Program Coordinator

MULLAORIGINAL

Member
Sep 9, 2011
20
11
Anatafutwa mtu kujaza nafasi tajwa hapo juu, atafanya kazi mikoa tofauti na kituo cha kazi ni dar, awe na uzoefu walau miaka miwili kwenye usimamizi wa miradi.
Awe amesoma Elimu ya chuo Kikuu ngazi ya shahada kwenye maswala ya kijamii (social work) au soshologia (sociology) and afya ya jamii (community health)

Unachotakiwa ni kuPM cv yako kwangu.

asanteni sana, mwisho tar 05.02.2012
 
Anatafutwa mtu kujaza nafasi tajwa hapo juu, atafanya kazi mikoa tofauti na kituo cha kazi ni dar, awe na uzoefu walau miaka miwili kwenye usimamizi wa miradi.
Awe amesoma Elimu ya chuo Kikuu ngazi ya shahada kwenye maswala ya kijamii (social work) au soshologia (sociology) and afya ya jamii (community health)

Unachotakiwa ni kuPM cv yako kwangu.

asanteni sana, mwisho tar 05.02.2012

Toa email ww watu wanashndwa ku pm cv...
 
mkuu mbona hujataja shirika. Coz ili uweze kupata potential candidates weka jina la shirika na mradi/program/project...
 
Mtu anataka kusaidia watu,then wanaanza kumshambulia..wabongo bwana!mwenye shida amchek kwenye pm inaweza kuwa zari.
 
Mtu anataka kusaidia watu,then wanaanza kumshambulia..wabongo bwana!mwenye shida amchek kwenye pm inaweza kuwa zari.



Mdau kuna wadau humu ndo tabia zao kuwavunja moyo wadau wasijaribu kuomba kazi,please unayejitambua unatafuta kazi jaribu!
 
WENGINE WAONGO WANATAKA cv ZA WATU ILI WASAJILI NGO ZAO AU DEAL NYINGINE. MIMI NI MUHANGA WA HAYO CIVIL SOCIETY WANANIPIGIA SIMU KILA LEO WANAKUJA OFISINI KWETU WAKATI HIYO OFISI SIIJUI! AKILI KUMKICHWA
 
Back
Top Bottom