Sabi Sanda
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 409
- 31
Wakuu,
Napendekeza kama Watanzania Tuanzishe Mfuko wa Kitaifa kwa ajili ya masomo degree ya UZAMIVU kwa heshima ya Professor Joseph Shija ambaye kwa sasa ni VC wa IMTU. Kiwango kinachopendekezwa kuchangwa kila wiki na kila Mtanzania kupitia simu yake ya mkononi kwa ajili ya mfuko huu ni shilingi 300/=
Napendekeza kama Watanzania Tuanzishe Mfuko wa Kitaifa kwa ajili ya masomo degree ya UZAMIVU kwa heshima ya Professor Joseph Shija ambaye kwa sasa ni VC wa IMTU. Kiwango kinachopendekezwa kuchangwa kila wiki na kila Mtanzania kupitia simu yake ya mkononi kwa ajili ya mfuko huu ni shilingi 300/=