Profile ya Dr Slaa

Status
Not open for further replies.
watu sichanganyane hapa. mwandosya alisoma degree ambayo ni BSC honors kwa uingereza unasoma miaka minne, baada ya hapo ukifalulu unasoma phd. tofauti ni kuwa ni Bsc za kawaida husomwa miaka mitatu, na hii nyingine ni miaka 4 ambayo ni sawa to na Bsc 3yrs + Msc 1yr. so suala la mwamdosya phd bila masters lisiwaumize kichwa Bsc ya mwandisya ni tofauti na hizo zenu mlizonazo.

certificates za ntungamo ni sawa na degree??? . kaangalieni vyeti vya slaa. hata hizo degree zennu ni degree certificates. mfumo unaompa phd slaa siyo mfumo huu wetu. haina shaka, wanaotambua phd yake watatumia prefix Dr. kwenye jina lake. wasio tambua waite tuslaa.

Si sawa kumlinganisha na akina kamara ambao tunajua wanafundisha vijana wetu pale mzumbe . so ni ngumu kuwakubali kwani phd zao zimetoka ktk vyuo visivyotambulika huku wao wakitaka kuzitumia kama wahadhili ktk vyuo vyetu.
 
labda wenzangu mnifafanulie kidogo kwa mtazamo wenu.

1. Dr w slaa anafaa kuitwa doctor.
wapi kafanya post graduate, masters?

2. Najua bila kuna wengi sana humu wa chadema labda wamfikishie ujumbe huu kuwa utafiti wake katika phd alifanya khusu nini?

3.mnazionaje hizi degree za st.st.st?


kwani kiwango cha ubora wa elimu kinapimwa kwa vigezo gani?
Naona kama mwenzangu unataka kutumia kigezo cha jina...
Vitafute vyuo hivyo kwenye mtandao kisha utaenda kwenye baraza la elimu ya juu kuulizia uhalali wa shahada wanazotoa
 
Hii inakuweje wadau??? Prof. Mwandosya naambiwa ni kichwa sana, ilikuwaje akaruka Masters degree???

Nadhani inabidi sasa watu wafanye 'homework'. Hivi kwa nini msitafiti kwa nini mtu anaweza kutoka Diploma kwenda Masters hata bila BA? Kuna vyuo vinasema wazi: ili kuingia hii programme inabidi uwe una BA kutoka recognised university au 'equivalent' yake au uwe una MA au 'equivalent' ili upate PhD.

Baadhi ya vyuo huwezi kupata MA kama huna at least BA (Upper Second). Lakini LLB - Open University of Tanzania (OUT) - requirement yao kwa LLM siyo at least BA (Upper Second) ni at least Pass (C). Baadaye baadhi ya watu wataleta hoja kama hii hapa wakati chuo chenyewe kinaruhusu. Kwa hili, mtu asije akaniuliza swali, asome mwenyewe Prospectus ya OUT. Tafadhali tujadili vitu serious na mambo mengine wachangiajii wenyewe watafiti na siyo kutafuniwa kila kitu.

As far as I know unaweza kupata PhD ukiwa na BA or its equivalent! Baadhi ya vyuo wanaona kile ambacho umesha'cover' tayari. Pili, hivi ni masomo gani mtu anatakiwa asome ili aweze kuwa Rais Tanzania ambayo Dr Slaa hakusoma kabisa?
 
Mnazungusha zungusha na kupaka rangi ili ipendeze lakiini hakuna kitu certificate will remain to be certificate tu.

U Dr wa Slaa ni sawa na wa Dr Remmy, Dr Cheni, Nchimbi, Kamala, Nagu nk

You are very wrong, jaribu kujifunza usichokijua sio unabusha tu.
 
I don't understand the meaning of this! i think is high time now to display cvs of politicians who people prefer best. to who you want to compare because is just a cv nothing more or less.
USELESS LIKE ANY OTHER USELESS
 
i don't understand the meaning of this! i think is high time now to display cvs of politicians who people prefer best. to who you want to compare because is just a cv nothing more or less.
USELESS LIKE ANY OTHER USELESS

Lete ya kwako kwanza. Pengine hata wewe sehemu ulipo unge'display' CV yako watu wangekutilia shaka. Mtu yeyote anaweza kutilia shaka kitu chochote including uwezo wako wa kufanya kazi unayoifanya kwa sasa au sehemu ulipo! Upo hapo?
 
Mnazungusha zungusha na kupaka rangi ili ipendeze lakiini hakuna kitu certificate will remain to be certificate tu.

U Dr wa Slaa ni sawa na wa Dr Remmy, Dr Cheni, Nchimbi, Kamala, Nagu nk

......Dr JK BUBERWA,JK ISAAK NDODI NK
 
Labda wenzangu mnifafanulie kidogo kwa mtazamo wenu.

