Project funding sources

It's good to hear kilaa mtu anayo project ya kufanya ila securities/collaterals ndo tatizo kwenye kupata mkopo. Nilipata fununu kipindi flani(this year) kwamba world vision wanatoa mikopo kwa watu wenye business plans ambazo ni nzuri/feasible.
Sikufanyia kazi hiyo info, ila mtu aliyenipa hzo habari ni wakuaminika.
Kwahyo nawashauri mfike ofisi za World Vision na Business plans zenu kuangalia uwezekano wa kupata mkopo bila dhamana.
Nafurahi sana kusikia gratuates wanakuwa na mawazo ya kibishiara.
Keep it up guys!
 
Hebu mPM Mkuu Malila........atakupa malezo mazuri (experience ya vitu kama hivyo), kwani ni mjasiriamali mkubwa sana tu...........ngojanimtafute aje hapa amwage shule.......

Ni mradi mzuri, je unaweza kuweka hapa hiyo business plan yako.....au waweza kuniPM ili kujua twaweza kujoin vipi nguvu..........

Mkuu Ogah asante kwa kunipa mwaliko hapa ili nichangie.
Nachangia mawili, Watz wenye fedha na wakazitoa wapo kibao na wanatoa,tatizo vijana wengi hawawezi kujikana nafsi zao ( yaani si waaminifu). Pili wengi hawako tayari kuingia front wanataka mtu aanze wao wadandie.

Nilipotaka kuanzisha mradi,sikuwa na kitu,ila nilikuwa na ujasiri wa kuthubutu. Na sasa napata support ya kutosha toka kwa Watz hawahawa bila kwenda benki.
 
It's a good project if funded.
Myself I have a plan to invest in social work. Proposal is ready seeking for fund.
I prefer to start it in Dodoma,the fast growing town.

Mawazo yangu ni haya,tusisubiri kufadhiliwa/being funded, wanatakiwa wafadhili/benki itukute tayari hatua ya kwanza nimetoka/tumetoka tunatafuta ya pili.

Mimi nilipoanza mradi wangu mmoja,ilibidi hata kijiweni nipunguze trip,yaani niliingia chimbo. Naamini unanipata.
 
Ninafarijika sana kusikia watanzania wenzangu una miradi ya kufanya ila tatizo ni fund;nitajaribu ku-check na baadhi ya venture capitalists fulanifulani halafu nione tunaendaje mbele katika kusukuma gurudumu la maendeleo.
Nitaunga nanyi nitakapofanikisha hilo.
 
Ninafarijika sana kusikia watanzania wenzangu una miradi ya kufanya ila tatizo ni fund;nitajaribu ku-check na baadhi ya venture capitalists fulanifulani halafu nione tunaendaje mbele katika kusukuma gurudumu la maendeleo.
Nitaunga nanyi nitakapofanikisha hilo.

Hata usipofanikisha hili unalolitazamia wewe njoo tupige kazi mkuu. Bongo kuna kazi nyingi sana za kufanya,tatizo ushirikiano hafifu miongoni mwetu.
Kama tungeondoa uvivu kidogo tu, bongo fursa lundo.
 
Ninafarijika sana kusikia watanzania wenzangu una miradi ya kufanya ila tatizo ni fund;nitajaribu ku-check na baadhi ya venture capitalists fulanifulani halafu nione tunaendaje mbele katika kusukuma gurudumu la maendeleo.
Nitaunga nanyi nitakapofanikisha hilo.


Thanks for this sir!
 




NIMEPENDA HUU MWAMKO!



Kupitia mtandao wa Wizara inayohudumia watanzania wengi (Wizara ya Kilimo) ambao nimeutafuta kwa tabu mno, www.kilimo.go.tz, kuna hkuna mambo mengi pia mazuri hata andiko la "Kilimo Kwanza" ambayo pamoja na masuala mengine Mhe. Rais wetu amejipiga kitanzi kutekeleza mambo mengi kuptia dhana hiyo. Suala la kuinua vipato vya watanzania kupitia kilimo ikiwa ni pamoja na kuendeleza "Wathubutu" au "Wajasiliamali" limepewa kipaumbele .


