Zion Train
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 501
- 78
kwani mafuta waliyokuwa wanayazungumzia zanzibar ndiyo hayo waliyotaka kuja kuyachukulia kwa mlango wa nyuma? kama ni hayo basi imekula kwao, eneo ndiyo linaombwa na litaongezwa na kuna mifuta bwelele.