Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
hii ni lugha gani
- Afadhali wewe uliyetaka kujua.....go back to traditional English
hii ni lugha gani
lugha za Guangzhou hizi
mtaendelea kupokea makapi kutoka vyama vingine mpaka lini
CHADEMA People has done mistakes.......just note my words
ni lazima mulewe ya kwamba habari yoyote ina upande wa pili hivyo basi ni lazima mvumilie habari ambazo haziwapendezi mbona mnapoongelea upupu wenu hatujibu mapigo kwa matusi
Wacha udini wewe:tape:
ni vizuri ukaelewa kwamba hili jamvi ni huru kwa mtu yoyote kutoa maoni na siku zote maoni hayawezi kufanana hata siku moja na kibaya zaidi imeanza kujengeka zana kwamba wana cdm hawana ustaarabu[/QUOTE]
inathibitisha usemi kuwa cdm si chama makini kabisaCCM nuksi sana mpaka wamefanikiwa kupenyeza mtu wao ndani ya Chadema, yaani Chadema wamempokea Prof, Safari na kumpa cheo nawasikitikia sana, kwa kuabia siri wana Chadema, Prof Safari ni wakili wa Makamba, vile vile ni wakili wa Sheikh Baisale, ni wakili Tambwe Hizza, wakili wa Londa, pamoja na Bujugu diwani wa Magomeni hayo ni machache tu, kuna mengine mengi mtayajua hapo baadae, ebu jiulize kwa nini wateja wake wengi wana CCM, Chadema wameingia choo chaa kike
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemteuwa Profesa Abdallah Safari kuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho. Mkutano bado unaendelea.
Pamoja na maelezo yako mengi huyo ndiye tunayemtaka asante.CCM nuksi sana mpaka wamefanikiwa kupenyeza mtu wao ndani ya Chadema, yaani Chadema wamempokea Prof, Safari na kumpa cheo nawasikitikia sana, kwa kuabia siri wana Chadema, Prof Safari ni wakili wa Makamba, vile vile ni wakili wa Sheikh Baisale, ni wakili Tambwe Hizza, wakili wa Londa, pamoja na Bujugu diwani wa Magomeni hayo ni machache tu, kuna mengine mengi mtayajua hapo baadae, ebu jiulize kwa nini wateja wake wengi wana CCM, Chadema wameingia choo cha kike