Video kwa hisani ya Sirallymasoud wa Youtube
SOMO ZURI KWA WADAU WA JAMIIFORUM KISIMA CHA ELIMU ENDELEVU
Historia ya dhana ya Muungano uliofikiriwa na Zanzibar kabla ya Zanzibar kupata uhuru mwaka 1963 na pia baada ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar 1964 hadi sasa mwaka 2012.
Pia Profesa anatoa uchambuzi wa kina kabisa jinsi masuala ya Muungano wa Tanzania jinsi ulivyokuwa ukibadilishwa toka mwaka 1968, mwaka 1976 AFRO SHIRAZI KUMEZWA NAKUWA CCM 1977, mfano kumuondoa Raisi wa Serikali ya Mapinduzi toka ktk cheo cha Makamu wa Raisi wa serikali ya Muungano wa Tanzania na kumfanya Rais wa Zanzibar kuwa Waziri Maalumu ktk Bazara la mawairi wa serikali ya Muungano na CCM kushika hatamu kama nchi ya chama kimoja.
Sikiliza jinsi maamuzi mengi yaliyofanywa mwaka hadi mwaka toka mwaka 1964 kuudhoofisha Muungano wa Kishirikisho na kufanya Muungano usio na uwiano kati ya nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar.
Last edited by a moderator: