Prof Tibaijuka lazima ajiuzulu

Naipongeza serikali kwa kupeleka maombi ya kuongezewa eneo la bahari kwa watu muafaka.Hongereni sana
 
Katiba:
1. Tanzania ni nchi moja na ni Jamhuri ya Muungano.
2.-(1) Eneo la Jamhuri ya Muungano ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar, na ni pamoja na sehemu yake ya bahari ambayo Tanzania inapakana nayo.

Mengine yote ni porojo tu.
 
Je zanzibar au tz bara inaweza kuomba kuomba kuongezewa eneo pasipo kutumia jina la JMT? Rais wa zanzibar ni mtawala ndani ya JMT, Bunge la JMT lina wakilishi kutoka sehem zote za JMT na Zanz ikiwemo

Ndio maana nikakuuliza je unajuwa mamlaka ya Rais wa Znz kwa mujibu wa katiba ya Muungano? Na kwa kukuongezea zaidi tafuta ujuwe mamlaka ya Bunge la Muungano kwa mujibu wa sharia na Mamlaka ya Baraza la wawakilishi kwa mujibu wa sharia?

 
Naomba upitie kwanza na kujua madaraka ya Serikali ya Muungano kwa mujibu wa sharia za JMTz. na madaraka ya SMZ kwa mujibu wa katiba ya muungano. Kisha leta hoja zako kabla kuanza kutoa shutuma na matusi.

Wewe naona umejazwa ujinga na Jussa Ladhu

Tanzania citizen number one JK alisema hivi ukiwa ndani ya mipaka ya JMT , ZNZ ni nchi, ukiwa nje ya mipaka ya JMT, ZNZ sio nchi. Ngoja niachane na JK because he is un reliable.

Lakini chombo chenye Jukumu la kutafisiri sheria zetu including katiba i.e mahakama kuu ilisema kwamba ZNZ sio nchi na uhaini hauwezi kutendwa ZNZ. Hiyo hukumu hadi hii leo ina stand and can be referred at any tea time.

Sasa kati yako na Mahakamu kuu nani anafahamu katiba zaidi?!

Acha hizo bana!
 
Kuna watu hapa wanaona karibu sana. Mhanga mkubwa wa kuvunjika kwa muungano sio Tanzania bara. Time will tell mtakavyoanza kuona makali ya kuja kujibanza na kuchuma Tanganyika halafu mnaenda kula Zenj. Huyo Jussa mwenyewe si ajabu ana majumba Tanganyika...awahi kuuvunja ili turithi bila kutolea jasho
 
Ujinga hauna nafasi hapa,hakuna mtu wa kujiuzuru!alichokifanya ni sawa kabisa!
 
My Take:

Kwa kosa alilolifanya kupeleka ombi Un Pasi na kupata baraka za baraza la wawakilishi Znz wakti
anajua fika suala la ardhi sio suala la muungano ni utovu mkubwa sana wa nidhamu na kutaka kufanya ubabe na kuvunja katiba ya Muungano na ile ya Zanzibar. Kiungwana anatakiwa ajiuzuru.[/QUOTE]

Ndugu barubaru,
100% it's none of ur shit business! umekuwa ukijiita kuwa ni raia wa oman, sasa mambo ya Tanzania yanakuhusu nini wewe? we don't need any of ur garbage opinion, we know exactly that shallow minded like you,jussa and the like r trying to instigate something and you always seem to be against the prosperity of our nation, what an advice can a cockroach give to a butterfly!? feed on filthy shit!? NO HELL NO, a butterfly feeds on succulent flowers! it should stick firmly in ur pale mind now and forever that TZ issues are none of oman issues!
Hapo kwenye red, waziri ameomba kuongeza mipaka ya bahari na si ardhi, huko kwenu oman sijui mnatofautishaje kati ya ardhi na bahari!? na kama katiba inasema ni suala ardhi(zanzibar) tu kuwa si la muungano bila kutaja bahari basi hapo ujue waziri ametumia loophole na hivyo hana makosa!
Nakutakia siku njema barubaru bin waruwaru!
 
Naomba nikuweke sawa kidogo kwani kuna mambo umeyasahau kidogo.