Pia nimeona kwenye hotuba ya Mhe. Waziri husika kwa mwaka 2009/2010 http://www.kilimo.go.tz/speeches/speech.php, miongoni mwa ahadi alizotoa ni pamoja na kusaidia usindikaji na vikundi vidogo vya wakulima. Nimeona pia wana Kitengo cha Kuendeleza mazao (Crop Promotion) na Kusaidia Usindikaji kipo hapo Wizarani. Naamini tukiacha siasa na kuthubutu kama hivi, yote yanawezekana na sina shaka kabisa Mhe. Waziri wa Kilimo na Rais wetu wa Jamhuri anaweza kusikia hili wazo la kujikwamua asitoe hata ushauri wowote .......



Binafsi nashauri huku tukiendelea kupambana kutafuta vyanzo vingin kwenye miradi kama hii, kama hukuwahi kufanya mawasiliano yeyote, Mkuu ebu jaribu kuwasilisha wazo lako moja kwa moja kwa Katibu Mkuu na huyu Waziri wa Kilimo pengine nako utapata mwelekeo, naamini kabisa hakuna utakacho poteza kwa kutafuta huo msimamo wa Serikali katika kusaidi hili.


Ikiwa vinginevyo sasa hiyo"KILIMO KWANZA" NA MAPINDUZI YA KIJANI" haiVtakuwa na maana tena kwetu wananchi. ......twazidi kuwasiliana!!!!!!.





THE KILIMO KWANZA RESOLUTION


----------------------------------


WHEREAS the Tanzania National Business Council (TNBC), under its Chairman, H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania held a two day meeting on 2nd and 3rd June 2009 at Kunduchi Beach Hotel, Dar es Salaam, to discuss the policies and strategies for the transformation of Tanzania’s agriculture under the theme “KILIMO KWANZA[1]” and its implementation;


AND WHEREAS eighty per cent of Tanzanians depend on agriculture for their livelihood;


RECOGNIZING that the greatest challenge facing Tanzania is to combat poverty and that this will be possible mainly through enhanced agricultural productivity;


CONSIDERING Tanzania’s endowment of agricultural land, livestock and marine resources of which a large proportion is currently underutilized;


REALIZING that Tanzania has the second largest volume of inland fresh water resources in Africa that can be utilized for irrigation;


CONSCIOUS of the fact that so far considerable efforts have been made towards the transformation of agriculture without much success;


IT IS HEREBY RESOLVED to:
1. Embark on KILIMO KWANZA as Tanzania’s Green Revolution to transform its agriculture into a modern and commercial sector;
2. Integrate KILIMO KWANZA into the Government machinery to ensure its successful implementation;
3. Mobilize increased quantum of resources towards the realization of KILIMO KWANZA;
4. Mobilize the private sector to substantially increase its investment and shoulder its rightful role in the implementation of KILIMO KWANZA and
5. Declare that the implementation of KILIMO KWANZA will comprise the following ten actionable pillars:
I. Political will to push our agricultural transformation.
II. Enhanced financing for agriculture.
III. Institutional reorganization and management of agriculture.
IV. Paradigm shift to strategic agricultural production.
V. Land availability for agriculture.
VI. Incentives to stimulate investments in agriculture.
VII. Industrialization for agricultural transformation.
VIII. Science, technology and human resources to support agricultural transformation.
IX. Infrastructure Development to support agricultural transformation.
X. Mobilization of Tanzanians to support and participate in the implementation of KILIMO KWANZA.

Details of the above ten pillars of KILIMO KWANZA are elaborated in the action programme annexed hereto.


[1]Agriculture First
 
Anza kutafuta ardhi ya kufanyia huo mradi,mradi huu unalipa kuanzia small scale,maana yangu ni kwamba unaanza kupata abc za mradi wako kwa kuanzia chini kidogo.Unaweza kupata donors halafu ukashindwa kupata ardhi nzuri kwa wakati,watakuona mzushi.

Je umewahi kufikiri juu ya sehemu nzuri ya kupata ardhi,je unajua aina za mihogo ambayo inalipa ktk masoko yote(local na viwandani), si kila mhogo unaweza kumea po pote.

Je unafahamu tatizo la manpower kwa nchi yetu kwa sasa ie outsorcing,je matatizo yanayoambatana na mradi unayajua,ili ujue namna ya kuyakabili pindi yakikutokea.

Je wewe mwenyewe umewahi kulima mihogo? Nisaidie hayo maswali kidogo ili tuendelee kupeana maarifa.
 
Mkuu nimekupata sana. Naam mimi ningeshauri pamoja na wewe kuwa plan kutegemea wakulima wadogo kuwa suppliers wa material yako,ni vema na wewe ukawa na plan za kuwa na mashamba makubwa ya mhogo huo.

