wadau napenda kujua prof abdallah jumbe safari ni mhadhiri wa chuo gani nchini? Kwasababu ametokea kuwa mwanasiasa na mwanasheria maarufu nchini na anayeheshimika.
Uvivu wa kusearch no unaokusumbua!
MOD ihamishie hii THREAD kule jukwaa la Elimu dogo akasubiri jibu lake huko. Jibu ninalo lakini simpi mpaka uzi ufikishwe kunako husika kwanza.
What if there is no one coming back?to know road a head ask those who are coming back.
hayo si maneno yangu bali nimaneno ya wachina, so sioni losa la jamaa.
So,anae kuwa na hizo sifa lazima awe mhadhiri?
What if there is no one coming back?
Prof. Abdallah J. Safari alikuwa mwalimu chuo cha diplomasia kilicho chini ya wizara ya mambo ya nje kwa miaka mingi
Prof. Abdallah J. Safari amekuwa mwanasheria na wakili wa kujitegemea kwa muda mrefu sana Tanzania
Hivi karibuni amerubuniwa na cdm (baada mshiko mzuri) ili chadema isionekana kuwa ni chama cha kanisa..
Anatumikia tumbo lake; huko chadema wakishamtumia watamtupa kama toilet paper muda si mrefu
Ataendelea kubeba mabegi ya wakuu wa kanisa kama anavyofanya zitto hadi political career itakapo expire..
wadau napenda kujua prof abdallah jumbe safari ni mhadhiri wa chuo gani nchini? Kwasababu ametokea kuwa mwanasiasa na mwanasheria maarufu nchini na anayeheshimika.