Tanganyika na Znz zimeungana kimkataba na sio kikatiba. Kuna mambo yamo katika mkataba huo nayo ndio mambo ya muungano. Suala la ardhi na makazi si suala la Muungano na ndio maana Znz kuna waziri wa wizara hiyo na Bara yupo.

Kumbuka kuwa Mamlaka ya Tibaijuka mwisho wake ni Chumbe akiwa Znz hana mamlaka yoyote ukilinganisha na waziri wa mambo ya nje au mambo ya ndani. hawa wana malka kote kote.

Kumbuka vile vile Znz ni nchi kamili yenye mamlaka kamili na hilo limebainishwa katika katiba ya Znz. Kwa msingi huo Katiba hiyo hiyo imeanisha eneo la Znz kiufasaha kabisa. sasa kwa ombi hilo la Tibaijuka ni lazima katiba ya Znz itabidi ibadilike kwa kuongeza eneo la milki yake au kupunguza miliki yake na hapo ili kubadilisha kipengele hicho cha katiba lazima BLW litahusika vilivyo kwani wao ndio wtunzi wa sheria za Znz na mambo yote yaliyo nje ya muungano.

Kumbuka kuwa katika Picha walopiga kule UN wakti wanawakilisha alikuweo Tibaijuka, balozi wa Tz katika UN, Mbunge wa Mafia na Katibu wa wizara kutoka Znz. Kwa mantiki hiyo inaonekana wazi Prof Tibaijuka alipata baraka zote za Bunge la Muungano dio maana akachukua muwakilishi wa Bunge.

Sasa upande wa BLW hawakuwa na taarifa zozote ongezeka hilo officially na aliku husishwa kwa lolote lile kitu ambacho Jussa amehoji. Ikumbukwe kuwa maombi haya yakifanikiwa lazima BLW litahusishwa katika kupitisha sheria za ongezeko la eneo la miliki la Znz.

sasa labda tujiulize.
Je Znz itaongezewa kiasi gani katika hicho kilicho ombwa? hilo ni suala ambalo limegubikwa na utata mkubwa na alijabainishwa katika mkataba au mbi hilo.

Lakini pia lazima ufahamu kuwa Tz na Znz zote zinaongozwa na Rules of Law. Na mihimili yote mikuu inajipambanua yaani Serikali, Bunge na Mahakama bila kuingilia katika utendaji kazi wake. Kila muhimili unajitegemea.

Limeanza baraza la wawakilishi kuhoji Serikali ya Znz kisha uzi utafuata. Kwani majibu ya Serikali ndio yatatoa mwangaza kwa sakata hilo. Lakin all in all Tibaijuka lazima ajiuzuru hapo.

Kwani mtiririko wa jambo hili unakuwa sawa kabisa na ule wa Tz kujiunga na OIC.

kwani mikoa mingine ilishilikishwa ktk hili?
 
barubaru is just a coward,.rats always dump a sinking ship,mapambano ya ukombozi zanzibar yalipokuwa makali,waruwaru akakimbilia kwao uarabuni,now he talks like a true patriot...shut the hell up waachie wazalendo wanaomenyeka kule pemba na unguja waamue kuhusu the so called nchi yao sio raia wa nchi ya kigeni kama wewe..
 
Ndio maana nikakuuliza je unajuwa mamlaka ya Rais wa Znz kwa mujibu wa katiba ya Muungano? Na kwa kukuongezea zaidi tafuta ujuwe mamlaka ya Bunge la Muungano kwa mujibu wa sharia na Mamlaka ya Baraza la wawakilishi kwa mujibu wa sharia?
Sharia tena? Labda Zanzibar ndio inatumia hiyo sharia lakini huku bara tunatumia sheria

 
Acha upofu wa kutosoma katiba yako vizuri.

Nitakujibu kwa kifupi na kwa kutumia mifano halisi labda utazinduka.

waziri wa Ardhi na makazi muungano ni Prof Anna Tibaijuka.
Waziri wa Ardhi na makazi Znz ni Mh Ali Juma Shamuhuna.

Waziri wa Afya na Ust wa Jamii Muungano ni Dr Haji Mponda
Waziri wa Afya Znz ni Mh Juma Duni.


Je unalijua hilo? Na unajua mamlaka yao wote hapo juu.

tafakati kabla kukurupuka na kuleta hoja.

watakucheka wenzakoo wewe.


Acha uvivu wa kufikiri wewe. Hilo unalosema ninalijua zaidi na wewe na Jusa mnalijua ila kutokana na ulemavu wa mawazo mliojipachika mnapindisha ukweli.

Kwanza unazungumzia muungano upi wakati mnajidai hamuwatambui viongozi wa muungano na maamuzi yao! ,kwamba Zanzibar iwe juu ya muungano.Nadhani unapaswa kupangilia upya hoja zako.Hakuna cha maana unachosisitizia hapa zaidi ya umimi. Ndio wale wale ,mwafrika mwisilamu anaona muaarabu aliyeko uarabuni ni ndugu ,jamaa,rafiki na jirarini yake zaidi ya mwafrika mwenzie ambaye ni Mkristo.Hivyo hivyo Mkristo mwaafrika anaona mzungu wa ulaya (mkristo) kuwa ni ndugu,jirani,jamaa yake zaidi ya mwaafrika mwenzake ambaye ni mwislamu .
 
barubaru is just a coward,.rats always dump a sinking ship,mapambano ya ukombozi zanzibar yalipokuwa makali,waruwaru akakimbilia kwao uarabuni,now he talks like a true patriot...shut the hell up waachie wazalendo wanaomenyeka kule pemba na unguja waamue kuhusu the so called nchi yao sio raia wa nchi ya kigeni kama wewe..


Wenzako wapo kikaangoni saa hizi huko Baraza la wawakilishi.

lazima kieleweke hapo. Na wote walioshiriki lazima wajiuzuru.

 
Nadhani wewe unachotaka kuelezea ama kushawishi hapa ni upupu mtupu.Tanzania ni muungano wa Zanzibar na Tanganyika sasa waziri wa Tanzania anapokuwa hana mamlaka Zanzibar kwa sababu Zanzibar ni nchi,hoja yako inakosa mwelekeo.

Huwa najiuliza hivi watu kama ninyi na hao kina Jusa mnasiri gani dhidi ya wananchi! .Mtazamo wangu wananchi wanahitaji huduma bora za jamii na usalama wa maisha yao .Ila wote mnaoleta hizi chokochoko ni waroho wa madaraka, badala ya kuishauri na kuikosoa serikali kuweka uwiano wa matumizi ya rasilimali kwa manufaa ya wananchi,ninyi mpo majukwaani mkidai Zanzibar ni nchi.Mnachokitaka hakitakaa mkipate kwa sababu wengi wenu hamjui mnachohitaji.

Halafu ningewashauri wewe na hao wapiga debe wenzako kina Jusa kipindi hichi cha kubadili katiba ndio muafaka kuweza kuweka mambo sawa kwa yale yote mnayoona ni kikwazo.Ila kutokana na kuwa mna ajenda zenu za siri mnatanguliza matakwa yenu binafsi badala ya matakwa ya wananchi.

Hiyo ardhi /bahari inayoongezwa ni ya Tanganyika ama Tanzania! kwanza hiyo Tanganyika haipo sasa sijui kinachowapandisha majukwaani na kupaza sauti kama vile nyie sio watanzania.Wapemba wanaofanya biashara Kariakoo na kusaidia ndugu zao walioko Zanzibar isingekuwa huu muungano unafikiri mambo yangekuwaje! .Nadhani ni vyema kuleta hoja zenye/zilizofanyiwa utafiti na sio kutoa hoja kutokana na hulka za mrengo wa kivyama.

Kuna watu hapa wanaona karibu sana. Mhanga mkubwa wa kuvunjika kwa muungano sio Tanzania bara. Time will tell mtakavyoanza kuona makali ya kuja kujibanza na kuchuma Tanganyika halafu mnaenda kula Zenj. Huyo Jussa mwenyewe si ajabu ana majumba Tanganyika...awahi kuuvunja ili turithi bila kutolea jasho

Nina wasi na Uraia wenu! Kwa nini munajenga hofu kubwa ya kurejeshwa nchi ya Tanganyika! Jengine ni kwamba musijitie UJUA wa kutokuona mambo, akili zenu zichuchuzeni kidogo ili zione mbali kabla hazijalemaa; Wapemba (Wazanzibari) hawapo Tanganyika tu bali wameekeza duniani kote.
 
