Professional Consultants Are Required

Jul 14, 2008
1,820
1,031
Dear Friends;

An experienced Local Consulting Company with National and Regional Consulting assignments is looking for Consultants who are experienced to work on different assignments on part-time or contractual basis subject to mutual agreement.

Currently the Company is looking for Consultants in the following categories:

  1. Consultants in any of the Ten Pillars of "Kilimo Kwanza"
  2. Livestock & Fisheries issues
  3. General Development issues
  4. Environmental issues
  5. Organizational Change
  6. Training (Capacity Building)
  7. Investments & Finance
  8. Project Management
  9. Other General and Specific Consultants (Please seek clarification)

In case you believe you are a good Consultant in any of the above areas, please PM me for details.

Kind regards

Sanctus Mtsimbe

 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kwa taarifa zaidi ni kuwa kuna azimio la Kilimo Kwanza:


AZIMIO LA KILIMO KWANZA
*********************************


KWA KUWA Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lilifanya mkutano tarehe 2 na 3 mwezi Juni 2009 jijini Dar es Salaam, kujadili sera na mikakati ya kuleta mapinduzi ya kilimo cha Tanzania pamoja na utekelezaji wake chini ya kaulimbiu ya “KILIMO KWANZA”;


NA KWA KUWA
asilimia themanini ya Watanzania hutegemea kilimo kwa ajili ya kuendeleza maisha yao;


KWA KUTAMBUA KUWA
changamoto kubwa kwa Tanzania ni kupambana na umaskini na kwamba hili litawezekana hasa kwa kuongeza tija katika kilimo;


KWA KUZINGATIA KUWA
Tanzania imejaaliwa kuwa na rasilimali za kutosha kwa ajili mazao, mifugo na uvuvi, ambazo kwa sasa matumizi yake yapo chini;


KWA KUFAHAMU KUWA
Tanzania ni nchi ya pili barani Afrika kuwa na kiasi kikubwa cha maji kinachoweza kutumika kwa kilimo cha umwagiliaji pamoja na ufugaji;


NA KWA KUTAMBUA KUWA
jitihada za makusudi zimekuwa zikichukuliwa ili kuboresha kilimo bila mafanikio yakuridhisha;
HIVYO IMEAZIMIWA KWAMBA:

  1. KILIMO KWANZA iwe ndiyo dhana ya kuleta mapinduzi ya kijani kwa lengo la kukifanya kilimo cha Tanzania kuwa cha kisasa na cha kibiashara;
  2. Dhana ya KILIMO KWANZA ijumuishwe kwenye mipango mbalimbali ya Serikali ili kuhakikisha mafanikio ya utekelezaji wake;
  3. Jitihada zifanyike katika kuongeza rasilimali mbalimbali ili kufanikisha utekelezaji wa KILIMO KWANZA;
  4. Sekta binafsi ihamasishwe ili iongeze uwekezaji kulingana na wajibu wake katika utekelezaji wa KILIMO KWANZA; na
  5. Utekelezaji wa KILIMO KWANZA utaongozwa na nguzo kumi zifuatazo:


I. Utashi wa kisiasa kutoa msukumo wa mapinduzi ya Kilimo.

II. Kugharamia mapinduzi ya Kilimo

III. Uboreshaji wa mfumo wa utawala wa kilimo.

IV. Mabadiliko ya mfumo mkakati katika kilimo.

V. Upatikanaji wa ardhi kwa ajili ya kilimo.

VI. Vivutio vya kuchochea uwekezaji katika kilimo.

VII. Uendelezaji wa viwanda katika kuleta mapinduzi ya kilimo.

VIII. Sayansi, Teknolojia na Rasilimali Watu katika kuwezesha
mapinduzi ya kilimo.

IX. Uendelezaji wa Miundombinu ili kuwezesha mapinduzi ya kilimo.

X. Uhamasishaji na ushirikishwaji wa Watanzania kuunga mkono na
kutekeleza
 
Iam a new member here, i can't PM yet. Kindly PM your contacts so i can give you a buzz.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom