Prof. Shivji adhalilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bungeni

mwisho wa regime unakalibia......libya,misri mambo yalikuwa hivi hivi!!!! lakini leo watu wako happy
 
Wala huhitaji ku-gogole kitu chochote kiongozi, rejea muswada wa katiba mpya ulivyokuwa mbovu, hata mwanafunzi wa mwaka wa kwanza could have done better!

Teh teh teh!
I second the motion
 
Well said!
Tatizo ni hajui kitu na hataki kukubali kwamba Hajui,Prof.Shivji hata akiondoka dunia hii Leo atakuwa ameacha athari kubwa ktk Tasnia ya sheria Katika Taifa hili na Prof. ni wale watanzania wenye uzalendo wa hali ya juu,Na ndiyo maana pamoja na uelewa na uwezo aliokuwa nao kitaaluma hajawahi kufikiria kuhama Tanzania kwenda kutumika sehemu nyingine.
 
Ever Charismatic Prof Shivji is a scholar of international repute, always objective and level headed regarding Tanzania political discourse. Werema kuhoji uwezo kitaaluma wa prof. Shivji Kwa kweli ndio kikomo, height, epitome of hypocricy, yes el colmo de la hipocresia and it cant get any worse than this.
 
Ag ni wa kawaida.. Hana jipya.. Na lissu amemnukuu shivji kwa sababu ni mtasha na mtaalam wa kuaminika katika sheria.. Kimsingi anaweza ni profesa si mtu wa kuchezewa wala wa mzaha mzaha.. kama ccm wanavyozani
 
mwanasheria mkuu anabahatisha mambo.. Yeye hawez kamwe kujilinganishe...na PROFESA SHIVJI
 
Ukiwa kiongozi wa CCM lazima uwaze na kufikiri na akili za maiti. Bila kuwa hivyo huwezi niwaulize, moto wa Tibaijuka uko wapi???, Magufuli yuko wapi??? Kidadadekiiiiiiii

Nyerere aliambiwa na rais wa Kenya enzi zile kuwa anaongoza maiti na sio watu!
 
sisi wazanzibar tunamkubali mh.lissu hasa kwa vile alivowaelimisha watanganyika kuhusu mipaka ya zanzibar.
 
Wanasiasa na Viongozi wa Chama cha Mapinduz na Serikal huwa ni wagumu kukubali kukosolewa.Mtu anakata ukweli kwa kusingizia mambo ya kitoto.Sawa ni debate ila huwa haiwi hivyo kwa wasomi.
 
AG dhaifu kama ilivyo serikali.uwezo wake wakuelewa umeishia hapo. taifa hili linamajanga mengi kweli umaskini,ufisadi, maradhi,udhaifu wa watawala na umbumbu wa wabunge wa ccm.
 
Werema is another problem kwa demokrasia ya Tanzania. His competence is questionable. Akisimama kuongea huwa anaongea kama hakujiandaa vile. Kinachomtoka mdomoni hakionyeshi kuwa kimepitia kwenye ubongo wake.
 
Kwani yeye Warema amesomea sheria za katiba au kwa kuwa yeye ni AG sasa anajua kila kitu ingawa tunaambiwa kuwa ana online Masters degree.
 
Katika Ma AG wote waliopita hakuna AG bogus na kilaza kama huyu Mkurya. kazi hiyo alipewa tu hata kuongea kwake ni uozo. Ana wivu na jinsi watu wanavyomkubali Shivji na Lissu.. Kweli uki Google Werema utaona ambvyo ni kilaza
 
ukishaingia ccm, hatakale kaa akili kidogo ulikokuwa nako, kanapotea.
werema akili aliyonayo sasa ni ya kujibu, hoja za kisheria kisiasa.
 
Nikweli kuwa Shivji hakusomea constitutional law lakini hilo pekeyake halitoshi kumfanya mtu kuupuuza mchango wake katika upembuzi wa kina wa sheria ya katiba ambao unatokana na tafiti za hali ya juu! Bado hatuja sahau maneno ya Werema kuwa katiba haina mapungufu na hakuna haja ya katiba mpya kama ilivyo semwa katika mdahalo wa akina shivji chuo kikuu na muda mfupi baadaye Raisi akaanzisha mchakato wa katiba mpya!

una uhakika kua Prof shivji hakusomea constitutional law tupe source pliiiz!!
 
Usitarajie kupata mtu yeyote mwenye busara ndani ya CCM pamoja na Serikali yake kwa ujumla.
 
Hivi huyo Werema ni Prof kweli? Maana madudu anayoyafanya huwezi amini kama ni Prof!
hakuna mwanasheria mkuu bogus kama werema, wale walioko kwenye kitengo chake ndo wanaelewa hili. kwanza analea magonjwa ajabu. nakumbuka kuna mwanasheria mmoja kule mwanza alikuwa incharge wa state attorney, ikatokea subordinate wake akaficha jalada baada ya kula mlungula, ilivyokuja kugundulika yule incharge alimuweka ndani...werema akaja juu na alimsumbua sana yule state attorney incharge....sitaki kutaja jina,kwa wale wanaofanyia polisi mwanza kama wlaikuwa wanaenda enda mahakamani au wako karibu na RCO watakumbuka hili.....sector ya state attorney ni mbofu mbofu kabisa hakuna lolote.
 
Back
Top Bottom