Kwanini tunafanya mzaha na muungano. Kwanini tunasema kama hatujuani? muugano ukivunjika leo - nani atakuwa mzanzibari? watanganyika hawanashida kubwa - sasa zanzibar kuna wazanzibari halisi, waasi, waishio bara, wakristu, wausi - itakuwaje? pemba nayo itaendelea kuwa zanzibar? ima itakuwa unguka na pemba? Ndiyo yale yalioandikwa, tukichakurana sana hapata baki kitu hapa. Umoja wa zanzibar upo kwa mahusiano yake ya bara pia- sio sababu kamili lakini unaunganisha tofauti za kihistoria za wazanzibar. Basi tuupe muungano stahili yake - mengine yaongeleke taratibu