Profesa Sospeter Muhongo Tazama ulivyochemka

MAKOLE

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
618
280
Nimesikia asubuhi ya leo katika kipindi cha mapitio ya magazeti ahadi ya Waziri wa Nishati na Madini Mh Prof. Sospeter kuwa mgao wa Umeme haupo na Hautakuwepo katika Tanzania hii.

Kwanza atambue kuwa ahadi hiyo tayari watangulizi wake walishaitoa na waliishia kuaibika.

La pili ni kwamba takribani kwa kipindi cha wiki moja sasa nipo katika wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga, kwa kipindi hicho chote nilichokaa hapa nimeshuhudia Tatizo klubwa sana la kukatika kwa umeme, Karibu kila siku iendayo zake umeme unakatika. Kwa siku ya jana pekee, tar 20/10 umeme ulikatika mara 5. Leo tarehe 21/10, mara tu baada ya kipindi hicho cha mapitio ya magazeti umeme mahali hapa tayari umekatika. Naandika post hii saa 1 na nusu asubuhi hakuna umeme. Kwa hili profesa wangu umetokota vibaya.
 
Hivi sana wanasingizia miundombinu mibovu! Nipo njiani kuelekea Mahenge Ulanga, ngoja nikajionee!
 
nimesikia asubuhi ya leo katika kipindi cha mapitio ya magazeti ahadi ya waziri wa nishati na madini mh prof. Sospeter kuwa mgao wa umeme haupo na hautakuwepo katika tanzania hii.

Kwanza atambue kuwa ahadi hiyo tayari watangulizi wake walishaitoa na waliishia kuaibika.

La pili ni kwamba takribani kwa kipindi cha wiki moja sasa nipo katika wilaya ya korogwe mkoani tanga, kwa kipindi hicho chote nilichokaa hapa nimeshuhudia tatizo klubwa sana la kukatika kwa umeme, karibu kila siku iendayo zake umeme unakatika. Kwa siku ya jana pekee, tar 20/10 umeme ulikatika mara 5. Leo tarehe 21/10, mara tu baada ya kipindi hicho cha mapitio ya magazeti umeme mahali hapa tayari umekatika. Naandika post hii saa 1 na nusu asubuhi hakuna umeme. Kwa hili profesa wangu umetokota vibaya.
huku nilipofikia mitaa ya kitangiri mza umeme haupo sasa hivi na kila siku unakatika jioni saa moja unarudi saa 5 usiku au na wewe prof. Ulikwenda oman ukaacha mambo yanakwenda kombo wizara haina rubani ,au umelishwa limbwata la ccm anza kuvaa magwanda ya kijani tujue moja
 
Hivi sana wanasingizia miundombinu mibovu! Nipo njiani kuelekea Mahenge Ulanga, ngoja nikajionee na huko!
 
Katika mashirika muhimu lakini hovyo kabisa ni TANESCO!!!! Labda waje malaika kuongoza ndiyo litabadilika.
 
Nipo tabata sasa hv umeme hakuna toka saa 9 usiku mpaka muda huu ninavyo comment hapa.Ccm ni janga jamani.
 
Nimesikia asubuhi ya leo katika kipindi cha mapitio ya magazeti ahadi ya Waziri wa Nishati na Madini Mh Prof. Sospeter kuwa mgao wa Umeme haupo na Hautakuwepo katika Tanzania hii.

Kwanza atambue kuwa ahadi hiyo tayari watangulizi wake walishaitoa na waliishia kuaibika.

La pili ni kwamba takribani kwa kipindi cha wiki moja sasa nipo katika wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga, kwa kipindi hicho chote nilichokaa hapa nimeshuhudia Tatizo klubwa sana la kukatika kwa umeme, Karibu kila siku iendayo zake umeme unakatika. Kwa siku ya jana pekee, tar 20/10 umeme ulikatika mara 5. Leo tarehe 21/10, mara tu baada ya kipindi hicho cha mapitio ya magazeti umeme mahali hapa tayari umekatika. Naandika post hii saa 1 na nusu asubuhi hakuna umeme. Kwa hili profesa wangu umetokota vibaya.

Kila siku Wanaiangalia DAR ES SALAAM PEKEE YAKE,maeneo mengine katika nchi tathimini haifanyiki,ndio maana mpaka sasa baadhi ya mikoa bado wanategemea jenereta(mfano SONGEA).!!!
 
Nina wiki mbili nipo Maswa tangu nimefika hapa imekuwa ni ratiba umeme ukiwepo mchana basi mjue usiku haupo na kinyume chake ni sahihi. Je huo si mgao?
 
leo hapa morogoro umeme umekatika asubuhi karibu saa nzima. hatujui hali ya mchana itakuwaje maana jana ulikatika pia
 
Katika mashirika muhimu lakini hovyo kabisa ni TANESCO!!!! Labda waje malaika kuongoza ndiyo litabadilika.
Jamani anachosema professor ni kuwa hakutakuwa na mgao rasmi utakaotangazwa na Tanesco au Wizara.Lakini mgao usio tangazwa utaendelea kuwepo na upo.Hilo ni kwa sababu mpaka leo hatuja ongeza generation sasa tutatatua vipi tatizo la umeme.Mgao utaisha vipi ikiwa kila kitu kiko vile vile?
Ile ni kauli ya kisiasa nashangaa kuna watu wanaiamini.
 
Ukiona huyo 'dada wa mipasho' anasema jambo lolote, bac ujue kinyume chake ndo sahihi.
 
ni vema kuthamini juhudi za Prof Mhongo, na inshaalah siku zijazo hayo unayoyaona sasa ambayo mpk sasa mnayoona(lile kundi la kututengenezea mgao) watakapo ondoka kwenye maofisi yao maana kuna watu bado wanataka ashindwe,mtashindwa ninyi
 
kule tanesco ni kama simba na yanga,wanajua fitina za kumharibia kiongozi mzuri! wako tayari kulihujumu shirika lao kwa kiwango chochote mpaka kiongozi huyu ang'oke,sijui wakoje mafundi wale.dawa ni total overhaul na kufanya ajira upya pale.ikiwezekana waruhusiwe wawekezaji wengine wafanyekazi sambamba na wao.kuna wafanyakazi wamejisahau mpaka wanadhani wanatugawia uhai watanzania na siyo umeme.
 
kule tanesco ni kama simba na yanga,wanajua fitina za kumharibia kiongozi mzuri! wako tayari kulihujumu shirika lao kwa kiwango chochote mpaka kiongozi huyu ang'oke,sijui wakoje mafundi wale.dawa ni total overhaul na kufanya ajira upya pale.ikiwezekana waruhusiwe wawekezaji wengine wafanyekazi sambamba na wao.kuna wafanyakazi wamejisahau mpaka wanadhani wanatugawia uhai watanzania na siyo umeme.

Uko right, huyu bwana na timu yake wamevuruga ulaji wa watu wengi sana Tanesco, kwa hiyo atapigwa vita sana. Kwa kuanzia ni kikao kijacho cha bunge atakapo lazimishwa kuomba msamaha kwa kusema uongo kama kamati ya Ngwilizi inavyopendekeza.
 
Nimesikia asubuhi ya leo katika kipindi cha mapitio ya magazeti ahadi ya Waziri wa Nishati na Madini Mh Prof. Sospeter kuwa mgao wa Umeme haupo na Hautakuwepo katika Tanzania hii.

Kwanza atambue kuwa ahadi hiyo tayari watangulizi wake walishaitoa na waliishia kuaibika.

La pili ni kwamba takribani kwa kipindi cha wiki moja sasa nipo katika wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga, kwa kipindi hicho chote nilichokaa hapa nimeshuhudia Tatizo klubwa sana la kukatika kwa umeme, Karibu kila siku iendayo zake umeme unakatika. Kwa siku ya jana pekee, tar 20/10 umeme ulikatika mara 5. Leo tarehe 21/10, mara tu baada ya kipindi hicho cha mapitio ya magazeti umeme mahali hapa tayari umekatika. Naandika post hii saa 1 na nusu asubuhi hakuna umeme. Kwa hili profesa wangu umetokota vibaya.

mimi niko mwanza maeneo ya kirumba, asubuhi hii umeme umekatika!
 
hata saivi maeneo ya kigoto mwanza umeme wmekata hii inaelekea wiki kila sku wakta muhongo kweli ni muongo amelishwa unga wa ndele ajitambui
 
Nimesikia asubuhi ya leo katika kipindi cha mapitio ya magazeti ahadi ya Waziri wa Nishati na Madini Mh Prof. Sospeter kuwa mgao wa Umeme haupo na Hautakuwepo katika Tanzania hii.

Kwanza atambue kuwa ahadi hiyo tayari watangulizi wake walishaitoa na waliishia kuaibika.

La pili ni kwamba takribani kwa kipindi cha wiki moja sasa nipo katika wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga, kwa kipindi hicho chote nilichokaa hapa nimeshuhudia Tatizo klubwa sana la kukatika kwa umeme, Karibu kila siku iendayo zake umeme unakatika. Kwa siku ya jana pekee, tar 20/10 umeme ulikatika mara 5. Leo tarehe 21/10, mara tu baada ya kipindi hicho cha mapitio ya magazeti umeme mahali hapa tayari umekatika. Naandika post hii saa 1 na nusu asubuhi hakuna umeme. Kwa hili profesa wangu umetokota vibaya.
[/QUOTE
Kwa leo wameshatolea ufafanuzi kuwa kanda ya kaskazini itakuwa chini mpaka jioni wanamatengenezo kwenye line kubwa kati ya Ubungo na chalinze!Hivyo katafute sehemu yenye "Genereta"
 
Back
Top Bottom