Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Yes! Kwa UDSM madudu hayo yana mkono wa Ma-Top pale mlimani. Unaelewa?mkuu na ile kamati ya bunge iliyopita juzi na kuondoka na maafisa wa duce na mkwawa kwa malipo hewa ninasikia iliyaona hayo madudu lakini cha kushangaza ud hakuna aliyeguswa km vyuo vingine!..