Youth Center) kimekuwa
kikifanya kazi yake vizuri kwani hadi sasa lengo lake la ndani bali
halijaeleweka na vijana wanaohudhuria hapo kwa shughuli mbalimbali,
jitihada zifanyike ili kuwa na vituo vya aina hii katika maeneo
mengine. Lengo kuu liwe ni vijana na wanawake bila ya kuonesha dalili
za kidini.
Tuwaoe wanawake wao kwa kusilimu kimajina
Jitihada za makusudi zifanyike ili kila itakapowezekana kuwaoa
wanawake wa Kiislamu ili tuweze kuwabatiza baadae, njia nzuri iwapo
patakuwa na ugumu ni kusilimu kiuongo ili kuruhusiwa kuwaoa wanawake
wao.
Tuanzishe NGOs na sisi tuwe viongozi
Kwa kuwa hivi sasa wafadhili wengi wameonesha hamu ya kuzisaidia NGOs
moja kwa moja badala ya serikali ni lazima tujitahidi kuunda jumuiya
zetu ambazo zitawashirikisha Waislamu lakini uongozi wa juu ni lazima
uwe mikononi mwetu. Hii itatuwezesha kuona sera zetu na malengo
yanatelekezwa kwa kivuli hicho.
Tujenge ukaribu na viongozi ili kuwadhibiti Waislamu
Mambo yetu mengi yamekuwa yanakwenda vizuri katika maeneo mbalimbali
baada ya wenzetu kuwemo katika kamati za masheha, na matawi ya vyama,
na kamati za maendeleo za maeneo mbalimbali. Hali hii ni lazima
iongezeke ili udhibiti wa shughuli za Waislamu uwe mzuri zaidi na
wakati huo huo kuona kuwa mambo yetu yanakwenda yakiwa na baraka ya
vyombo vya dola na vyama vya siasa.
Tuwachonganishe Mashehe wenye msimamo mkali
Mashehe wenye misimamo mikali wamekuwa ni tatizo kwa Ukristo kwani
wana wafuasi wengi na wamekuwa wakisema wazi na kushutumu maendeleo
yetu. Mashehe hao ni lazima wachonganishwe na serikali ili hali
ikiruhusu wazuiliwe kuendesha shughuli zao. Wakati tukifanya hivyo
hatuna budi kuwaunga mkono Mashehe wote ambao wamekuwa wakitusaidia
kwa njia mbalimbali.
Tulenge kuifuta Tabligh
Pamoja na kuwa na Tabligh sio hatari moja kwa moja kwa Ukristo lakini
bado inastahili kupigwa vita kwa sababu ina aina pekee ya mihadhara ya
Waislamu inayoruhusiwa humu Zanzibar. Tabligh inaweza kuwazindua
baadhi ya Waislamu ambao ni vema kubaki bila ya kuzinduliwa.
Tudai turudishiwe taasisi zetu
Serikali ya Zanzibar bado inaonekana kuwa ngumu katika milki ya
makanisa, ardhi na taasisi zetu. Dalili za huko nyuma zilionekana
nzuri kwani tulifanikiwa kupata hospitali yetu Walezo na eneo la
Kiugani hata hivyo panakuwepo na ugumu wa kurudishwa shule zetu. Kwa
kuwatumia wenzetu waliomo serikalini na baraza la wawakilishi
tuzidishe harakati na madai ya taasisi zote zilizobaki.
Tulete waumini kutoka mashamba kuanza makanisa
Hivyo sasa pameibuka wasi wasi kuhusiana na wingi wa makanisa ambayo
hayajapata waumini wa kuyajaza. Ili kuficha dosari hii na hoja kadhaa
utaratibu uliopo hivi sasa chini ya baadhi ya makanisa ni lazima
uungwe mkono. Wakristo wahamiaji wengi hufikia mashamba hivyo pawekwe
na utaratibu wa kuwaleta mjini ili kujaza makanisa.
Neno la mwisho
Wapendwa katika Bwana.
Miongozi hii ni mikubwa na inaweza kuwatisha baadhi ya waumini wa
Kikristo hasa wale ambao bado hawajampokea Roho Mtakatifu vizuri. Hata
hivyo, kwa uwezo wa Bwana Mungu wetu ni mpango rahisi. Suala la muhimu
ni haya kufahamika na kila Mkristo apendae kumtumikia Bwana. Pia
hatuna budi kuishukuru awamu ya nne ya serikali ya Mapinduzi ambao
imefungua milango kwa Ukristo na kushuhudia ongezeko la makanisa.

Nyaraka zote rasmi za Wakristo huwa zimesainiwa (zina majina, vyeo na saini za waandishi) na hata namna zinavyoanza (address waumi wao ni tofauti na huu unavyoanza). Aliyebuni waraka huu ni mwenda wazimu. Nadhani amelewa bangi na anajidhalilisha mwenyewe na upeo wake mdogo wa kufikiri!
 
Back
Top Bottom