Kwanza shamba litakuwa model kwa wakulima,pili litakusaidia kuwa kinga kwa mikopo ktk siku za mbele,in case unataka kupanua shughuli zako, kumbuka ukifanikiwa watu wa kukopi na kupesti wako lundo.

Wakati unatafuta fedha tafuta na ardhi kubwa,ambayo ipo tele,ili ukifanikiwa kupata fedha basi na ardhi unayo. Sio lazima ulime wewe kwa kuanzia, ila unaweza kukodisha watu wakalima ndani ya shamba lako na kukuuzia wewe. Usitegemee sana wakulima wadogo.
 
Mawazo yangu ni haya, tusisubiri kufadhiliwa/being funded, wanatakiwa wafadhili/benki itukute tayari hatua ya kwanza nimetoka/tumetoka tunatafuta ya pili.

Mimi nilipoanza mradi wangu mmoja,ilibidi hata kijiweni nipunguze trip,yaani niliingia chimbo. Naamini unanipata.

Well said mkuu. Kwenye biashara unaweza weka jitihada kufikia "kutafutwa" na wateja. Hali kadhalika kwenye mikopo, kwamba unapomfikia banker, anashughulika nawe bila kuchelewa. Tena ukimringia, kesho yake anakutafuta. Nini kimfanye banker avutiwe nawe?


Nilifikiria kuanza na small scale lakini nikaona technology iliyopo sokoni kwa sasa haina mitambo midogo sana ya kuzalisha na iliyopo ina zalisha 1ton/hour ambayo ni almost 4 tons of cassava/potato u can imagine kama unaweza kufeed factory mwenyewe


Kwa hiyo ukaamua ku-stretch your limits; haina tatizo hata hivyo maana wameshajitokeza wadau kuunda timu.
 
Jamani....hata mimi ni mjasiriamali katika fani ya kilimo....kwa sasa nina projevcts mbili za mpunga na vitunguu....proposals zake zimetulia na ni bankable....lakini tatizo kama kawaida ni security...hivyo kama kuna mdau tunaweza kuunganisha nguvu..hasa ktk suala la kutafuta fund sources na mengineyo......anakaribishwa.....nitashukuru
zamani

Ipime ardhi na uipatie hati miliki itakuwa ni security tosha na utapata mkopo
 
Jamani....hata mimi ni mjasiriamali katika fani ya kilimo....kwa sasa nina projevcts mbili za mpunga na vitunguu....proposals zake zimetulia na ni bankable....lakini tatizo kama kawaida ni security...hivyo kama kuna mdau tunaweza kuunganisha nguvu..hasa ktk suala la kutafuta fund sources na mengineyo......anakaribishwa.....nitashukuru
zamani

Zamzam,
Tafadhari tuwasiliane kwa mazungumzoi zaidi juu ya mradi wa vitunguu.
Tumia kaizaoe@gmail.com
 
WanaJF mwenye mchango zaidi naomba asaidie kupanua mawazo yangu na wenzangu wanaojaribu kujiinua na hatimaye kuinua uchumi wetu jamani!

Nashukuru kwa wote ambao tayari wamechangia na wengine tumewasiliana zaidi na kushauriana.

Ninahusika kwa karibu na mradi wa C:AVA unaofadhiriwa na USAID na kutekelezwa kwa ushirikiano kati ya CPE-UDSM na Greenwich University. Lengo lake ni ku-diversify na kupromote cassava in Africa. Kwa hapa Tanzania tayari kazi inaenda vizuri na viongozi wa kisiasa kukubali kupeleka mswada wa kutaka kila confectionery iwe na angalau 20% ya unga wa muogo ili kupanua soko la ndani.

Kwa ufupi, naomba tuwasiliane Mkuu
 
Ninahusika kwa karibu na mradi wa C:AVA unaofadhiriwa na USAID na kutekelezwa kwa ushirikiano kati ya CPE-UDSM na Greenwich University. Lengo lake ni ku-diversify na kupromote cassava in Africa. Kwa hapa Tanzania tayari kazi inaenda vizuri na viongozi wa kisiasa kukubali kupeleka mswada wa kutaka kila confectionery iwe na angalau 20% ya unga wa muogo ili kupanua soko la ndani.

Kwa ufupi, naomba tuwasiliane Mkuu


Nashukuru mkuu ntakutafuta soon
 
Back
Top Bottom