1. Dr W Slaa anafaa kuitwa Doctor.
wapi kafanya Post Graduate, Masters?

2. najua bila kuna wengi sana humu wa CHADEMA labda wamfikishie ujumbe huu kuwa Utafiti wake katika PhD alifanya khusu nini?

3.mnazionaje hizi degree za st.st.st?

Ndugu yangu tatizo hapa sio masters, watu wengi wana phd hawana masters kama ulifanya nice publications kwenye strong journals then ukaweza ku upgrade ukapata phd, tatizo hapa zitazame hizo miaka vizuri, eti Slaa anafanya phd kabla hata ya advance diploma huku akiwa na certificate fulani tu hapo.
Pia wadau mmeweka ana PhD tupeni publications zake basi na mtupe ni journals gani amepublish?
 
anayesema slaa hafai anakigezo gani...amechukua phd bila kuwa na masters, km ni kweli,fine hutuna uhakika kuwa ni kigezo gani kilitumika kumu-admit huko italy..msisahau kuna "equivalent qualifications" pia kutokana na hizo data zilizowekwa hapo,hatuna uhakika kuwa hicho kitu ni cha kwelia au la.
being a leader is not all about qualifications.. lakini si mnaona kazi ya dr slaa bungeni na hata nje ya bunge, anauwezo wa kupangua mikataba n.k, jimboni kwa maendelea juu.. nini tena mnakihitaji, elimu gani tena amepungukiwa?..with trend hakuna mtanzania anaye-deserve kuwa raisi me nadhani kikubwa ni mtu awe anaelimu ya kutosha na awe na uchungu wa kweli na nchi sio usanii.....
 
. Pili, hivi ni masomo gani mtu anatakiwa asome ili aweze kuwa Rais Tanzania ambayo Dr Slaa hakusoma kabisa?


Masomo ya fitna na uzandiki, pamoja na siasa za Makundi!!

Kama umebobea kwenye kutojisikia uchungu nchi yako na wananchi wanapodidimia kwenye umasikini will be the added advantage!!
 
Wanafikiri Seminary ni lelemama.Kule ni cream of the crop.Kitabu chake ni kama ulivyoelezea Mkuu SIYO KAMA SEKONDARI ZA KAWAIDA FORM 4 NA 6

Huu ni uongo mkubwa sana. Hujui kitu wewe waseminari wanafundishaje. In fact kama Seminari wakianza form one 20 basi watamaliza 8 au chini ya hapo. Kwani wao huwa wanataka wale a div one tena zile kali tu. wengine huwa wanawaamisha waende mashule mengine.

Sasa wanafunzi hawa hawa wanaopata one za kutisha toka Seminary ukikutana nao UDSM hakuna kitu ni wa kaaida sana na mara nyingi wanafeli.

Ndio maana Seminari kwa kuliona hilo, wanaamua kuwapitisha kiujanja ujanja ili wapate Degree zisizoeleweka kwa kuwapitisha vyuo vya st...st colleges na st..Universities kama walivyofanya Kwa Slaa.

Kwa kupita njia hii utaona wao wanaandaliwa kuwa watumishi wa kanisa tena Katoliki maisha yote.

Sasa tatizo linakuja pale wanapoamua kuasi.

Pole sana Dr wa kanisa Catholics Slaa. Sababu Doctorate yako Duniani haitambuliki zaidi ya kanisa Catholics
 
Sifa mojawapo ya kiongozi ni kuweza kuwatumia waliochini yake kufanikisha malengo yaliyoainishwa kwa taifa!Kidole kimoja hakivunji chawa....kwa hiyo hata kama tutakuwa na raisi ambaye ana-PhD toka chuo chochote bora duniani hiyo peke yake haimfanyi yeye kuwa raisi bora.

Elimu aliyonayo Slaa,akili timamu na umri wake ni sifa tosha ya kumfanya aweze kugombea uraisi...sidhani kama katiba yetu inazungumzia raisi awe na PhD nzuriiiiii.

Na isichukuliwe kuwa napenda nione Slaa anakuwa raisi....hapana....ila sioni kama mjadala huu una mantiki yoyote!
 
Nendeni Karatu mkawaulize wakazi wa huko kama Slaa anafaa kuwa Rais wa nchi hii. Nimepata taarifa kamtaliki yule mkewe ambaye ni diwani wa CCM kule mkoa wa Manyara jina lake ROSE KAMILI na ameoa mke mwingine kutoka Shinyanga. Hayo ni matayarisho ya kuwa na First Lady wa chama kisichokuwa CCM. Huyo Rose Kamili ameamua kugombea ubunge kupambana na Dr Mary Nagu. It will be quite interesting.

Of course akigombea Urais hatashinda lakini ataisaidia CHADEMA kuiongezea ruzuku kwa vile itapata kura ambazo hazitakuwa haba.

Too bad Watz wengi hawamjui huyo jamaa ni FreeMason. Hii ni istitution ya ulimwengu wa kiroho wa giza. Ninafahamu wengine mnaelewa nasema nini.

Hivi kanisa catholic limeruhusu TALAKA siku hizi.

Vipi ile aya kwenye bible '' KILA KINACHOFUNGAMANISHWA NA MOLA MWANADAMU HAWEZI KUKITENGANISHA'' . imefanyiwa mabadiliko?
 
Wengi wa wachangiaji katika mada hii wamejikuta wanadondokea katika ushabiki ima wa Chadema au Ukatoliki katika kutetea.

Tunaona kuwa Ilmu yake ni ile inayotambulika zaidi Kikatoliki na wala si vinginevyo. mazingira aliyokulia na kusomea ni yale ya Kikatoliki zaidi na hata PhD yake ni ile ya kuungaunga kiujanja ujanja kwa mfumo wa katoliki na wala si kwa mifumo tulio zoea,

Jambo kubwa mbele yetu ni kujiuliza kuwa SLAA ANATOSHA KUONGOZA NCHI.

Mkiweka mbele maslahi ya Taifa.

Utaona amepata ubunge wa karatu sababu yeye amekaa pale muda mrefu kama kiongozi wa Kiroho na kwa kupitia kanisa katoliki ameeza kujijenga sana katika kutoa misaada.

Ukisoma vizuri CV yake unaona wazi yeye amesomea na kupikwa na amelelewa katika mfumo wa Kikatoliki zaidi kama mtumishi kuhudumia wakatoliki.

Sasa najiuliza

1.mtu huyu ata prove vipi kwa jamii kuwa yeye anaweza kuongoza jamii yenye mchanganyiko wa Imani. Mind you ndani kuna mahasimu wakubwa wa catholics Duniani yaaani waislam.bila upendeleo

2.Je hataigeuza Tz kuwa nchi ya Kikatoliki.


3.ana mtaji gani kisiasa kuwa eleza waTz wamchague.
 
Sifa mojawapo ya kiongozi ni kuweza kuwatumia waliochini yake kufanikisha malengo yaliyoainishwa kwa taifa!Kidole kimoja hakivunji chawa....kwa hiyo hata kama tutakuwa na raisi ambaye ana-PhD toka chuo chochote bora duniani hiyo peke yake haimfanyi yeye kuwa raisi bora.

Elimu aliyonayo Slaa,akili timamu na umri wake ni sifa tosha ya kumfanya aweze kugombea uraisi...sidhani kama katiba yetu inazungumzia raisi awe na PhD nzuriiiiii.

Na isichukuliwe kuwa napenda nione Slaa anakuwa raisi....hapana....ila sioni kama mjadala huu una mantiki yoyote!

hapa kinachozungumziwa ni mustakabali wa nchi.

Tunaona wazi huyu Slaa Ilmu yake ina mushhkeri kidogo kwani inatambuliwa na kanisa pekee. Angukuwa amesomea kwenye vyuo vya umma basi tungeona ni jambo la kawaida kwani amekaa uswahilini na kuona watu wanaishi vipi. Yeye amekulia mazingira ya kiseja.Sasa kumpa uongozi wa nchi ataifanyia nini.
Ataleta amani kweli au ataleta vurugu kama Chadema?

Nina wasi wasi anaweza kuwa kama Rais Chiluba wa Zambia pale aliposema wazi kuwa Zambia ni taifa la Kikristo.
 
Labda wenzangu mnifafanulie kidogo kwa mtazamo wenu.

1. Dr W Slaa anafaa kuitwa Doctor.
wapi kafanya Post Graduate, Masters?

2. najua bila kuna wengi sana humu wa CHADEMA labda wamfikishie ujumbe huu kuwa Utafiti wake katika PhD alifanya khusu nini?

3.mnazionaje hizi degree za st.st.st?

Hilo linawezekana kabisa kuwa PhD bila ya Masters.
Mfano mzuri ni aliyekuwa Professor wa Mathematics pale chuo kikuu cha Dar es Salaam, Profesor Mshimba. From Advanced Diploma in Mathematics to PhD.
 
Niko objective mara nyingi kama siyo zote...embu wewe fikiria sheikh kundecha katibu wa shura ya waislamu awe rais wa Tanzania?

Kwasababu qualification za Slaa zinafanana na za huyo Kundecha..lakini kwa mambo ya Kiislamu..

Kwani katiba ya nchi yetu inasemaje kuhusu mtu anayeweza kuwa Rais wa JMT? Je, kwa mujibu wa katiba hiyo Sheikh Kundecha na Dr Slaa hawafai kugombea urais wa JMT?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom