Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Kinacholeta utata katika nchi hii ni kuwa na viongozi wanaoshikiria nyadhifa zinazowapa madaraka kadha wa kadha lakini wanashindwa kutumia madaraka hayo kwa kuingiliwa visivyo halali na wakubwa zao. Ninalolitegemea kwa Prof. nikwamba, hali hiyo ikitokea kwake, ni vema akaachie ngazi kuliko kujiruhusu kuwa ngazi ya kupandia.