Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
inna lillahi wainna illaihi rajihunna
marehemu profesa haroub othman miiraji
profesa haroub othman, mmoja wa wahadhiri waandamizi wa chuo kikuu cha dar es salaam, amefariki dunia asubuhi hii huko unguja akiwa usingizini.
marehemu amekutwa amefariki asubuhi hii ambapo jana alilala akiwa buheri wa afya.
habari toka unguja zinasema marehemu profesa haroub othman usiku wa kuamkia leo alihudhuria uzinduzi wa tamasha la majahazi (ziff) katika ngome kongwe na hakuonekana na matatizo yoyote kiafya.
msiba uko nyumbani kwake sehemu za michenzani eneo la baraste, jumba namba 4 kwenye kona ya mbonde telecom (kibanda cha kupigia simu )na haijajulikana kama atazikwa lini. Habari za mazishi yake tutawalete mara zitapopatikana.
marehemu profesa haroub othman miiraji
profesa haroub othman, mmoja wa wahadhiri waandamizi wa chuo kikuu cha dar es salaam, amefariki dunia asubuhi hii huko unguja akiwa usingizini.
marehemu amekutwa amefariki asubuhi hii ambapo jana alilala akiwa buheri wa afya.
habari toka unguja zinasema marehemu profesa haroub othman usiku wa kuamkia leo alihudhuria uzinduzi wa tamasha la majahazi (ziff) katika ngome kongwe na hakuonekana na matatizo yoyote kiafya.
msiba uko nyumbani kwake sehemu za michenzani eneo la baraste, jumba namba 4 kwenye kona ya mbonde telecom (kibanda cha kupigia simu )na haijajulikana kama atazikwa lini. Habari za mazishi yake tutawalete mara zitapopatikana.