Kawashika pabaya ndiyo maana wakisikia jina lake wanaweweseka!! Kwani Mgombea wa CDM hafai. Mbona huyo hamjadili badala yake mnamrukia Slaa. Nyie vipi? (Suzan Kiwanga)aseeee.....
Dr. Slaa anawapa taabu sana eeh!!
Uzi unasema wana uzini wanamtaka Prof. Safari, wewe umejisikia kuwashwa unashoboka na Dr. Slaa.
Du, Dada Asha, kumbe upo! Siku nyingi sijakusoma... usijipoteze hivyo bwana...