afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
shostito hongera prfl yako ya ukweeeeee!
Thanx lolz Naona hujafanikiwa kubeba kila kitu..
shostito hongera prfl yako ya ukweeeeee!
Akili gani hii ya kuweka profile za watu hadharani?
Profile mtu anaingia kwa interest, na si page ya kuweka front desk!...
Naona wenye profiles wanabariki hilo!
nani alikuwababishia ban?
Hehehe tunataka profile yenye jina! Ukiiona tu uikubali bila ya kufekenyafekenya
Tumbuiza kwa salaam na wimbo :]
mpolee dearest... Nimetuma abusr report... Naomba usitoe infor yangu yoyote hata kama ipo profile bila kuniarifu...
ritz bana..eti nilimuita kenge..kuna ubaya?
nisaidie naon yale madizain yameniwekea kiwing
Akili gani hii ya kuweka profile za watu hadharani?
Profile mtu anaingia kwa interest, na si page ya kuweka front desk!...
Naona wenye profiles wanabariki hilo!
mmh sasa ndo zinahamishiwa hapa zote au?
Kama jina na brand inaruhusu....hahahaha
kwani kaanika pm zako zote jamanii?
Makubwa tena haya. Kukosa kazi ni kubaya bht...lolmmh sasa ndo zinahamishiwa hapa zote au?
Pole wifi langu....kiukweli sio busara bana!Nafikiri ni mapenzi ya Mtu.... Ataetaka kuiona anitembelee badala ya kufanya hata wasiotaka wasumbuke... No harm intended Ivuga.
Wewe unayo kazi?Makubwa tena haya. Kukosa kazi ni kubaya bht...lol
Wewe unayo kazi?
Njoo nshaiba hela tukale ngubiti na mabumunda kwa mama mchafuuu!