theHAVARD_product
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 289
- 191
Kwanza nianze kusema mimi ni NAM person..sifungumani na Upande wowote Hasa katika Maslahi na matakwa ya wananchi,,im free opened MIND! Ndo maana naweza kusema kuwa CCM sasa kuna baadhi ya Mawaziri wanafanya Vizuri mfano,Kagasheki na Mwakyembe!
Si hata vibaya CDM wakawa wanawapongeza Mawaziri wanaofanya Vizuri ili kuonesha Hawako katika kupinga tuuuu,,kwasababu wanachi wengi wanadhani UPINZANI ni Kupinga tu.ili kuonesha They lay at right SIDE!
Juzi nilitoka kupiga soga na 'Waswahili' mtaani,Kutaka kujua lile tukio la R.I.P Mwangosi wananchi wamelipa uzito gani!Nikapita kwa vibanda vya mamantilie hadi kule kwenye GAHAWA!
Wananchi hasa wale ambao hawana Muda wa kusoma Magazeti wala Kuangalia TV( kutokana na Ugumu wa Maisha) wanalaumu CDM!!Kuwa chama cha MAUAJI na VURUGU!!
Ushauri wangu sasa ili kuwaweka wananchi sawa,
1)Kuna Picha ile ambayo MWANGOSI anaonekana akilipuliwa Laivu,Isambazwe bure mpaka vijijini tena sana...Hii itasaidia kufuta tongotongo na Kuchafua chama.
2)Ile VIDEO ya Mauaji isambazwe kwa CD tena bureee,kila mtu ashuhudie yale mauaji!
BAJETI hai haitazidi 10 millioni,bt manufaa yake yataonekana 2015!
CHADEMA mkipuuza hiki kitawa'COST sana!
Si hata vibaya CDM wakawa wanawapongeza Mawaziri wanaofanya Vizuri ili kuonesha Hawako katika kupinga tuuuu,,kwasababu wanachi wengi wanadhani UPINZANI ni Kupinga tu.ili kuonesha They lay at right SIDE!
Juzi nilitoka kupiga soga na 'Waswahili' mtaani,Kutaka kujua lile tukio la R.I.P Mwangosi wananchi wamelipa uzito gani!Nikapita kwa vibanda vya mamantilie hadi kule kwenye GAHAWA!
Wananchi hasa wale ambao hawana Muda wa kusoma Magazeti wala Kuangalia TV( kutokana na Ugumu wa Maisha) wanalaumu CDM!!Kuwa chama cha MAUAJI na VURUGU!!
Ushauri wangu sasa ili kuwaweka wananchi sawa,
1)Kuna Picha ile ambayo MWANGOSI anaonekana akilipuliwa Laivu,Isambazwe bure mpaka vijijini tena sana...Hii itasaidia kufuta tongotongo na Kuchafua chama.
2)Ile VIDEO ya Mauaji isambazwe kwa CD tena bureee,kila mtu ashuhudie yale mauaji!
BAJETI hai haitazidi 10 millioni,bt manufaa yake yataonekana 2015!
CHADEMA mkipuuza hiki kitawa'COST sana!