Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Heshima kwenu wakuu.
Nilikuwa nje ya mtandao kwa siku kadhaa, leo nimerudi tena hewani ila nimekuta mambo yamebadilika hapa kwangu.
Kwanza, ile voda tuliyokuwa tunatumia bure nimekuta wameishablock. Kwa kuanzia nikajaribu kumunua zile 400MB za Airtel, kama kawaida nikatuma neno 'INTERNET' kwenda 15444 naambiwa nimetuma neno sio sahihi, wanafanya kuorodhesha packages kadhaa eg 10mb, 25mb, 50mb, 150mb, 500mb nk. Ktika hizo 50mb ndiyo inanunuliwa kwa tsh 2000/=
Sasa naomba mnifahamishe waungwana, je, ndio kusema Promotion ya Airtel ndio basi tena jamani! Au ndio imeloga kwangu tu. Na kwa wale tuliokuwa tunakula maisha kwenye voda free, nahitaji kujua ikiwa jamaa wameishablock au ndio inakuwaje tena.
Nawasilisha...
Nilikuwa nje ya mtandao kwa siku kadhaa, leo nimerudi tena hewani ila nimekuta mambo yamebadilika hapa kwangu.
Kwanza, ile voda tuliyokuwa tunatumia bure nimekuta wameishablock. Kwa kuanzia nikajaribu kumunua zile 400MB za Airtel, kama kawaida nikatuma neno 'INTERNET' kwenda 15444 naambiwa nimetuma neno sio sahihi, wanafanya kuorodhesha packages kadhaa eg 10mb, 25mb, 50mb, 150mb, 500mb nk. Ktika hizo 50mb ndiyo inanunuliwa kwa tsh 2000/=
Sasa naomba mnifahamishe waungwana, je, ndio kusema Promotion ya Airtel ndio basi tena jamani! Au ndio imeloga kwangu tu. Na kwa wale tuliokuwa tunakula maisha kwenye voda free, nahitaji kujua ikiwa jamaa wameishablock au ndio inakuwaje tena.
Nawasilisha...