Meshe JF-Expert Member Nov 14, 2011 375 470 Jul 19, 2012 #1 Naomba kama kuna mdau mwenye taaifa sahihi amwage hapa.
palalisote JF-Expert Member Aug 4, 2010 8,335 1,455 Jul 19, 2012 #2 sasa unamuuliza nani hali wewe ndiyo umetuletea umbea? by the way mkurugenzi wa sasa amezaa na maboko ina maana inamuachia mzazi mwenzie?
sasa unamuuliza nani hali wewe ndiyo umetuletea umbea? by the way mkurugenzi wa sasa amezaa na maboko ina maana inamuachia mzazi mwenzie?
Mark Francis JF-Expert Member Nov 19, 2010 605 310 Jul 19, 2012 #3 Sema ulichosikia...?? Ni Makenya gani huyo?? Au Prof. Makenya Maboko - DVC (ARC) wa UDSM???
BHULULU JF-Expert Member Jun 28, 2012 4,986 2,008 Jul 19, 2012 #4 Kama ni yeye itajulikana tu, hakuna haja ya haraka
D Determine JF-Expert Member Apr 27, 2012 257 79 Jul 19, 2012 #7 hafai hata kuendelea kuwa DVC-ARC. anafukuza vijana wetu kwa maelekezo ya dhaifu