Promotion......promotion ..........promotion!!! Nunua zawadi ya x-mas sasa

futikamba

JF-Expert Member
Jan 18, 2010
243
13
Habari JF,

Promotion kabambe ya Crank Box inaendelea.

Crank Box ni jenereta ya ndogo mkono yenye uwezo wa kuwasha taa 3 aina ya LED.
Faida zake ni nyingi.

eco_crank_box1.JPG
  1. Haitumii mafuta ya taa/petroli/dizeli
  2. Haitumii betri
  3. Haitegemei mionzi ya jua
  4. Haitegemei umeme wa tanesco
  5. Ni nzuri kwa utunzaji wa mazingira
  6. Ni ndogo & inabebeka
  7. Tegemeo la maisha ni miaka kumi
  8. Waranti ya mwaka mmoja
Matumizi:

Crank box inaweza kutumuka:-
  1. Mashuleni kwa kusomea
  2. Majumbani ikiwa ni mbadala wa mishumaa, koroboi & kandili
  3. Kambini
  4. Mijini & Vijijini
Bei halisi ya crank box ni TZS 35,000/= lakini kwa sasa bei yake ni TZS 15,000/= tu!!! Je si punguzo kubwa hilo??
Promotion hii inaisha tarehe 30-11-2010.

Nunua zawadi ya x-mass upeleke nyumbani kwani TZS 15,000/= tu inaweza kubadilisha maisha ya mtu.
Wahi sasa, kwani bidhaa ni chache mno!!

Crank Box - Kwa Mwanga Bora na wa Kudumu!!!

Tupo mbezi beach - samaki karibia na hoteli ya Gates of Paradise.
Wasiliana nasi 0715 997688/ 0785 997688
Tanzania Home Power Systems - Lighting the Nations.
 
Biashara ni matangazo kaka......ah, sory, bidhaa ni ubora!:A S thumbs_up:
 
Wana JF,

Napenda kuomba radhi kwa wapendwa wateja wetu waliotutembelea siku za hivi karibuni na hata siku za nyuma na kukosa crank box kwa maelezo kwamba bado hazijafika. Ni kwakuwa tulikuwa na process ndefu ya kutoa mzigo bandarini. Sasa, crank box zinaweza kupatikana kuanzia tar. 15.11.2010 pale pale pa siku zote. Promotion ndio hiyo inafikia tamati.
Msisahau kuwanunulia watu mnaowajali zawadi ya crank box kwa ajili ya x-mass. Kwa kumzawadia crank box..

  1. Utakua unampunguzia uwezekano wa kupata maradhi yatokanayo na carbon emissions
  2. Ataepuka gharama za kununua mafuta ya taa & betri
  3. Kama ni mwanafunzi, atasoma sasa bila kusita
  4. Ni kwa TZS: 15,000/= tu unaweza kuwa na mchango mkubwa kwenye kubadilisha maisha yake
Fanya sasa, Usingoje baadae!!!
KARIBUNI SANA!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom