Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Kuna matangazo kwenye luninga na magazeti yanayohusu Tanesco.
Hili tangazo linawataka watanzania kuwapa ushirikiano wafanyakazi wa tanesco pindi watakapopita kukusanya maoni ya wao wanahitaji tanesco iweje?
Tangazo linauliza Je unataka TANESCO IWEJE?.
Wametoa mawasiliano mbali mbali kama e mail adress,facebook KEY WORK (TANESCO IWEJE) ili kutuma maoni jinsi tanesco unavyotaka iwe.
My take: hivi hawa viongozi wa tanesco hawajui watumiaji wa umeme wanataka nini? Au hizi ndio mbwembwe tu za huyo waziri?
Watu wanahitaji huduma bora na bei nafuu thats all.
Hili tangazo linawataka watanzania kuwapa ushirikiano wafanyakazi wa tanesco pindi watakapopita kukusanya maoni ya wao wanahitaji tanesco iweje?
Tangazo linauliza Je unataka TANESCO IWEJE?.
Wametoa mawasiliano mbali mbali kama e mail adress,facebook KEY WORK (TANESCO IWEJE) ili kutuma maoni jinsi tanesco unavyotaka iwe.
My take: hivi hawa viongozi wa tanesco hawajui watumiaji wa umeme wanataka nini? Au hizi ndio mbwembwe tu za huyo waziri?
Watu wanahitaji huduma bora na bei nafuu thats all.