KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Suku hizi ukisikiliza nyimbo nyingi, mf takriban zote za kundi la offside trick, taarabu, tangazo moja ivi la kampuni ya simu ya tigo, kampeni ya "tuzungumze" etc wanaashiria au wanahamasisha wanandoa au jamii kwa ujumla watumie tiGo.
Kwa takwimu zisizo rasmi, wadada waliowengi wameelimika na wameitikia wito huo. Chakushangaza humu jamvini hakuna hata mmoja ambaye yuko tayari kututhibitishiwa kwamba anamthamini mpenzi wake na huwa anamtunuku tunu hiyo. kwanini?
Ivi kweli kabisa hamna wadada ambao ni wanachama? Mi namjua mmoja lakini hata yeye hayuko tayari kuwaambia. Ni kwanini wakati huwa mnaenjoi???
Kwa takwimu zisizo rasmi, wadada waliowengi wameelimika na wameitikia wito huo. Chakushangaza humu jamvini hakuna hata mmoja ambaye yuko tayari kututhibitishiwa kwamba anamthamini mpenzi wake na huwa anamtunuku tunu hiyo. kwanini?
Ivi kweli kabisa hamna wadada ambao ni wanachama? Mi namjua mmoja lakini hata yeye hayuko tayari kuwaambia. Ni kwanini wakati huwa mnaenjoi???