yoyote ambae amekisikiliza hicho kipindi kwa urefu. basi atupe data hapa. kwani wengine hatuna umeme kabisa hatujaona
assumption kwa huu muda ni kuwa wote tuko TZ?
Mimi niko Vuanatu sasa ungetuwekea Time kwa GMT tungeweza kukotoa wenyewe tuwahi huo mjadala.
Mwanakijiji,
tumekusikia, na mafisadi na watawala wamekusikia.
Shida nimeona kama star tv wamekupa muda kidogo sana.
Nadhani nao wamefanya kwa tahadhali maana wanaogopa
Walitakiwa wakupe kama lisaa moja hivi ueleze nje na ndani ya Meremeta.
Naona waliwahi kurukia kukuuliza mengine wakati hili la Meremeta bado hujalitolea ufafanuzi mzuri.
nadhani kulikuwa na umakusudi fulani kwa sababu walijua nawapigia simu na wakasubiri hadi dakika zile za mwisho; simu zilikuwa zinaita tu. Ndio sehemu ya mapamnbano yenyewe.
shekhe hapa inabidi kubadilisha strategy...i saw this coming sasa muhimu hapa ni kujua who is with you and who isnt with you kwenye hii vita
Ikulu kutoa statement kuhusu Meremeta and not RichmondGT.. ulisoma email ile iliyoambatana na hizi nyaraka? Hivi kama ingelipuka juzi halafu suala la Bunge na mambo ya Temeke nayo yanaibuka nani angeijadili? So far the strategy is working perfectly. What were you expecting to happen?
Ikulu kutoa statement kuhusu Meremeta and not Richmond
IKuhusu Nyaraka i think you know perfectly well kuhusu situation yangu na hizo Nyaraka...so far mie bado niko pale pale nilipokuwa last week ndio maana unaona sitii neno
one thing is for sure once the circle is gone itakuwa ngumu kurudi tena afterall chakula kitamu kingali moto
Hivi unafikiri hadi hivi sasa hawajaandaa statement kuhusu Meremeta?
unauliza tende baghadadi?
au naulizia Kikoi Yemeni?
Unauliza madrasa kwale?
Wakati mwingine GT unatulia kweli, lkn wakikugusa mahali pako mhh, inakuwa taabu kweli.
Nadhani mjadala haujaanza kwani wengi walikuwa wanasoma kwanza report yenyewe na pia ilikuwa katika harakati za kusambaa. Thread ya kujadili report yenyewe nadhani ndio inatakiwa itoke sasa. Si hata muswada unaandaliwa na kusomwa kwanza na wanakamati pamoja na wajumbe kabla ya kuwekwa mezani?