Profesa Maji marefu "Picha yangu imetengenezwa"

TIQO

JF-Expert Member
Jan 8, 2011
13,787
2,078
majimarefu.jpg


"Picha hii nilipigwa nikiwa na huyu mbunge mwenzangu, Vicent Nyerere (kulia), lakini huyu wa kushoto (Joshua Nassari) hakuwepo karibu yangu kabisa! Yeye alikuwa mbali akiamrisha vijana wanichome moto tena akiwa na hasira, tofauti na anavyocheka katika picha hii. Huu ni mchezo mchafu wa kuunganisha picha kwenye kompyuta uliofanywa na CHADEMA na kwa makusudi gazeti hili likaichapisha, baada ya kuona kwamba hatua aliyofanya Nassari ya kutaka niuawe jana ni mbaya sana. Nitalishitaki gazeti hili". Analalamika Mbunge wa Korogwe Vijijini Stephen Ngonyani wakati akionyesha picha inayomuonyesha akiwa katika furaha ya hali ya juu yeye, Nyerere na Nassari. Picha hiyo imechapishwa jana ukurasa wa kwanza gazeti la Mwananchi.Vilevile ukurasa wa kwanza gazeti la Tanzania Daima.
Source: Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
 
majimarefu.jpg


"Picha hii nilipigwa nikiwa na huyu mbunge mwenzangu, Vicent Nyerere (kulia), lakini huyu wa kushoto (Joshua Nassari) hakuwepo karibu yangu kabisa! Yeye alikuwa mbali akiamrisha vijana wanichome moto tena akiwa na hasira, tofauti na anavyocheka katika picha hii. Huu ni mchezo mchafu wa kuunganisha picha kwenye kompyuta uliofanywa na CHADEMA na kwa makusudi gazeti hili likaichapisha, baada ya kuona kwamba hatua aliyofanya Nassari ya kutaka niuawe jana ni mbaya sana. Nitalishitaki gazeti hili". Analalamika Mbunge wa Korogwe Vijijini Stephen Ngonyani wakati akionyesha picha inayomuonyesha akiwa katika furaha ya hali ya juu yeye, Nyerere na Nassari. Picha hiyo imechapishwa jana ukurasa wa kwanza gazeti la Mwananchi.Vilevile ukurasa wa kwanza gazeti la Tanzania Daima.
Source: Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo

nilkuwepo wakati picha ikipigwa hakuna cha kuunganisha picha wala nini maji marefu anajiabisha tu
 
Kama ni kweli basi gazeti la Mwananchi naliweka kwenye kundi la udaku kama Uwazi, Kiu, Ijumaa.
 
Mambo ya Kinjeketile mwachie Kinjeketile. Joshua Nassari anakwambia walianza na mungu na watamalizia na mungu. Kama Prof Maji Marefu alidhani 'science' yake ingeziba lens za camera ili picha yake isionekane basi kapotea njia. Na asipojifunza ataabika kama kile kibibi kilichotunguliwa jangwani na wana-maombi.
 
Ulienda kufanya nini kwenye kambi ya CDM in the first place?
Tunakufahamu wewe ni MGANGA WA KIENYEJI, Je ulikuwa umepeleja NDUMBA?

Tulianza na MUNGU tutamaliza na MUNGU. Nguvu zako za giza haziwezi
kushinda nguvu za MUNGU.
 
Awaroge basi waliompiga picha! Au hata ndumba hazijui nini anatuzuga tu kuwa ni mganga a.k.a mchawi?
 
Editors nowadays are increasingly turning to sensationalism in an attempt to woo purchasers so as to keep their business afloat. Even so, nobody has ever expected a reputable newspaper like Mwananchi to engage in such nasty tactics.
 
majimarefu.jpg


"Picha hii nilipigwa nikiwa na huyu mbunge mwenzangu, Vicent Nyerere (kulia), lakini huyu wa kushoto (Joshua Nassari) hakuwepo karibu yangu kabisa! Yeye alikuwa mbali akiamrisha vijana wanichome moto tena akiwa na hasira, tofauti na anavyocheka katika picha hii. Huu ni mchezo mchafu wa kuunganisha picha kwenye kompyuta uliofanywa na CHADEMA na kwa makusudi gazeti hili likaichapisha, baada ya kuona kwamba hatua aliyofanya Nassari ya kutaka niuawe jana ni mbaya sana. Nitalishitaki gazeti hili". Analalamika Mbunge wa Korogwe Vijijini Stephen Ngonyani wakati akionyesha picha inayomuonyesha akiwa katika furaha ya hali ya juu yeye, Nyerere na Nassari. Picha hiyo imechapishwa jana ukurasa wa kwanza gazeti la Mwananchi.Vilevile ukurasa wa kwanza gazeti la Tanzania Daima.
Source: Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
Professor wa anga!!!!! Unaruka juu bila kutumia petrol!!! Ni ajabu kwamba sisi wasomaji tulishindwa kabisa kung'amua kuunganishwa kwa picha hizo (Photo magic!). Lakini mbona picha iliyopigwa (Kuunganishwa?) na kuchapwa kwenye gazeti la Mwananchi ni tofauti ni ile iliyo kwenye gazeti la Tanzania Daima? Au mheshimiwa sana ulibadili pozi namna ya vicheko na mikao? Na je, hiyo picha ya kweli uliyopiga na Vincent mlipiga mkiwa wapi? Kama ni eneo la tukio, utakuwa ni kiumbe wa ajabu sana unaechekelea kifo!!!!! Nassari aliamuru watu wake wakuuwe halafu ukaona ni mzaha fulani, ukacheka saaaaaaaaaaana, kana kwamba ulikuwa na uhakika wasingefanya chochote. Je, baada ya kuona tishio hilo ni dhaifu kiasi hicho, ulianzaje kwenda kushitaki.
UCHAWI SIO TU KUBEBA TUNGURI, UNAFIKI NI UCHAWI MBAYA KULIKO UCHAWI WOWOTE. Wana Koogwe vijijini, huyu ndio mliemtuma kuwawakilisha mjengoni.
 
Pamoja na kuhabarisha, lakini ifahamike kuwa magazeti ni biashara lazima yavutie wateja.
 
Ulienda kufanya nini kwenye kambi ya CDM in the first place?
Tunakufahamu wewe ni MGANGA WA KIENYEJI, Je ulikuwa umepeleja NDUMBA?

Tulianza na MUNGU tutamaliza na MUNGU. Nguvu zako za giza haziwezi
kushinda nguvu za MUNGU.

Baba, mwana, au roho? maana wengine ni miungu na si mungu!
 
Editors nowadays are increasingly turning to sensationalism in an attempt to woo purchasers so as to keep their business afloat. Even so, nobody has ever expected a reputable newspaper like Mwananchi to engage in such nasty tactics.

Hivi wewe unamwamini huyu Majimarefu? Picha hiyo itengenezwe Mwananchi, pia Tanzania Daima nao watengeneze inayofanana na hiyo, wakati wako kwenye vyumba tofauti vya habari? Tumia kichwa chako walau kidogo.
 
Kama Maji marefu anafanya propaganda basi nafikiri ccm wamekosa mtu makini wa kutrain wana propaganda wake!
 
Back
Top Bottom