OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
mgomba101 Mimi nilishasema humu JF kuwa kama ni kuomba radhi wangeanza kuombana radhi wabunge wenyewe kwa vile wao wenyewe walitajana kwa majina kuwa fulani amekula, iweje ripoti ina taarika kwamba waonewa? Waziri weka hadharani siku hiyo na hatutakubali ujiuzulu kwa sababu ya hao mafisadi.
hatataja chochote tumeshawazoea kujitutumua wakikutana na press ila wakienda bunge kimyaa!