Acha uvivu wa kufikiri wewe. Hilo unalosema ninalijua zaidi na wewe na Jusa mnalijua ila kutokana na ulemavu wa mawazo mliojipachika mnapindisha ukweli.

Kwanza unazungumzia muungano upi wakati mnajidai hamuwatambui viongozi wa muungano na maamuzi yao! ,kwamba Zanzibar iwe juu ya muungano.Nadhani unapaswa kupangilia upya hoja zako.Hakuna cha maana unachosisitizia hapa zaidi ya umimi. Ndio wale wale ,mwafrika mwisilamu anaona muaarabu aliyeko uarabuni ni ndugu ,jamaa,rafiki na jirarini yake zaidi ya mwafrika mwenzie ambaye ni Mkristo.Hivyo hivyo Mkristo mwaafrika anaona mzungu wa ulaya (mkristo) kuwa ni ndugu,jirani,jamaa yake zaidi ya mwaafrika mwenzake ambaye ni mwislamu .

kama unalijua Je unajuwa mamlaka na madaraka yao ikiwemo pamoja na mipaka ya madaraka na mamlaka yao? Tueleze basi sio tu kusema unajua kumbe wahitahi darsa.

Asiyetambua mamlaka ya Rais wa Muungano ni Padre Slaa alikataa matokeo na kumkwepa Kikwete mpaka juzi alipokimbilia chai pale ikulu kwa aibu kubwa na fedheha.

Lakin pia elewa mimi nasimamia Katiba ya Muungano wenu ambao Padre anaukana na Katiba ile ya Znz na ndipo hoja zangu zinaposimama.

Wewe tunajuwa unaabudu wazungu na sababu zinajulikana sio siri. Kumbuka kwetu wazungu tunawadharau na kuwatuma kama vibarua tu japo kwako ni mabwana.



 
kosa ni kubwa sana Zanzibar(mkoa) kuipa hazi ya nchi matokeo yake ndizo hizi chokochoko, yani watu million moja na robo wanatusumbua hivyo, nasikia kichefuchefu kuona Jussa anaendekezwa sana , watu kama hawa ni kuwakata kilimilimi
 
Hivi Wazanzibar wanajua kuwa ki-protokali ndani ya UN hakuna nchi inaitwa Zanzibar? Kama eneo lilipaswa kuongezwa, ni mwanachama halali ndio alipaswa kupeleka ombi. Hapa ni serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sio Serikali ya Mapinduzi!!

Mpaka elimu hii itawaingia, ndio mtajua kuwa swala la Zanzibar ni la nyumbani zaidi kuliko huko nje!! Ubinafsi utawaua!! Kwetu pawe kwenu lakini kwenu pawe kwenu tu!!!
 
Hilo aliwezekani hata kidogo. Kwani Tanganyika na Znz zimeungana KIMKATABA na sio KIKATIBA. Kuna mambo apo nje ya mkataba wa Muungano likiwemo hili la ardhi na makazi.

Sasa unapozungumzia maslahi ya eneo la milki ya arrdhi ni lazima uziusishe pande zote mbili kwani hili si suala la muungano. Alichofanya Tibaijuka ni ubabe kitu ambacho hakikubaliki. Ni mawili tu yanatakiwa hapo ima a withdraw hayo maombi na kuanza mchakato mpya kama nchi zote mbili zitakubaliana au kuanisha kila nchi itanufaika vipi in terms of eneo hilo.

kama OIC ilizimwa na Muungano kwanini na hili lisizimwe.

Tibaijuka amechamke lazima ajiuzuru tu hakuna mjadala.


Wewe endelea kuosha vyombo huko uarabuni upate senti za kuwatumia wenzio tende na makubazi, mambo ya Tanzania waachie watanzania.
 
Back
Top Bottom