Hakuna anayefaa kuwa raisi hapo
Mwandosya ni Mgonjwa jamani lol.....Mwakyembe inatakiwa ajivue gamba hatutaki raisi fisadi, huyu ana ile scandal ya posho mara 3. Wapishe mwingine atakaye kuwa na uchungu na nchi.
Hutokaa umpate ambaye hajatumbukia kwenye mtego wa posho tatu!!!