No slaa anapote hivyo kisiasa kama mrema
Akianza kuokota makopo ndo mtakubali
Wakati wa watanzania kuingia kwenye dimbwi la kudanganywa na mafisadi umeisha Hakuna kopo litakalookotwa na DR Slaa ni mbele kwa mbele mpaka IKULU ha ha ha
No slaa anapote hivyo kisiasa kama mrema
Akianza kuokota makopo ndo mtakubali
ccm unajua wanaishi karne iliyopita
ccm wanafikiri magazeti ni muhimu sana kama zamani
ccm wanafikiri hii mitandao ya simu iko mjini tu
kwa taarifa yao.....mwaka huu hadudanganyiki
na tutapiga simu mpaka vijijini kuongea na ndugu zetu
kwamba huu ni uzushi tu.....
Akili ya binadamu inaweza kugawanywa katika makundi manne:
1. Akili za chini. Wenye nazo hujadili nani kala nini, kavaa nini nk,
2. Akili za kawaida. Wenye nazo utawatambua kwa kujadili matukio; nani kafunga goli, nani kampiga ngumi nani, nk
3. Akili za juu. Wenye nazo hujadili mawzo (ideas), kisha huwashirikisha wenzao mawazo yao na namna watakavyoyatumia kuleta tija (maendeleo) ktk jamii. Watu hawa ni wachache na tunawahitaji,
4. Akili za juu sana (extra-ordinary intelligent). Hawa huwa na IDEAS lakini hata wakiwashirikisha watu wachache sana huelewa, wengi hudhani ni uzushi. Ni baada ya miaka mingi watu hawa huonekana kuwa LA, KUMBE, walikuwa sawa....too late. Nadhani wamo kina Isaac Newton, Galileo Galileo, Yesu wa Nazaret, JK, Nyerere, nk.
Sasa, sisi na jamii yetu tuko wapi?Kama jamii kubwa ipo No. 1, au 2, basi lazima CCM itumie mbinu hiyo.....,
Ukiyatazama magazeti nayo yamegawanyika ktk makundi hayo...je TV?
Kumbe Jakaya Kikwete (JK) ni kichwa,mnamkubali!
mtiwadawa heshimu quotes za watu hauna ruhusa kubadili quotation ya mtu unachotakiwa ni ku quote na kutoa comment yako basi lakini si kubadili maana. Ujue humu kuna watu wazima na heshima zao hatuchezi mdako wa kitoto. Kwa kutumia hii post naku ripoti moja kwa moja kwa MODS. We can anaweza naye kuku-ripoti ili tabia kama hii isirudiwe.Kumbe Jakaya Kikwete (JK) ni kichwa,mnamkubali!
mtiwadawa kabadilisha badala ya kuacha ilivyo JK Nyerere yeye kaweka mkato ili isomeke JK, Nyerere kama watu wawili tofauti.4. Akili za juu sana (extra-ordinary intelligent). Hawa huwa na IDEAS lakini hata wakiwashirikisha watu wachache sana huelewa, wengi hudhani ni uzushi. Ni baada ya miaka mingi watu hawa huonekana kuwa LA, KUMBE, walikuwa sawa....too late. Nadhani wamo kina Isaac Newton, Galileo Galileo, Yesu wa Nazaret, JK Nyerere, nk.
Uhuni na utoto huu hauvumiliki, ujue hizi comment zinaweza kutumika kama ushahidi mahakamani ndiyo maana JF huwa inatunza kumbukumbu.4. Akili za juu sana (extra-ordinary intelligent). Hawa huwa na IDEAS lakini hata wakiwashirikisha watu wachache sana huelewa, wengi hudhani ni uzushi. Ni baada ya miaka mingi watu hawa huonekana kuwa LA, KUMBE, walikuwa sawa....too late. Nadhani wamo kina Isaac Newton, Galileo Galileo, Yesu wa Nazaret,JK, Nyerere, nk.
