Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Waziri Nchimbi anatoa maelezo jinsi chadema inavyo hatarisha hali ya amani ya nchi.
Angalia ch 10
Angalia ch 10
nchini kenya zile Phd zenye utata huwa zinaandikwa hivi 'Phd' je Nchimbi ya Phd yake ni ipiNiliposikia Waziri wa Uchukuzi wa Zanzibar anajiuzulu baada ya Boti kuzama, Nikasema amefungua mlango wa uwajibikaji. Yule waziri hakuwa na kosa hasa ukizingatia ile Boti ilikuwa inatoka Dar-es-salaam, lakini alijua what is responsibility about.
Leo kumsikia PhD holder anatumia lugha za If condition.
Kama Chadema wengehailisha mkutano wao, Mwandishi asingekufa. Nani nakuuliza Mh Waziri na IGP
Mh Nchimbi! what if Police wangesubiri mpaka mkutano kuisha na kuwakamata Viongozi wa CDM, Mwandishi asingekufa
Anatoa maelezo mengi ya nini angesubiri tume aliyounda italeta majibu.
Yaani Channel ten bado wanampa airtime huyo kiongozi wa wauaji wa mwandishi wao.
Shame on Channel ten na ukibaraka wao.