Tina
JF-Expert Member
- Jul 9, 2007
- 572
- 579
Huyu diwani aliye Mwanza studio za Star Tv anaonekana kuwa na point, anasema CCM kwenye uchaguzi huu wa Busanda hawakuwa na sababu ya kuwa na ahadi tena, anasema walitakiwa kuonyesha mafanikio waliyopata kabla ya uchaguzi huu mdogo.
Anadai CCM waligawa T-shirts, kofia, chumvi n.k lakini naamini Makalla akiongea ataweza kujibu hizi hoja
Anadai CCM waligawa T-shirts, kofia, chumvi n.k lakini naamini Makalla akiongea ataweza kujibu hizi hoja