kamili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,213
- 849
hivi Munich massacre 1972 walifanya Palestine kwa Jews mpaka leo ndugu zetu nyie mnaona Jambo ya kijasiri sana mkipigwa ooh mnalaumu si mlichezea sharubu wenyewe.....Isis kukimbia Israel ni propaganda mbona bado wako syria, Iraq,Libya? juzi tu watu wakalipua uwanja wa nyumbani bado mnamlaumu muisrael.....mlipuko wa Paris pia muizrael anahusika? wiki iliopita nilikuwa nacheck documentary moja AL Jazeera inaonyesha vijana wengi wa kiarabu kutoka North ya Africa wanaenda middle East kujoin ISIS sababu wanapigana Vita iliyoandikwa kwenye Quran sasa pia mmarekani na muizrael bado anahusika? amsha akili hiyo ndugu
hebu naomba soma tena nilichokiandika kwa sababu ni kama vile hukusoma au hukuelewa kabisa nilichoandika. umetoa majibu ambayo haya akisi nilichoandika. usione aibu kuuliza na usione aibu kujifunza kusoma na kuelewa kabla hujajibu. pole sana.