NN acha kuungopea umma. Hakika yupo sio "Hakika wapo". Kwa jina Isaria Kimambo.
Wapo;
(1) Professor Issa G. Shivji, ni Professor emeritus wa UDSM na Mwenyekigoda wa Kigoda cha Nyerere.
(2) Professor Geoffrey Mmari ni professor emeritus wa UDSM akiwa anafanya hapo Tumaini
(3) Professor Awadh Mawenya ni professor emeritus wa UDSM akiwa anafanya biashara
(4) Professor Mwandosya ni professor emeritus wa UDSM nakiwa anafanya siasa.
Ndiyo maana wanaendelea kuitwa maprofessor.
Kichuguu: Unaelewa maana ya 'Emeritus' kwenye medani ya 'Academia' au unadhani mtu akiendelea kuitwa 'Professor' anakuwa 'Distinguished' kihivyo?
NN: Naam, ndio, Kimambo anastahili ila wengine nao wataibuka tu hasa baada ya wasomi kama ninyi kuacha kubeba maboksi majuu na kurudi nyumbani!
unaiamini prospectus ya kichuguu kuliko mtu aliyekuwa UDASA na hao mnaodai ni ma-professor emeritus?
Jibu swali bana.....unayo latest prospectus?
iko kichwani
Hakika wapo. Isaria Kimambo ni mmoja wapo. Kuna hawa wawili pia ambao kwa maoni yangu wanastahili hiyo heshima. Ni Arnold Temu na Bonaventure Swai. Sasa sijui wanatumia vigezo gani kumpa mtu heshima hiyo - labda long and distinguished service (whatever that is).
Pia Prof. R. Mabele - bingwa wa agricultural economics nadhani naye anastahili heshima hii kama ameshastaafu....hii namba kichwani zinachaji bana..tuache utani
Sikuelewa swali lako, lakini ngoja nijaribu kubashiri unachotaka kuelewa.Kichuguu: Unaelewa maana ya 'Emeritus' kwenye medani ya 'Academia' au unadhani mtu akiendelea kuitwa 'Professor' anakuwa 'Distinguished' kihivyo?
NN: Naam, ndio, Kimambo anastahili ila wengine nao wataibuka tu hasa baada ya wasomi kama ninyi kuacha kubeba maboksi majuu na kurudi nyumbani!
Amedeliver kitu gani tangioble kwa hizo charge zake au ndio bingwa wa kukalili/copy kazi za wenzake na kuzihutubiaHakika wapo. Isaria Kimambo ni mmoja wapo. Kuna hawa wawili pia ambao kwa maoni yangu wanastahili hiyo heshima. Ni Arnold Temu na Bonaventure Swai. Sasa sijui wanatumia vigezo gani kumpa mtu heshima hiyo - labda long and distinguished service (whatever that is).
Pia Prof. R. Mabele - bingwa wa agricultural economics nadhani naye anastahili heshima hii kama ameshastaafu....hii namba kichwani zinachaji bana..tuache utani
Amedeliver kitu gani tangioble kwa hizo charge zake au ndio bingwa wa kukalili/copy kazi za wenzake na kuzihutubia