Ntambaswala
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 255
- 78
- Thread starter
- #21
You've spoken well ndugu, hii nchi imekuwa na watu ambao ni obsessed na uongozi. Hata mwaka haujaisha tangu uchaguzi uliopita, sisi tunawaza rais ajae.
Mambo ya kuandaa wagombea mwezi mmoja kabla ya uchaguzi ndio yanatuharibu watz. Waulize CHADEMA kuhusu Shibuda, unadhani wangeandaa mgombea wao mapema yangewakuta haya ya leo?
Rais mpya anaanza kuandaliwa siku ile tu rais mteule anaapishwa.......................