Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
CCM sasa wamebuni mbinu mpya ya kudai kuwa mwaka 2005 kweli Lema alishinda lakini wao walipoona atawabwaga mahakamani walimkatia ganja na akapokea na hivyo kutokwenda mahakamani na hivyo wadai haeleweki kwani akipewa ugali atawasaliti wana-Arusha.
Huko nyuma Lema alidai hakuwa na fedha za kumlipa mwanasheria aliyedai alipwe shilingi milioni kumi na saba kabla ya kuchukua kesi.
Sijui yupi anasema ukweli lakini nijuacho CCM hapa Arusha wamechokwa ile mbaya na hata hizi jitihada ni za mfa maji ambaye hata akishika jani anaona ni nafuu kwake.
Kukiri kwa CCM kwamba wao huwa wanatoa rushwa hilo linatosha kuwaweka kando maana wapigakura safari hii hawataki kuhongwa au anayehonga............................
Huko nyuma Lema alidai hakuwa na fedha za kumlipa mwanasheria aliyedai alipwe shilingi milioni kumi na saba kabla ya kuchukua kesi.
Sijui yupi anasema ukweli lakini nijuacho CCM hapa Arusha wamechokwa ile mbaya na hata hizi jitihada ni za mfa maji ambaye hata akishika jani anaona ni nafuu kwake.
Kukiri kwa CCM kwamba wao huwa wanatoa rushwa hilo linatosha kuwaweka kando maana wapigakura safari hii hawataki kuhongwa au anayehonga............................