Vyombo vya habari vya CCM na serikali yale vinaifanyia Chadema kampeni bila kujijua, Chadema haiwezi kwenda TBC au DTV au ITV au kuwaomba Habari Leo waandike habari za Slaa au waweke picha ya Slaa, lakini wanaweka bila kuombwa kwa kudhani wanamkomoa.Kuna kitu ambacho Wapinzania wanaweza kukifanya na ambacho kinataka ubunifu, ni kuangalia namna gani wanaweza wakatumia power ya media ambayo watawala wame-imonopolize kwa kufanya negative campaign kwa Wapinzani i-turn out kuwa positive campaign kwa wapinzani na negative campaign kwa watawala.
Wenzetu wanasema . . . turning the negative to positive.
Hebu team ya campaign kaeni chini, umizeni vichwa na angalieni nini mtafanya . . . mfano mdogo . . .
Kila siku mnaweza kuwa na press briefing, mkaelezea mambo mengi mazuri ya opposition lakini mkalipua jambo moja kwa watawala ambao watalazimika kutumia media. Of course mengine mazuri pia watayataja.
Asante Mdau kufafanua kwa undani, mimi nitaongelea zaidi juu ya huyu Mwanaume naomba ajibu yafuatayo
1. Mke wake aliondoka nyumbani kwake lini?
2. Je baada ya kupotea mke wake masaa zaidi ya 24 alichukua hatua gani?
3. Vikao vingapi vya usuruhishi vya kifamilia vilikaa na maamuzi yalikuwa yapi?
4. Jee ni nini chanzo cha mkewe kuondoka nyumbani?
Mwanaume huyo ni mjinga yeye kadanganywa na kina Makamba na wanakurupukia mahamani, mambo ya ndoa ni ya kifamilia zaidi, mahakama lazima ipitie vikao vyote na maamuzi yaliyochukuliwa katika ngazi ya familia.
Masuala ya ndoa yanahusishwa familia mbili wakuu sasa yeye anafikiri CCM itamlinda baada ya kufungua kesi hiyo matokeo yake atakuwa kajijengea maadui wengi zaidi ndani ya familia na jamii kwa ujumla, labda ahamie nyumbani kwa Makamba.
Namlaumu huyu jamaa kwa kudanganywa na CCM (MAKAMBA), kwa kufikiri Makamba atamsaidia, amejitafutia matatizo makubwa mno, akiwa na aklli afute kesi hiyo mapema warudi kwenye vikao vya kifamilia, wayamalize.
Na hao wanasheria Uchara na njaa zao hawajui kwamba maamuzi ya vikao vya kifamilia pia yanatambulika kisheria, kama mtu hatii au kutekeleza wajibu wake kwenye doa lazima abaki na vyeti tu, kufunga ndoa ya kikristo siyo msalaba hadi milele mtu ana uhuru wa kuamua maisha yake pia kama hiyo ndoa imeshindikana. Midume mingi huwa haitoi taraka kukomoa wanawake kwa kisingizio kuwa " Mimi huwa naoa tu kuacha sijui"
Dr Slaa nakuomba uendelee na kampeni zako, haya yote we mwachie Ma Msapu na wanafamilia watamalizana na huyu mwanaume na hao wanasheria wa makamba.
Pia waandishi wa habari acheki udaku, magazeti yote yanaandika story hii ki udaku udaku zaidi, mtanzania ndiyo kabisaa wanafurahia wakati hawajui hii si habari ya tija kwa wananchi -
Wananchi wanataka kujua ufumbuzi wa matatizo yao siyo DR Slaa leo kala nini, kavaa nini, ameoga / hajaoga, ameongea na nani - all those are craps - tuangalie vitu vya msingi na nyie waandishi ndiyo watu wa kutupatia dira.
Mbona hamuongelei ahadi hewa za Jakaya? ngapi alizotoa 2010 kazitimiza? na sasa anaongeza zingine?